tunazungumzia maji kuzuiwa yasimwagike katika Dunia yenye shape ya Mpira kua ni hiyo force. lakini hiyo force imeshindwa kuzuia mguu kunyanyuka. hivi na tukimwaga maji ardhini vile yanavyopotea napo hutokana na Gravity au?Soma vzr swali ulilouliza. Umeuliza nguvu ya kuvuta maji(kustick) na nguvu ya kunyanyua mguu ipi Kubwa?
Automatically nguvu ya kunyanyua mguu itakuwa Kubwa. Kwa sababu nguvu iliyotumika kuvuta maji yastick kwenye ground ndio hiyo hiyo inayovuta mguu wako, Sasa kitendo Cha ww kuweza kunyanyua mguu wako inamaana umeizidi hiyo nguvu inayouvuta mguu wako chini. Nadhani nimeeleweka.
nitakua nayarudia pindi yakihitajika tena ila kam hautojali soma post zangu kuanzia #5492 halafu jibu yote yenye viulizo.Mimi naona nimejibu maswali yote kama Kuna kitu sijajibu sema hapa kwani Kuna shida Gani?
Nimeiondoa na ndio maana nimeuliza Ili unipe maelezo kwa kutumia dhana ya Dunia flat au wapi nimekosea?kwanza ondoa dhana ya Jua limesimama/Limetulia katiaka mawazo yako pindi uniulizapo maswali yahusuyo FlatEarth maana nimegundua unashundwa kunielewa kwasababu bado una dhana za ki globe, unakumbuka nilikuambia pitia kidogo hata basic ya Flatearth namna dunia na vitu vyake inavyfanya mambo yatokee.
Kaka naona umeanza siasa na ushindani sijui kwann? Kwanza nipo hapa Ili wewe unipe elimu ya Dunia flat Sasa ukitaka tena namm nianze kujibu Kwa kutumia Dunia duara naona tutakuwa tunarudi kwenye kushindana sasa. Au kama umeshindwa kutoa maelezo sio mbaya kusema hujui au kukubali kuwa hicho kitu hakimake sense kuliko kuforce kutoa majibu ambayo hata wewe hujui umeyatoa wapi.na hili swali ukilichunguza vizuri linatoa sapoti kwa watu wa flat zaidi kuliko wa Globe. wakuulizwa haswa kwanini halicheng shape na dunia inalikimbia ilitakiwa iwe wewe. mimi nimekueleza vizuri hatulioni likibadili ukubwa au udgo kutokana na mazingira na namna linavyotoa mwangaza wake. unajua hata la mawio na machweo huonekana kubwa kwa sababu tunaliona likiwa katika mionzi hafifu tofauti na lile la saa sita mchana. kuliangalia tuu livu ngumu hadi utumie vifaa na bado utaliona ni dogo kishape tofauti na hilo la kwenye picha.
Sijui hapa umejibu kuhusu nini, ila swali langu lipo Clear kabisa kuwa kama unasema/mnavyosema kuwa Jua hupotea(sunset) Kwa sababu ya PERSPECTIVE, sasa ni kwann Hilo Jua huwa halipungui size Bali tunaliona kama linazama kama lilivyo na Kuna muda tunaona lipo half kama kwenye picha niliyokuwekea kabla.nikusaidie uelewa, kwa mchana ukubwa wa jua tunaufeel kuanzia miale yake ya mwangaza ndio maana tutaona linaangaza sehemu kubwa kwa mwanga mkali tofauti na la asubuhi au jioni. na kwa nyongeza, nchi au visiwa vya katikati ya dunia kuna wakati jua wanaliona kama linapitia kule south na ndio wanaolishuhudia vizuri kua lipo katika mzunguko wake.
Kwanza nilifikri wewe ndo unanipa elimu ya Dunia flat au?tukikutana hapa tena nakuomba uje na sababu za kwanini baadhi ya nchi ikiwemo Uingereza hubadili majira ya saa zao kwakuyarudisha nyuma au kuyaongeza mbele masaa..
