Nishakujibu mara nyingi sana,.. labda kama unapata changamoto ya kuelewa.Mbn mpk Sasa hujibu??
Ndio kama hakuna uzito basi hakuna gravitational forceUshasema uzito ni jina lingine la gravity,.. so logically kama uzito hakuna na gravity hakuna.
Labda tuondoe logic hapo,. au ubadilishe kauli.
Ndio kama hakuna uzito basi hakuna gravitational forceUshasema uzito ni jina lingine la gravity,.. so logically kama uzito hakuna na gravity hakuna.
Labda tuondoe logic hapo,. au ubadilishe kauli.
Umejibu wapi?? Acha uongo wwNishakujibu mara nyingi sana,.. labda kama unapata changamoto ya kuelewa.
Basi mjadala umeisha,... vizuri sana kijana wangu umeelimika sasa.Ndio kama hakuna uzito basi hakuna gravitational force
Pitia posts huko juu,.. read between the lines utaona.Umejibu wapi?? Acha uongo ww
Gravity(uvutano)Kwa mantiki hiyo tunakubaliana kwamba weight (uzito) usipokuepo na gravity haipo?
Hujajibu kijana me sio mjinga kiasibl hicho, mass ni scalar au vector quantity????? Jibu mbn rahisi unaogopa nn?Pitia posts huko juu,.. read between the lines utaona.
Ww ndo umeelimika, ila Bado kidg tu.Basi mjadala umeisha,... vizuri sana kijana wangu umeelimika sasa.
Oh kumbe ni swali hilo,. sikuzingatia kulijibu cause sioni kama lina affect ukweli kwamba the so called gravity is just Uzito of an object.Hujajibu kijana me sio mjinga kiasibl hicho, mass ni scalar au vector quantity????? Jibu mbn rahisi unaogopa nn?
πππππOh kumbe ni swali hilo,. sikuzingatia kulijibu cause sioni kama lina affect ukweli kwamba the so called gravity is just Uzito of an object.
Sasa kama ni scalar quantity unasemaje inavuta vitu chini(direction)????Haya ngoja nikujibu sasa ,. Mass ni Scalar quantity.
Si tumekubaliani uzito usipokuwepo na gravity haipo....au umesahau tayari?Ww ndo umeelimika, ila Bado kidg tu.
Gravity ipo siku zote either kuwe na mass au la! Lkn gravitational force inategemea mass.
Kwani mimi nimesema inavuta chini?,. Weight ina act downward kwakua hiyo ni natural law kitu chenye uzito kinashuka chini always na sio kwamba kuna imaginary force inayovuta vitu chini hiyo force haipo!!πππππ
Sasa kama ni scalar quantity unasemaje inavuta vitu chini(direction)????
Na swali la pili nilikuuliza kwann weight Ina ACT downward tu?? Hukujibu pia.
Nililekebisha maana ulielewa vibaya, nimesema uzito(weight) ni jina lingine(nikimaanisha hakuna tofauti) la gravitational force.Si tumekubaliani uzito usipokuwepo na gravity haipo....au umesahau tayari?
Na kwa kukuongezea,.. uliposema Uzito ni jina lingine la gravity maana yake logically mtu akisema hakuna uzito,. that means hakuna gravity!
Acha ujinga wako ndugu,Mfano wako sio relevant na mada husika,.. Dunia umeshindwa kuthibitisha kwamba Ina move,...ila Ndege unaweza ukathibitisha kwa njia nyingi tu.
Thibitisha tu kwamba Dunia inazunguka,... usifananishe Dunia na vitu ambavyo haifanani navyo.
Hahh sio nilielewa vibaya,.. ndiyo ukweli na uhalisia huo.Nililekebisha maana ulielewa vibaya, nimesema uzito(weight) ni jina lingine(nikimaanisha hakuna tofauti) la gravitational force.
Note: nilichorekebisha instead of gravity weka gravitational force, na nimekueleweaha hapo juu kuhusu hili.
Ila wewe jamaaππKwani mimi nimesema inavuta chini?,.
kwa mfano chukua package ya sukari kg 10 na Kg 25 kisha kwa pamoja beba kwa mkono wa kulia na kushoto respectively,...kisha tuambie uzito upi utakua unakuvuta sana chini?
Sasa kitu kitashuka chini chenyewe tu, kwahy unataka kusema kitu kinaweza kumove kutoka one point to another bila force(internal or external force)?????Weight ina act downward kwakua hiyo ni natural law kitu chenye uzito kinashuka chini always na sio kwamba kuna imaginary force inayovuta vitu chini hiyo force haipo!!
Kusingekuwa na forcce nisingekuwa natumia nguvu kunyanyua(muscle contraction). Without gravity all bodies are weightless. We feel weighted because of gravity.Wewe simama hapo,.. kisha inua mguu wako mmoja,. unahisi kuna force yoyote inayouvuta huo mguu chini?
Nimekuelewesha tayari hapaHahh sio nilielewa vibaya,.. ndiyo ukweli na uhalisia huo.
Nadhani umenielewa,, jibu maswali yangu sasaUlikua sahihi kabisa uliposema kwamba uzito ni jina lingine la gravity,.. Ulivyosema hivyo ndiyo nikajua kumbe akili yako ipo vizuri ni changamoto tu za kukaririshwa zimeathiri uwezo wako kwa namna fulani.
Sasa kama milango ya fahamu haiwezi completely kujua kama object fulani ina move/not,. utatumia mbinu gani kujua kama ina move?Acha ujinga wako ndugu,
Wewe umehusisha milango ya fahamu kuhusu utambuzi na ndio maana nmekuja na huo mfano, ambacho hujaelewa ni nini ?
Maana ya kutoa huo mfano hitimisho lake ni kuwa Dunia ina move with constant speed