hateeb10
JF-Expert Member
- Dec 8, 2022
- 2,920
- 1,223
Hahh basi haina haja ya kuchambua mifano yote,..Hapana!! Sitakubali Wala kukataa Moja Kwa moja. Bali Nitajibu!! Kama nilivyojibu kwenye huo mfano mmoja uliochambua
Hapa mtu akisoma atajua mimi na wewe nani lengo lake kujifunza na nani lengo lake ajione ameshinda.