Jaribu kusoma maelezo yangu na uyaelewe vzr. Wewe kinachokuchanganya ni nini hapo? Mguu unaunyanyua umetumia force kuunyanyua je maji yanaweza kunyanyuka yenyewe?tunazungumzia maji kuzuiwa yasimwagike katika Dunia yenye shape ya Mpira kua ni hiyo force. lakini hiyo force imeshindwa kuzuia mguu kunyanyuka. hivi na tukimwaga maji ardhini vile yanavyopotea napo hutokana na Gravity au?
Yakihitajika tena??nitakua nayarudia pindi yakihitajika tena ila kam hautojali soma post zangu kuanzia #5492 halafu jibu yote yenye viulizo.
Kwa milango yangu ya fahami siwezi kuona umbo la Dunia Kwasababu siwezi kuona Dunia yote katika 3D lakn naona part ndogo tu ya Dunia nilipo.KWAKUTUMIA AKILI ZAKO NA MILANGO YAKO YA FAHAMU Je Unajiona upo katika umbo gani la dunia, je Jua linaonekana likimove au limesimama? je unahisi Dunia inazunguka au imetulia?
Hili swali naimani sio langu na sipendi mada kama hizi napenda kuongelea vitu kama hivi.SWALI kwa aliyehoji hilo, Je Bila kitu gani kilichotokana na Sayansi na kipo kwa matumizi ya sisi wanadamu, pindi kikikosekana Uhai utakua Basi? Namaanisha kipi ukifanyacho kwa simu au Computer hakiwezi kufanyika bila hivyo vitu? je mwanadamu kazidiwa uwezo wa kiakili na hizi device?
Hili nimeshalijibu👇👇 na mwishoni nilikuuliza swali naona wewe hukunijibutunakataa hakuna Gravity kwasababu haijawahi kuthibitishwa au kuteengenezwa kitu cha mfano wa Gravity FForce inavyofanya kazi kama mifano ya FForce nyingine inavyopatikana kuthibitisha fforce hizo.
kwa mfano kama hiyo gravitation force ina weza kuyabumba maji yasimwagike inashindwaje kuzuia miguu yetu isitembee ikiwa ni miyepesi kuliko density ya maji ya Bahari. hiyo force inalivuta jiwe kubwa kuelekea katikati ya dunia lakini imeshindwa kuyavuta mapulizo?
Kuna kitu unachanganya, phenomenon(observable event) na Theory. Gravity ni phenomenon ambayo tunaiobserve in everyday life, mfano ukiruka utarudi chini, ukirusha kitu juu kitarudi chini na mifano mingine mingi inayofanania.
Sasa hiyo observation au effect ikapewa jina la GRAVITY. Kwahy ukisema unakataa gravity maana yake unapinga ukweli kuwa ukiruka haurudi chini, ukirusha kitu juu kitarudi chini.
Kitu ambacho ulipaswa uhoji ni the THEORY behind gravity. Yaani gravity inavyofanya kazi. Newton baada ya kuobserve apple limeanguka na kujiuliza maswali hakuweza kujua the theory behind gravity kwahy yeye akaconclude ni force ya vitu venye uzito. Einstein akaja kutoa mwanga zaidi kuhusu gravity( Einstein theory of general relativity.
Kwahy nikuweke sawa hapo.
Tukija kwenye jibu lako la DENSITY ndo inasababisha vitu vifall nimekuelewa vzr kabisa hujakosea but Kuna kitu kinamiss, kitu Gani? Soma Kwa makini hapa!!👇
Assume umechukua object fulani ukaiweka hewani at some distance from the ground, technically hiyo object lazima itafall si ndio? Of course yes, utasema hiyo object ni more dense than air. Swali la kujiuliza tu kwanini Downward direction ⬇️??
Kumbuka hiyo object kabla haijafall down ilikuwa imezungukwa na Air pande zote(juu, chini, na pembeni) na pande zote hizo Kuna air ambayo ni less dense than hiyo object Sasa swali Bado linabaki ni kitu Gani kinachagua direction ya chini na sio otherwise??
