Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Ntakujibu kadri niwezavyo naomba tu usome na uelewe Kwa umakini.

1. Swala la kunyanyua mguu kumbuka unatumia energy yaani unatumia force which actually must be greater than the way gravity pulls. Kwahy Force ya mguu wako inakuwa greater than Fg.

2. Swala la pulizio(Puto) ukishindwa kivutwa na gravity ni simple tu, BUOYANCE, hizi Puto zinakuwa filled with gas ambayo ni light than air around them mfano helium. Nini hasa kinatokea hapa na gravity inahusikaje?? Soma Kwa makini hapa chini!!👇

Recall: Fb=density ×Volume×g
Fb==buoyant force, g==acceleration due to gravity

Kumbuka
The buoyant force is an upward force exerted by a fluid (liquid or gas) that opposes the weight of an immersed object. In simpler terms, it's what makes things float!

Kwahy assume density ya air iwe 1.2, na density ya helium iwe 0.18. constant Volume iwe 20,

Tukifanya calculations hapo
Fb = 1.2×20×9.8= 235.2
Weight of helium = mass ×g
Mass = density×volume
=0.18×20
=3.6
Ukicompare hapo kati ya weight ambayo ni downward force na bouyant Force(upward) utaona buoyant force is greater than weight of helium thus upward movement, it's a combination of effect of density and gravity.
 
Hili nimelijibu hapo juu👆
 
Unaamini mwanadamu ni kiumbe halisia ambacho hakikuumbwa jechanzo chake ni kipi.? Mtoto Mchanga au Mtu Mzima.? Namaanisha kabla ya Kuanza kuzaliana?
Kwa kumbukumbu zangu uliuliza kama Kuna kitu halosia Duniani hakijaumbwa na nilikujibu Kwa kukuuliza je wewe umeumbwa? Ulipaswa unijibu kwanza. JE WEWE UMEUMBWA?
 
Nasisitiza nipo hapa kuelimika na kuelimisha wengine, Sishindani nipate ushindi wa hoja maana imeandikwa KILA MTU ATAUCHUKUA MZIGO WAKE MWENYEWE. Na TUNAANGAMIA KWAKUKOSA MAARIFA hapa naweza kua mimi au wewe.
Nakubali kaka
 
Imeshasema ni movie na perception zetu zinatuambia kabisa hayo ni maigizo, la sivyo ukiletea clip tu ya mauaji bila kuambiwa ni movie nadhani utabaki na maswali mengi.
 
vigezo vya kuthibitisha hoja yako vimejikita darasani zaidi ambapo mimi naamini ndipo tulipodanganyiwa. kumbuka unaamini dunia ni tufe na limezungukwa na sehemu kubwa ya maji ya bahari, ndio nikahoji uzito wa maji na bado unashikiliwa na hiyo nguvu hadi hayamwagiki, ina maana maji yanazidiwa nguvu na force ya miguu kunyanyuka? nikikuwekea pipa la maji juu miguuni utaweza kulinyanyua kwa nguvu ya miguu?
 
North pole na south pole ziko wapi kwenye Dunia tambarare? Na kivipi hizi pole zifanye Jua lizunguke na sio huo usumaku wadunia ulivute Jua? Je nini kimeshikilia Jua like angani?
 
Kuna kitu unamiss hapa sijui Kwa makusudi, bahati mbaya au kutokuwa na uelewa. Kwanza tunakubalina kitu kikienda mbali SIZE inapungua? Kama inapungua kwann useme Jua lisipungue size? Nikuache na swali la msingi ila linahusu hili swali pia.
JE KATI YA NYOTA NA JUA KIPI KINA SIZE KUBWA NA KIPI KIPO MBALI KUTOKA TULIPO?
 
North pole na south pole ziko wapi kwenye Dunia tambarare? Na kivipi hizi pole zifanye Jua lizunguke na sio huo usumaku wadunia ulivute Jua? Je nini kimeshikilia Jua like angani?
North Pole inapatikana katikati ya dunia mpaka juu kwenye Firmanent/anga na Sourthpole nipembezoni mwa dunia palipo na kuta za barafu.
Usumaku unatokana na uwepo wa hizo Nothpole na Southpole bila hizo hakuna Usumaku.
 
Haya maelezo sijajua umejibu swali Gani? Rudia maelezo yangu na swali langu vizuri then unieleweshe vizuri.

Maelezo yangu haya hapa👆
 
nyota ni ndogo kuliko Jua, kilicho mbali na sisi tulipo ni nyota. Nyota ni milipuko au shoti zitokeazo katika Firmanent
 
Haya maelezo sijajua umejibu swali Gani? Rudia maelezo yangu na swali langu vizuri then unieleweshe vizuri.


