Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Soma vzr swali ulilouliza. Umeuliza nguvu ya kuvuta maji(kustick) na nguvu ya kunyanyua mguu ipi Kubwa?

Automatically nguvu ya kunyanyua mguu itakuwa Kubwa. Kwa sababu nguvu iliyotumika kuvuta maji yastick kwenye ground ndio hiyo hiyo inayovuta mguu wako, Sasa kitendo Cha ww kuweza kunyanyua mguu wako inamaana umeizidi hiyo nguvu inayouvuta mguu wako chini. Nadhani nimeeleweka.
tunazungumzia maji kuzuiwa yasimwagike katika Dunia yenye shape ya Mpira kua ni hiyo force. lakini hiyo force imeshindwa kuzuia mguu kunyanyuka. hivi na tukimwaga maji ardhini vile yanavyopotea napo hutokana na Gravity au?
 
Mimi naona nimejibu maswali yote kama Kuna kitu sijajibu sema hapa kwani Kuna shida Gani?
nitakua nayarudia pindi yakihitajika tena ila kam hautojali soma post zangu kuanzia #5492 halafu jibu yote yenye viulizo.
 
kwanza ondoa dhana ya Jua limesimama/Limetulia katiaka mawazo yako pindi uniulizapo maswali yahusuyo FlatEarth maana nimegundua unashundwa kunielewa kwasababu bado una dhana za ki globe, unakumbuka nilikuambia pitia kidogo hata basic ya Flatearth namna dunia na vitu vyake inavyfanya mambo yatokee.
Nimeiondoa na ndio maana nimeuliza Ili unipe maelezo kwa kutumia dhana ya Dunia flat au wapi nimekosea?
 
na hili swali ukilichunguza vizuri linatoa sapoti kwa watu wa flat zaidi kuliko wa Globe. wakuulizwa haswa kwanini halicheng shape na dunia inalikimbia ilitakiwa iwe wewe. mimi nimekueleza vizuri hatulioni likibadili ukubwa au udgo kutokana na mazingira na namna linavyotoa mwangaza wake. unajua hata la mawio na machweo huonekana kubwa kwa sababu tunaliona likiwa katika mionzi hafifu tofauti na lile la saa sita mchana. kuliangalia tuu livu ngumu hadi utumie vifaa na bado utaliona ni dogo kishape tofauti na hilo la kwenye picha.
Kaka naona umeanza siasa na ushindani sijui kwann? Kwanza nipo hapa Ili wewe unipe elimu ya Dunia flat Sasa ukitaka tena namm nianze kujibu Kwa kutumia Dunia duara naona tutakuwa tunarudi kwenye kushindana sasa. Au kama umeshindwa kutoa maelezo sio mbaya kusema hujui au kukubali kuwa hicho kitu hakimake sense kuliko kuforce kutoa majibu ambayo hata wewe hujui umeyatoa wapi.

Mfano nikikuuliza unavyosema Jua halipungui size Kwa sababu linatoa mwanga wake na vingne vinapungua size hayo maelezo umeyatoa wapi? Na nini sababu ya kuwa hivyo kwamba Kwa sabab hiki kitu kinatoa mwanga wake basi kamwe halipungui size yake, na kama hakipungui size yake Bado unaacha swali kuwa KAMA HALIPUNGUI SIZE LINAPOTEAJE SASA? AU HUJUI KAMA MNATUMIA DHANA YA PERSPECTIVE AMBAYO INAELEZEA KUWA JUA LINAPUNGUA SIZE HADI LINAPOTEA KWENYE UPEO WETU WA MACHO?
 
nikusaidie uelewa, kwa mchana ukubwa wa jua tunaufeel kuanzia miale yake ya mwangaza ndio maana tutaona linaangaza sehemu kubwa kwa mwanga mkali tofauti na la asubuhi au jioni. na kwa nyongeza, nchi au visiwa vya katikati ya dunia kuna wakati jua wanaliona kama linapitia kule south na ndio wanaolishuhudia vizuri kua lipo katika mzunguko wake.
Sijui hapa umejibu kuhusu nini, ila swali langu lipo Clear kabisa kuwa kama unasema/mnavyosema kuwa Jua hupotea(sunset) Kwa sababu ya PERSPECTIVE, sasa ni kwann Hilo Jua huwa halipungui size Bali tunaliona kama linazama kama lilivyo na Kuna muda tunaona lipo half kama kwenye picha niliyokuwekea kabla.
Majibu yako hayapo clear Kwa kusema sababu Jua linatoa mwanga wake lenyewe nikakupa mfano kama Kuna taa ipo mbali sana let say 10km away tunaona mwanga wake japo size itakuwa imepungua lakni sasa Kwa maelezo yako haimake sense au kama vipi nipe sabab ya Jua kutoa mwanga wake ndo isababishe hivi. Na je vipi Kwa upande wa mwezi? Je nao unapungua SIZE?
 