Hapa pia nimeelezea kama hapo juu kuhusu density na inavyofanya kazi.ndio maana tunaamini kila kinachoizidi hewa uzito kitatafuta base kitue au kutulia. kuhusu kushoto au kulia, wewe mwenyewe ni shahidi hata ukiisahau ndoo tupu chini upepo ukiizidi nguvu ya kushoyo au kulia itasogea na itabaki ardhini labda ikipatikana nguvu ya upepo wa kuinyanyua ndio itaelea. jr density ya hewa na maji ipi kubwa au gravity imechagua vyakuvivuta tuu.?
Sipendi kuongelea mambo ya kuamini, maana nikikwambia nachoamini tunaweza tusielewane, Mimi nilijibu swali lako vzr tu Kwa kukuuliza je wewe umeumbwa? Na hujanijibu mapka sasa sijui unaogopa? Maana uliniuliza kama Kuna kitu halosiaeambacho hakijaumbwa.Unaamini mwanadamu ni kiumbe halisia ambacho hakikuumbwa jechanzo chake ni kipi.? Mtoto Mchanga au Mtu Mzima.? Namaanisha kabla ya Kuanza kuzaliana?
NkumbiSon hapa hukunipa majibuAssume umechukua object fulani ukaiweka hewani at some distance from the ground, technically hiyo object lazima itafall si ndio? Of course yes, utasema hiyo object ni more dense than air. Swali la kujiuliza tu kwanini Downward direction ⬇️??
Kumbuka hiyo object kabla haijafall down ilikuwa imezungukwa na Air pande zote(juu, chini, na pembeni) na pande zote hizo Kuna air ambayo ni less dense than hiyo object Sasa swali Bado linabaki ni kitu Gani kinachagua direction ya chini na sio otherwise??
Kwann hewa inakuwa na nguvu huko juu? Ni nini sababu ya hiyo nguvu au inatokea wapi? Na kwann hiyo nguvu iwe kuelekea chini na sio any other direction?jibu unalipata hivi, kila unapozidi kwenda juu Hewa inakua na nguvu kuliko chini, na kitu kitakachokua kizito kuliko hewa ya chini kitashuka chini maana ndiko palipo na hewa iliyo dhaifu kwa uzito huo.
na ndio maana unaweza ukachora duara chini na ukishika jiwe mkononi ukiliachia linatua katika duara uilolichora ila ukiwa gorofani ni ngumu jiwe hilo kutua katia hilo duara hata kama upo katika usawa uleule.
Kwahy hapo ni fikra zako tu? Embu tuachane na majibu ya unavyowaza maana hayana ushahidi wowote naww hapo huyaamini.hapo ni kwakua utakua juu na hewa ya huko ina nguvu kuliko ya umbali wa mkono wako so jiwe litapata changamoto ya hewa za pande zote isipokua ya chini. hapa nimewaza kwa akili zangu tuu.
Simply ni Air resistance kama hakuna air resistance hiyo object lazima itue ulipokusidiautanifundisha ikibidi, kinachosababisha usilenge duara ni nini na upo katika usawa ule ule?
NkumbiSon hapa nilikupa majibu ukasema natumia vya darasani, kwani si nimeelezea DENSITY unayoisema kuwa ndo sababu ya vitu kufall? Kama unamaelezo tofaut na haya kuhusu jinsi DENSITY inavyosababisha vitu vifall ilete usikomee kujibu simple kama hivyo.Ntakujibu kadri niwezavyo naomba tu usome na uelewe Kwa umakini.
1. Swala la kunyanyua mguu kumbuka unatumia energy yaani unatumia force which actually must be greater than the way gravity pulls. Kwahy Force ya mguu wako inakuwa greater than Fg.
2. Swala la pulizio(Puto) ukishindwa kivutwa na gravity ni simple tu, BUOYANCE, hizi Puto zinakuwa filled with gas ambayo ni light than air around them mfano helium. Nini hasa kinatokea hapa na gravity inahusikaje?? Soma Kwa makini hapa chini!!👇
Recall: Fb=density ×Volume×g
Fb==buoyant force, g==acceleration due to gravity
Kumbuka
The buoyant force is an upward force exerted by a fluid (liquid or gas) that opposes the weight of an immersed object. In simpler terms, it's what makes things float!