Maelezo yangu haya hapa👆
tuwaachie wasomaji wengine watajua nimejibu hayo maelezo yako au nimepuyanga, maana mi naona nimejibu katika swali husika labda nimekuchanganya kwakusapoti jibu langu kwa mifano
 
tunapinga gavity si term tuu ya kitendo cha vitu kudondoka chini ila kubwa ni kuzuia maji ya bahari maana tunaamini maji hutafuta base yake yenyewe na si sababu ya kuvutwa na force.
Sijakuelewa!!! unasema unapinga gravity kama term inayotumika pale vitu vinapofall down? Kama ndivyo, basi nambie ukiruka juu je hautarudi chini?


hapa mi labda nikuelewa kua kitu kuanguka chini kisayansi inatwa gravity na sio kwamba kimevutwa kalazimishwa kuja chini na nguvu yenye jina hilo.
Kwahy tunakubaliana GRAVITY ipo as a phenomenon??? Tukiachana na maelezo ya jinsi inavyo work out??
 
Explain a bit more!!
 
vitu tunavyoviona vinapunggua umbo ni kwa msaada wa mwanga mwngine. ila Jua tunaliona kwa msaada wa Mwanga wake lenyewe so kuliona likibadili shape ni mpaka tuwe katika eneo kubwa sana lililo na utambarare. ila katika mazingira yetu humu mijini kwenye majimba miti na vilima inakua ngumu kido, smtimes hata kuzama na kuchomoza hatulioni zaidi ya mwanga tuu na likiwa limeshakamilika lote
 
Sijakuelewa!!! unasema unapinga gravity kama term inayotumika pale vitu vinapofall down? Kama ndivyo, basi nambie ukiruka juu je hautarudi chini?



Kwahy tunakubaliana GRAVITY ipo as a phenomenon??? Tukiachana na maelezo ya jinsi inavyo work out??
hatukubaliani ila nimekukubalia wewe. halafu kua na mtazamo wakuelimishana zaidi kuliko kukosoana. maana maswali na hoja zako unazonijibu ni kama mtu unaetaka kumlazimisha mtu akubaliane na wewe. wewe niffundishe nikiwa nina swali lijibu then kubali nikufundishe kwa uelewa nilionalo ukiwa na swali uliza.

nasema haya maana maswali yangu mengi hauyajibu zaidi unakomaa kuyahoji majibu yangu ninayokujibu wewe it means unataka mpaka nikubaliane na wewe. kumbuka elimu ya dunia tufe na mimi nimefundishwa basic yake. so nimekua nikiihoja kwa basic ya Flat Earth inayohusisha zaidi milango ya fahamu tuliyonayo.

sasa kabla hatujaendelea naomba uyajibu maswali yangu yenye alama za viulizo tangu mwanzo wa post zangu za usiku huu, maana kuna mengi umeyakwepa kwakunihoji namna ninavyokujibu. tutakesha bila kuelimishana.
 
1. Iwe darasani ama lah!! Unatakiwa ukosoe Kwa hoja kwani darasani Kuna tofaut Gani na hapa tunavyojadiri??

2. Kama maji yana miguu yakinyanyua miguu yake nayo pia itanyanyuka kama ufanyavyo wewe, lkn maji hayana miguu.

3. Mfano wako wa pipa la maji kunyanyuliwa na mguu Bado unaonesha ni kiasi Gani unalack some concepts or knowledge's. Mimi kwenye maelezo yangu niliongelea gravity pull na force unayotumia kunyanyua mguu, kwahy Ili inyanyue mguu inamaana umetumia force Kubwa kuzid Ile inayokuvuta.

Kwa case ya pipa la maji, je pipa la maji linauwezo Kwa generate force lenyewe kama ww unavyoweza Kwa kunyanyua mguu? Jibu ni hapana!! Kwahy unacompare vitu ambayo havihisiani.

Na kujibu swali lako, kama nitakuwa na energy ya kutosha itakayoniwezesha kutumia force Kubwa kunyanyua ambayo itazidi weight ya Hilo pipa yes ntanyanyua. Keep in mind surface area ya miguu yangu pia inakuwa considered kuwezesha kuhold Hilo pipa.
 
Explain a bit more!!
naomba hili nije nalo katika post nyingine, nitajitahidi nikija nianze na hili. kwa sasa naomba nipumzike ktika uzi huu nina mambo yakuyakamiisha kabla sijajipumzisha. Nikuahidi tuu Post nitakayorudi nayo itaelezea namna jua linavyoweza kuzunguka na katika kuzunguka huko tunapataje majira ya mwaka.
 
North Pole inapatikana katikati ya dunia mpaka juu kwenye Firmanent/anga na Sourthpole nipembezoni mwa dunia palipo na kuta za barafu.
Usumaku unatokana na uwepo wa hizo Nothpole na Southpole bila hizo hakuna Usumaku.
Yes nakubali north na south pole zinafanya usumaku, Sasa swali ni kivipi zosababishe Jua lizunguke?
 
nyota ni ndogo kuliko Jua, kilicho mbali na sisi tulipo ni nyota. Nyota ni milipuko au shoti zitokeazo katika Firmanent
Sawa, kama Nyota ni ndogo kuliko Jua na zipo mbali nasisi mbona tunauwezo wa kuziona lakini Jua unasema linaenda mbali linapotea?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…