Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Kuna picha kama ushahidi uweke hapaThe first man to ascend to the stratosphere, Swiss scientist Auguste Piccard, shared insights that contributed to the understanding of Earth's shape during his groundbreaking balloon flight in 1931. In this mission, Piccard reached an altitude of about 15.8 kilometers (52,498 feet), observing the Earth from a perspective few had experienced at the time.
Piccard is often cited for describing Earth as looking like "a flat disk with upturned edges" from his vantage point.
The celebrity Poor Brain
Sijui umesoma maelezo yangu yote au la? GRAVITY. GRAVITY. Ndio inayopull hayo maji kwenye Dunia.Well, if you know that water cannot stick to a ball, why do you believe it can stick to a spinning, ball-shaped Earth like this π π?
Mbona hutoi maelezo, instead unauliza maswali??ππ Mimi nipo hapa kijifunza kwenu Poor Brain huyu mtu vipi?Kwani wewe unavyofahamu ni kwamba Jua linazama kweli?
Maana unauliza swali ambalo hata wewe unajua jibu lake,...................
Ambayo yapo clear huyajibuπππSwali lako halipo clear..
Huyu naona kabisa anapoteza flow ππππMbona hutoi maelezo, instead unauliza maswali??ππ Mimi nipo hapa kijifunza kwenu Poor Brain huyu mtu vipi?
Ukienda deep utahangaika Bure tu, hawezi kujibu maswali ya kawaida tu niliyouliza hapo juu kama Jua kuzama na kuonekana half, na la density. Kama anaweza ajibu niamini kama kweli anajua anachokitetea hapa. Kama kweli Dunia ni tambarare kwann ashindwe kutoa hiyo elimu hapa?Leo nataka nikukande hateeb10 yaani miaka miwili nimekomaa na chand, universal phy na nelkon..
Leo nakupa na full equation ujue kwanini TΒ³ = tΒ²
Kuna vtu by common sense tuu anaona mwenyewe ila kujibu ndo hvo anazingua...Ukienda deep utahangaika Bure tu, hawezi kujibu maswali ya kawaida tu niliyouliza hapo juu kama Jua kuzama na kuonekana half, na la density. Kama anaweza ajibu niamini kama kweli anajua anachokitetea hapa. Kama kweli Dunia ni tambarare kwann ashindwe kutoa hiyo elimu hapa?
Nimemfafanulia hoja Yao kuhusu vitu kufall wao wanasema ni density ndo sababu, sawa je kwann iwe chini tu? Sio juu au pembeni ukizingatia pande zote hizo yaan juu na pembeni nako pia Kuna air ambayo ni less dense kuliko hiyo object naona anaruka swali.Huyu naona kabisa anapoteza flow ππππ
Nilikuambia huyu mweupe ila anaangalia penye pengo ndo anachomokea, akiona sehem panambana anaruka π. Me nakuachia ww saivi ntakuwa naangalia ila mbane sehemu mbili tu; Gravity na sunset na sunrise uone.Kuna vtu by common sense tuu anaona mwenyewe ila kujibu ndo hvo anazingua...
Huyu anataka tumpige
ππ Hvi kuna jamaa mwingine alisema hakuna gravitational force ni Albert au nani yuleNimemfafanulia hoja Yao kuhusu vitu kufall wao wanasema ni density ndo sababu, sawa je kwann iwe chini tu? Sio juu au pembeni ukizingatia pande zote hizo yaan juu na pembeni nako pia Kuna air ambayo ni less dense kuliko hiyo object naona anaruka swali.
Sometimes tupo hapa Ili tupate mawazo mapya sasa kama ndo hivi mtu anakimbia maswali hamna kitu hapa.
Happ hapo nataka atupe concept ya sun set na rise ipo vipi kama dunia ni flat...Nilikuambia huyu mweupe ila anaangalia penye pengo ndo anachomokea, akiona sehem panambana anaruka π. Me nakuachia ww saivi ntakuwa naangalia ila mbane sehemu mbili tu; Gravity na sunset na sunrise uone.
Kama sio gravity unayoona huku,.. ni gravity ya aina gani hiyo?Tupo pamoja lakini sio gravity unayoona ww huku
Kwamba gravity na mabonde ndiyo yanayofanya maji yastick kwenye spinning ball-shaped earth?Vyote ni muhimu gravity na mabonde
Hicho sio kipimo sahihi,.. Nakupa kazi rahisi tafuta usiku ambao anga lipo clear..then chukua kiti kaa utazame mwezi (Ikiwa full moon itakua vizuri zaidi ili uone kwa usahihi)........ concetrate kuuangalia mwezi ukiweza hata dakika 15 au 30........Utagundua mwezi kuna muda unakua umesimama at the exact point kwa dakika zote hizo., sasa jiulize swali kama kweli Dunia ina move kwanini umetumia dakika zote hizo kuutazama mwezi as your reference object (point) lakini hujaona wewe uki move away toka location ambayo Mwezi upo ?Kipimo tunachotumia ni kuangalia kuzama na kuchomoza kwa jua....
Pia naomba nijue kuwa wewe upo wapi kati ya concept ya jua kuzunguka dunia au dunia kuzunguka jua ???
Kwa upande wangu Mimi,..Jua ndiyo linazunguka Dunia.Kipimo tunachotumia ni kuangalia kuzama na kuchomoza kwa jua....
Pia naomba nijue kuwa wewe upo wapi kati ya concept ya jua kuzunguka dunia au dunia kuzunguka jua ???
Albert Einstein ndiyo alisema kwamba Gravity is not a force,.ππ Hvi kuna jamaa mwingine alisema hakuna gravitational force ni Albert au nani yule
Picha inayoonyesha nini?Kuna picha kama ushahidi uweke hapa
Kwanini nitoe maelezo marefu kwa kitu ambacho naweza kuelewesha in easiest way possible.......Mbona hutoi maelezo, instead unauliza maswali??ππ Mimi nipo hapa kijifunza kwenu Poor Brain huyu mtu vipi?
Kwahiyo Gravity ndiyo inafanya Maji yastick kwenye spinning ball-shaped earth?.........Unaweza kuthibitisha?Sijui umesoma maelezo yangu yote au la? GRAVITY. GRAVITY. Ndio inayopull hayo maji kwenye Dunia.