tukikutana hapa tena nakuomba uje na sababu za kwanini baadhi ya nchi ikiwemo Uingereza hubadili majira ya saa zao kwakuyarudisha nyuma au kuyaongeza mbele masaa..
Kwanza nilifikri wewe ndo unanipa elimu ya Dunia flat au?
 
tunazungumzia maji kuzuiwa yasimwagike katika Dunia yenye shape ya Mpira kua ni hiyo force. lakini hiyo force imeshindwa kuzuia mguu kunyanyuka. hivi na tukimwaga maji ardhini vile yanavyopotea napo hutokana na Gravity au?
Jaribu kusoma maelezo yangu na uyaelewe vzr. Wewe kinachokuchanganya ni nini hapo? Mguu unaunyanyua umetumia force kuunyanyua je maji yanaweza kunyanyuka yenyewe?

Yaani nikupe mfano wa sumaku, assume hiyo sumaki inase vipande vya bati(chembe chembe)je huwezi kuvitoa kwenye sumaku?

Swala la kumwaga maji ardhi yakapotea ndio ni role ya gravity pia.
 
KWAKUTUMIA AKILI ZAKO NA MILANGO YAKO YA FAHAMU Je Unajiona upo katika umbo gani la dunia, je Jua linaonekana likimove au limesimama? je unahisi Dunia inazunguka au imetulia?
Kwa milango yangu ya fahami siwezi kuona umbo la Dunia Kwasababu siwezi kuona Dunia yote katika 3D lakn naona part ndogo tu ya Dunia nilipo.

Kuhusu Jua kumove au kusimama kiuhalisia siwezi na sijawah kuona Jua linajongea Bali naona effect tu kuwa Jua halipo kwenye position lililokuwepo, kwahy Kwa mantiki hiyo Kwa kutumia milango ya fahamu naweza kusema Jua limemove lakini haimaanishi huo ndo uhalisia, unaweza kuwa kweli au si kweli.

Kuhusu Dunia kuzunguka au kutulia Kwa milango yangu ya fahamu naona tupo stationary lakini pia haimaanishi ndio uhalisia inaweza kuwa kweli au kinyume chake.
 
SWALI kwa aliyehoji hilo, Je Bila kitu gani kilichotokana na Sayansi na kipo kwa matumizi ya sisi wanadamu, pindi kikikosekana Uhai utakua Basi? Namaanisha kipi ukifanyacho kwa simu au Computer hakiwezi kufanyika bila hivyo vitu? je mwanadamu kazidiwa uwezo wa kiakili na hizi device?
Hili swali naimani sio langu na sipendi mada kama hizi napenda kuongelea vitu kama hivi.
 
tunakataa hakuna Gravity kwasababu haijawahi kuthibitishwa au kuteengenezwa kitu cha mfano wa Gravity FForce inavyofanya kazi kama mifano ya FForce nyingine inavyopatikana kuthibitisha fforce hizo.
kwa mfano kama hiyo gravitation force ina weza kuyabumba maji yasimwagike inashindwaje kuzuia miguu yetu isitembee ikiwa ni miyepesi kuliko density ya maji ya Bahari. hiyo force inalivuta jiwe kubwa kuelekea katikati ya dunia lakini imeshindwa kuyavuta mapulizo?
Hili nimeshalijibu👇👇 na mwishoni nilikuuliza swali naona wewe hukunijibu

Kuna kitu unachanganya, phenomenon(observable event) na Theory. Gravity ni phenomenon ambayo tunaiobserve in everyday life, mfano ukiruka utarudi chini, ukirusha kitu juu kitarudi chini na mifano mingine mingi inayofanania.

Sasa hiyo observation au effect ikapewa jina la GRAVITY. Kwahy ukisema unakataa gravity maana yake unapinga ukweli kuwa ukiruka haurudi chini, ukirusha kitu juu kitarudi chini.