Kwahy assume density ya air iwe 1.2, na density ya helium iwe 0.18. constant Volume iwe 20,
Tukifanya calculations hapo
Fb = 1.2×20×9.8= 235.2
Weight of helium = mass ×g
Mass = density×volume
=0.18×20
=3.6
Ukicompare hapo kati ya weight ambayo ni downward force na bouyant Force(upward) utaona buoyant force is greater than weight of helium thus upward movement, it's a combination of effect of density and gravity.
NkumbiSon maswali yako nimeyajibu na nimekuuliza swali naona hukujibu??Kwa kumbukumbu zangu uliuliza kama Kuna kitu halosia Duniani hakijaumbwa na nilikujibu Kwa kukuuliza je wewe umeumbwa? Ulipaswa unijibu kwanza. JE WEWE UMEUMBWA?
Hapa nilikujibu👇vigezo vya kuthibitisha hoja yako vimejikita darasani zaidi ambapo mimi naamini ndipo tulipodanganyiwa. kumbuka unaamini dunia ni tufe na limezungukwa na sehemu kubwa ya maji ya bahari, ndio nikahoji uzito wa maji na bado unashikiliwa na hiyo nguvu hadi hayamwagiki, ina maana maji yanazidiwa nguvu na force ya miguu kunyanyuka? nikikuwekea pipa la maji juu miguuni utaweza kulinyanyua kwa nguvu ya miguu?
1. Iwe darasani ama lah!! Unatakiwa ukosoe Kwa hoja kwani darasani Kuna tofaut Gani na hapa tunavyojadiri??
2. Kama maji yana miguu yakinyanyua miguu yake nayo pia itanyanyuka kama ufanyavyo wewe, lkn maji hayana miguu.
3. Mfano wako wa pipa la maji kunyanyuliwa na mguu Bado unaonesha ni kiasi Gani unalack some concepts or knowledge's. Mimi kwenye maelezo yangu niliongelea gravity pull na force unayotumia kunyanyua mguu, kwahy Ili inyanyue mguu inamaana umetumia force Kubwa kuzid Ile inayokuvuta.
Kwa case ya pipa la maji, je pipa la maji linauwezo Kwa generate force lenyewe kama ww unavyoweza Kwa kunyanyua mguu? Jibu ni hapana!! Kwahy unacompare vitu ambayo havihisiani.
Na kujibu swali lako, kama nitakuwa na energy ya kutosha itakayoniwezesha kutumia force Kubwa kunyanyua ambayo itazidi weight ya Hilo pipa yes ntanyanyua. Keep in mind surface area ya miguu yangu pia inakuwa considered kuwezesha kuhold Hilo pipa.
Kwanza ondoa dhana ya kwamba nadanganywa nipe elimu yako kwanza then ndo uje useme nadanganywa je kama ww ndo unanidanganya?Sasa Muongo atakua nani kati ya yule anaetetea kudanganywa na anaeutetea ukweli auoonae kwa macho yake mwenyewe.?
NkumbiSon si tumekubaliana mpk Sasa kuwa Gravity ipo? Ila jinsi gravity inavyofanya kazi ndo hatujafika ama?Safi, huko kwenye gravity ni force Bado hatujafika. Kwahy mpaka Sasa tuko pamoja kuwa Gravity ipo au utaamua ww utakavyoiita kama unaona neno Gravity linakutatiza???
Naomba nimsaidie kujibu hilo swali la kuumbwa..,, Jibu ni NDIYO,. "NIMEUMBWA"Sipendi kuongelea mambo ya kuamini, maana nikikwambia nachoamini tunaweza tusielewane, Mimi nilijibu swali lako vzr tu Kwa kukuuliza je wewe umeumbwa? Na hujanijibu mapka sasa sijui unaogopa? Maana uliniuliza kama Kuna kitu halosiaeambacho hakijaumbwa.