Chosen Rich
JF-Expert Member
- Jan 7, 2019
- 1,467
- 989
Hawezi mkuu, Hata understanding capacity yake ipo chini mno ndio maana wengine tuliamua kumpuuza kwanzaAkijibu hili swali a la gravity nakubaliananae kuanzia sasa hivi.
Basi nmekukubalia wewe Dunia ni Flat, Naomba ujibu kwa ufasaha maswali tunayokuuliza ili tuendelee kujifunza na kuielewa vizuri nadharia yakoSasa kwanini mpaka leo unaruka ruka,...Mwaka unaisha na huwezi yaani umeshindwa kabisa kuthibitisha kama Dunia ni tufe na inazunguka?
Kama una uhakika 100% na unachokisema na kukiamini lete uthibitisho,..ukishindwa maana yake unadhania tu!
Sawa????
Mwenzako kasema Mabonde na Gravity ndiyo yanashikilia maji yasianguke away from the spinning impossi-ball,......wewe ukasema unakubaliana nae....NDIYO NIKAULIZA NI KWELI MABONDE YANAZUIA MAJI YASIANGUKE?Kama umesoma maelezo yangu vzr nadhani nimeelezea role ya mabonde vzr sijui huwa unasoma unawaza kujibu tu?
Kuhusu gravity Naweza kukupa maelezo zaidi sio maneno tu mfano observational facts kama objects kufall down, au unapinga vitu havifall down? That's is called scientific fact ukipinga nioneshe kitu kinacho anguka Kwa kwenda juu.
Sasa hii observational fact ndo inahitaji some scientific explanations ambayo tunaita Scientific theory.
Wewe unasema uniamini vipi Kwa maneno naww ulivyosema ILLUSSION unataka nikuamini Kwa manenπ.
Umekubaliana na uhalisia kwamba Dunia ipo stationary & flat?Basi nmekukubalia wewe Dunia ni Flat, Naomba ujibu kwa ufasaha maswali tunayokuuliza ili tuendelee kujifunza na kuielewa vizuri nadharia yako
Soma maelezo yangu kwa kurudia rudia, UtanielewaUmekubaliana na uhalisia kwamba Dunia ipo stationary & flat?
Unauliza maswali yasiyo na Tija, nimejibu nakubaliananae kwenye gravity au hujui kusoma? Ila swala la mabonde halina direct influence kwenye maji kustick, mfano ukiondoa mabonde na Dunia iwe smooth Bado maji yatastick lakini hakutakuwa na flow, lkn ukiondoa gravity hata mabonde yawepo maji hayawezi kustick.Au kuuliza kile mlichodai wenyewe ndiyo kosa....?
Thibitisha mwenyewe Ruka juu je hautarudi chini? Sasa hiyo observation ndo tunaita GRAVITY. Au wewe una allergy na neno Gravity?Unasema gravity ndiyo inazuia maji yasianguke away from ball-shaped earth,..haya nimekubali,. UTHIBITISHO UPO WAPI AU UNAONGEA TU?
Kwamba understanding capacity yangu ipo chini mno,.... Huenda kipimo ulichotumia kujua understanding capacity yangu ndiyo kile ulichotumia kujua kwamba Dunia inazunguka,..BASI SISHANGAI.Hawezi mkuu, Hata understanding capacity yake ipo chini mno ndio maana wengine tuliamua kumpuuza kwanza
Ni mtu ambaye hawezi kusoma maelezo ili aelewe ndio ajibu, Yeye ni mtu ambae anasoma maelezo ili ayajibu bila kujali alielewa au hakuelewa
And BTW why ww unataka uthibitishiwe while ww hata maelezo ya unachoita ILLUSION huna??πUnasema gravity ndiyo inazuia maji yasianguke away from ball-shaped earth,..haya nimekubali,. UTHIBITISHO UPO WAPI AU UNAONGEA TU?
Ipo chini sana, kama unabisha nijibu ni nn kinafanya vitu vifall?Kwamba understanding capacity yangu ipo chini mno,.... Huenda kipimo ulichotumia kujua understanding capacity yangu ndiyo kile ulichotumia kujua kwamba Dunia inazunguka,..BASI SISHANGAI.
Achana na hayo jikite kwenye kujibu maswali yetu,Kwamba understanding capacity yangu ipo chini mno,.... Huenda kipimo ulichotumia kujua understanding capacity yangu ndiyo kile ulichotumia kujua kwamba Dunia inazunguka,..BASI SISHANGAI.
Akijibu sirudi kwenye huu UziππAchana na hayo jikite kwenye kujibu maswali yetu,
Najaribu kuielewa nadharia yako
Nakuuliza kuhusu Maji wewe unajibu kuhusu mimi,... Kama unakumbuka mwanzo ulisema Maji hayawezi kustick kwenye ball,... now unasema yanastick kwenye Dunia kwasababu ya gravity,..kumbuka Dunia ni ball-shaped like this π β½......Sasa lete uthibitisho, kusema tu kwamba gravity ndiyo inafanya maji yastick kwenye round ball haitoshi.Thibitisha mwenyewe Ruka juu je hautarudi chini? Sasa hiyo observation ndo tunaita GRAVITY. Au wewe una allergy na neno Gravity?
Basi chukua maji yarushe juu je hayatarudi chini? Yakirudi chini hiyo observation fact inaitwa gravity.Nakuuliza kuhusu Maji wewe unajibu kuhusu mimi,... Kama unakumbuka mwanzo ulisema Maji hayawezi kustick kwenye ball,... now unasema yanastick kwenye Dunia kwasababu ya gravity,..kumbuka Dunia ni ball-shaped like this π β½......Sasa lete uthibitisho, kusema tu kwamba gravity ndiyo inafanya maji yastick kwenye round ball haitoshi.
Kwahiyo mabonde hayahusiki,...HahhUnauliza maswali yasiyo na Tija, nimejibu nakubaliananae kwenye gravity au hujui kusoma? Ila swala la mabonde halina direct influence kwenye maji kustick, mfano ukiondoa mabonde na Dunia iwe smooth Bado maji yatastick lakini hakutakuwa na flow, lkn ukiondoa gravity hata mabonde yawepo maji hayawezi kustick.
Kwenye kufanya maji yastick mabonde hatahusiki Bali ni Gravity. Mbn unakwepa maswali yangu? Am I a threat to you?Kwahiyo mabonde hayahusiki,...Hahh
unajua kwamba miongoni mwa kanuni ya maji ili yaweze kukaa sehemu moja let's say Bahari, mto/ ziwa,..inabidi yawe Contained?Basi chukua maji yarushe juu je hayatarudi chini? Yakirudi chini hiyo observation fact inaitwa gravity.
Sasa mwanzo ulivyokubaliana na hiyo hoja ya mabonde ulikua unawaza nini?Kwenye kufanya maji yastick mabonde hatahusiki Bali ni Gravity. Mbn unakwepa maswali yangu? Am I a threat to you?
Sawa kabisa, Sasa chukua container let say ndoo weka maji then inyanyue na uigeuze upside down, je maji yataendelea kukaa kwenye ndoo? Kumbuka hata hapo yapo kwenye container(contained).unajua kwamba miongoni mwa kanuni ya maji ili yaweze kukaa sehemu moja let's say Bahari, mto/ ziwa,..inabidi yawe Contained?