Kitu ambacho ulipaswa uhoji ni the THEORY behind gravity. Yaani gravity inavyofanya kazi. Newton baada ya kuobserve apple limeanguka na kujiuliza maswali hakuweza kujua the theory behind gravity kwahy yeye akaconclude ni force ya vitu venye uzito. Einstein akaja kutoa mwanga zaidi kuhusu gravity( Einstein theory of general relativity.
Kwahy nikuweke sawa hapo.

Tukija kwenye jibu lako la DENSITY ndo inasababisha vitu vifall nimekuelewa vzr kabisa hujakosea but Kuna kitu kinamiss, kitu Gani? Soma Kwa makini hapa!!👇

Assume umechukua object fulani ukaiweka hewani at some distance from the ground, technically hiyo object lazima itafall si ndio? Of course yes, utasema hiyo object ni more dense than air. Swali la kujiuliza tu kwanini Downward direction ⬇️??
Kumbuka hiyo object kabla haijafall down ilikuwa imezungukwa na Air pande zote(juu, chini, na pembeni) na pande zote hizo Kuna air ambayo ni less dense than hiyo object Sasa swali Bado linabaki ni kitu Gani kinachagua direction ya chini na sio otherwise??


ndio maana tunaamini kila kinachoizidi hewa uzito kitatafuta base kitue au kutulia. kuhusu kushoto au kulia, wewe mwenyewe ni shahidi hata ukiisahau ndoo tupu chini upepo ukiizidi nguvu ya kushoyo au kulia itasogea na itabaki ardhini labda ikipatikana nguvu ya upepo wa kuinyanyua ndio itaelea. jr density ya hewa na maji ipi kubwa au gravity imechagua vyakuvivuta tuu.?
Hapa pia nimeelezea kama hapo juu kuhusu density na inavyofanya kazi.

Kuhusu kati ya density ya hewa na ya maji ipi Kubwa jibu ni ya maji ni Kubwa kuliko ya hewa 1000kg/m³ na hewa ni 1.225kg/m³.

Usichoelewa ww ni kuwa hata hiyo hewa pia inavutwa lakini resultant force inayopatika ndo inafanya ielee angani.
 
Unaamini mwanadamu ni kiumbe halisia ambacho hakikuumbwa jechanzo chake ni kipi.? Mtoto Mchanga au Mtu Mzima.? Namaanisha kabla ya Kuanza kuzaliana?
Sipendi kuongelea mambo ya kuamini, maana nikikwambia nachoamini tunaweza tusielewane, Mimi nilijibu swali lako vzr tu Kwa kukuuliza je wewe umeumbwa? Na hujanijibu mapka sasa sijui unaogopa? Maana uliniuliza kama Kuna kitu halosiaeambacho hakijaumbwa.
 
Assume umechukua object fulani ukaiweka hewani at some distance from the ground, technically hiyo object lazima itafall si ndio? Of course yes, utasema hiyo object ni more dense than air. Swali la kujiuliza tu kwanini Downward direction ⬇️??
Kumbuka hiyo object kabla haijafall down ilikuwa imezungukwa na Air pande zote(juu, chini, na pembeni) na pande zote hizo Kuna air ambayo ni less dense than hiyo object Sasa swali Bado linabaki ni kitu Gani kinachagua direction ya chini na sio otherwise??
NkumbiSon hapa hukunipa majibu
 
jibu unalipata hivi, kila unapozidi kwenda juu Hewa inakua na nguvu kuliko chini, na kitu kitakachokua kizito kuliko hewa ya chini kitashuka chini maana ndiko palipo na hewa iliyo dhaifu kwa uzito huo.
Kwann hewa inakuwa na nguvu huko juu? Ni nini sababu ya hiyo nguvu au inatokea wapi? Na kwann hiyo nguvu iwe kuelekea chini na sio any other direction?
na ndio maana unaweza ukachora duara chini na ukishika jiwe mkononi ukiliachia linatua katika duara uilolichora ila ukiwa gorofani ni ngumu jiwe hilo kutua katia hilo duara hata kama upo katika usawa uleule.

hapo ni kwakua utakua juu na hewa ya huko ina nguvu kuliko ya umbali wa mkono wako so jiwe litapata changamoto ya hewa za pande zote isipokua ya chini. hapa nimewaza kwa akili zangu tuu.
Kwahy hapo ni fikra zako tu? Embu tuachane na majibu ya unavyowaza maana hayana ushahidi wowote naww hapo huyaamini.
utanifundisha ikibidi, kinachosababisha usilenge duara ni nini na upo katika usawa ule ule?
Simply ni Air resistance kama hakuna air resistance hiyo object lazima itue ulipokusidia
 
Ntakujibu kadri niwezavyo naomba tu usome na uelewe Kwa umakini.

1. Swala la kunyanyua mguu kumbuka unatumia energy yaani unatumia force which actually must be greater than the way gravity pulls. Kwahy Force ya mguu wako inakuwa greater than Fg.

2. Swala la pulizio(Puto) ukishindwa kivutwa na gravity ni simple tu, BUOYANCE, hizi Puto zinakuwa filled with gas ambayo ni light than air around them mfano helium. Nini hasa kinatokea hapa na gravity inahusikaje?? Soma Kwa makini hapa chini!!👇

Recall: Fb=density ×Volume×g
Fb==buoyant force, g==acceleration due to gravity

Kumbuka
The buoyant force is an upward force exerted by a fluid (liquid or gas) that opposes the weight of an immersed object. In simpler terms, it's what makes things float!

Kwahy assume density ya air iwe 1.2, na density ya helium iwe 0.18. constant Volume iwe 20,

Tukifanya calculations hapo
Fb = 1.2×20×9.8= 235.2
Weight of helium = mass ×g
Mass = density×volume
=0.18×20
=3.6
Ukicompare hapo kati ya weight ambayo ni downward force na bouyant Force(upward) utaona buoyant force is greater than weight of helium thus upward movement, it's a combination of effect of density and gravity.
NkumbiSon hapa nilikupa majibu ukasema natumia vya darasani, kwani si nimeelezea DENSITY unayoisema kuwa ndo sababu ya vitu kufall? Kama unamaelezo tofaut na haya kuhusu jinsi DENSITY inavyosababisha vitu vifall ilete usikomee kujibu simple kama hivyo.
 
vigezo vya kuthibitisha hoja yako vimejikita darasani zaidi ambapo mimi naamini ndipo tulipodanganyiwa. kumbuka unaamini dunia ni tufe na limezungukwa na sehemu kubwa ya maji ya bahari, ndio nikahoji uzito wa maji na bado unashikiliwa na hiyo nguvu hadi hayamwagiki, ina maana maji yanazidiwa nguvu na force ya miguu kunyanyuka? nikikuwekea pipa la maji juu miguuni utaweza kulinyanyua kwa nguvu ya miguu?
Hapa nilikujibu👇
1. Iwe darasani ama lah!! Unatakiwa ukosoe Kwa hoja kwani darasani Kuna tofaut Gani na hapa tunavyojadiri??

2. Kama maji yana miguu yakinyanyua miguu yake nayo pia itanyanyuka kama ufanyavyo wewe, lkn maji hayana miguu.

3. Mfano wako wa pipa la maji kunyanyuliwa na mguu Bado unaonesha ni kiasi Gani unalack some concepts or knowledge's. Mimi kwenye maelezo yangu niliongelea gravity pull na force unayotumia kunyanyua mguu, kwahy Ili inyanyue mguu inamaana umetumia force Kubwa kuzid Ile inayokuvuta.

Kwa case ya pipa la maji, je pipa la maji linauwezo Kwa generate force lenyewe kama ww unavyoweza Kwa kunyanyua mguu? Jibu ni hapana!! Kwahy unacompare vitu ambayo havihisiani.

Na kujibu swali lako, kama nitakuwa na energy ya kutosha itakayoniwezesha kutumia force Kubwa kunyanyua ambayo itazidi weight ya Hilo pipa yes ntanyanyua. Keep in mind surface area ya miguu yangu pia inakuwa considered kuwezesha kuhold Hilo pipa.
 
Sasa Muongo atakua nani kati ya yule anaetetea kudanganywa na anaeutetea ukweli auoonae kwa macho yake mwenyewe.?
Kwanza ondoa dhana ya kwamba nadanganywa nipe elimu yako kwanza then ndo uje useme nadanganywa je kama ww ndo unanidanganya?
 
Sipendi kuongelea mambo ya kuamini, maana nikikwambia nachoamini tunaweza tusielewane, Mimi nilijibu swali lako vzr tu Kwa kukuuliza je wewe umeumbwa? Na hujanijibu mapka sasa sijui unaogopa? Maana uliniuliza kama Kuna kitu halosiaeambacho hakijaumbwa.
Naomba nimsaidie kujibu hilo swali la kuumbwa..,, Jibu ni NDIYO,. "NIMEUMBWA"

Logically,..kama una hakika hujajiumba mwenyewe,..That ,means ni hakika umeumbwa.....
 
Back
Top Bottom