Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Mkuu eiyer labda nikuulize swali dogo tu,kwa mfano unasafiri letsay unaelekea kusini bila kukata kona,kwa dunia yako iliyo kama cd mwisho wake ni wapi?kwa dunia iliyo kama cd ni lazima kutakuwa na mwisho,sasa nataka uniambie mwisho wake ni wapi?
 
hiyo th


Hiyo theory haikuanza hivi hivi, lengo lake ni kuwapoteza watu wasifahamu kuwa dunia iliumbwa na Mungu mkuu. Kwamba hakuna Mungu duniani na hivyo hata biblia sio kitabu cha kuaminiwa kwa vile biblia inasema Yesu akirudi kila jicho litamuona, kwa hiyo kama kila jicho litamuona dunia ikiwa ya duara wakati anarudi watu wanaoishi upande wa pili hawatamuona. Hivyo biblia ni kitabu cha watu wajinga wa dunia. Nadhani hii ni vita kati ya Mungu muumbaji na Lucifer ibilisi Muongo
 
Kwa mfano wako huo unataka kuniambia kwamba ukitumia vifaa vya kuona mbali,kama uko mbeya unaweza kuiona dar?na rotation ya jua na mwezi inakuaje kwenye dunia flat yaani jua huwa linazama wapi na hata hivyo dunia ingekuwa ni flat ingefika mahali mtu unakuwa katikati yaani upande mmoja usiku na upande mwingine ni mchana!sasa niambie ishawahi kutokea mtu anakuwa katikati upande mmoja usiku na upande mmoja mchana kwenye dunia ya duara hiki kitu hakiwezekani lakini kwenye flat kinawezekana
 
Angalia live ISS utagundua hayo uliyomeza ni matango pori
 
Na vipi kuhusu kupishana kwa ma saa na siku huku usiku huku mchana au kuna sehem jua hua linajificha???
 
Mkuu, umemaliza.
 
Unaona kama hakutakuwa na milima inayokuzuia...

Hiyo hoja yako nyingine imeshajibiwa humu kwenye hii thread,punguza uvivu,soma thread kuna majibu hadi picha inayotembea ipo kuonesha ni namna gani kuna mchana na usiku kwenye dunia flat....
 
Mkuu eiyer labda nikuulize swali dogo tu,kwa mfano unasafiri letsay unaelekea kusini bila kukata kona,kwa dunia yako iliyo kama cd mwisho wake ni wapi?kwa dunia iliyo kama cd ni lazima kutakuwa na mwisho,sasa nataka uniambie mwisho wake ni wapi?
Yote haya yameshajadiliwa kwenye mada hii lakini naona mnaona uvivu kusoma....

Jibu fupi ni kwamba inategemea unaelekea upande upi.Kama unaelekea upande wa South pole utaishia kwenye barafu za kule na hii ni sawa na uelekee north pole...

Kama utaelekea upande tofauti utakuja kuibukia pale pale ulipoanzia safari yako....
 
kuna kitu mimi huwa najiuliza lakini sipati jibu...ni jiviii.why ,for the people who know the truth and reality huwa wanaficha mambo??

angalia hata akina Leonado Da vinci,tesla,faraday,mogan,newton na wengine kama Galileo galilei...kwanini walikuwa wanauficha ukweli juu ya siri nzito ya ulimwengu huuu...yani mind you brazaz wanaobisha kuwa dunia iko sijui duara ,yani ukweli ulifichwa ili kila mtu apate kureason the truth behind of everything....

yale yote tunayoyaona ni fiction na delusion as a mirror of reality but not reality...

kuna siri nzito snaa juu ya ukweli wote....mambo mengi sna yamefichwa...

vatcan ina own telescope kubwa ya dunia na ni watu wachache sana wanaoruhusiwa kuingia pale na kuitazama dunia katika 3 dimension state na kisha kutengeneza fiction nyingi snaa juu ya uhalisia ili watu wengi wafe bila kujua ukweli....

lakini pia unapaswa kujiuliza kuwa katika maisha yako ,everythinh can not be put truthly,everything you observe in this universe is half of its truth and reality...

hawawezi weka kila kitu wazi...

vatcan kuna siri nzito snaa pale...

maabara ya dunia ipo pale..na pale wanazalisha genetic editing ,genetic engeneering za hali ya juuu snaa lakini ukweli imefichwa...

vatcan has world and unibersal documents that proves the reality of this universe....

unambiwa hivi Space station ipo chini ya vatcan na kila inachokitoa kinakuwa oposite na ukweli...

kwann vatcan iwe bize kuchunguza mambo ya ulimwengu lakini at the same time wanajificha kutojulikana kuwa wao ndo vinara wa kila kitu lakini wanakomaaa kuwaaminisha watu kuwa mungu yupo..huenda hata uwepo wa shetan na jina mungu ni fiction created kwa lengonla kuwaogopesha watu wasifikilie beyond human nature ili wasiumize akili kiluutafuta ukweli juu ya uumbaji na nguvu inayokontrol kila kitu katika universe hii...

kuna kitu naanza kupata picha juu ya hii kitu...

huenda tunaishi katika ulimwengu ulio na ukweli 100% lakini ukawa imefichwa..

ukitaka kujua kwanini watu wanaojua mambo wanakuwa easily killed or assasinated na highly governing system...??

kuna nini....??

angalia hata akina Leonado da vinci waliuliwa kwa siri sana bada y kuanza kutoa siri nzito za dunia kupitia michoro,angalia mnyama Tesla alikufa kifo cha kutatanisha akadondoka gafla akafa..pale pale wakawahi documents na formula alizokuwa kaandika wakazificha ,unambiwa technology unayoiona sasa hivi ni idea na creativity iliyoachwa na Nicola Tesla...wanachokifanya huwa wanafungua makablasha wanainterprete laws and codes wanaingia kazini wanainvert new things lakini kiukweli everything were hidden to control people...

ukitaka kuamini kuwa mambo mengi ukiyajua ujue kabsa kuwa kuna watu watakutafuta na kukuomba ufanye nao kazi lakinibhapo hapo watakuwa wanachora njama wakuue kabla hujasambaza siri nyinginza dunia...

angalia watu wengi wanaostaafu kufanya kazi kwenye taasiis nyeti wakastaafu tu hawachelewi kupata mitindio ya ubongo au kupooza ubongo kabsaa..
unafikiri ni kwanini....!! they dont want them to expose the reality of the universe...

wakiona wew ni geniuz umeyajua mengi ya ulimwengu huu wanakufanyia kitu kinaitwa ABDUCTION,unarun mental health a kupoteza uwezo wa kukumbuka mengi..

chunguzeni watu wanaostaafu kutoka taasisi za siri ndo mtajua wanapatwa na magonjwa gani....

kwa hiyo mjua kabsaa kuwa there is great secret behind about the power of the universe ,how it regulates its creatures.....
 
Wanasayansi wakikuambia dunia ina umbo la mviringo unawakebehi. Lakini wakivumbua vitu kama internet, computer, na simu za mkononi unatumia huku unachekelea.
Unapenda kusafiri kwa raha kwa gari lako na hata angani kwa ndege lakini ukielezwa kuhusu gravity unasema ni u-Freemason na Illuminati au Jesuit.
Wewe ni kama yule mama mzee wa UK aliekuwa anapenda sana chai huku akipinga kitendo cha mabaharia wa Uingereza kuvuka bahari kwenda India.
Naona ukweli fulani kuhusu kile alichosema Dr Watson kuhusu akili za watu weusi.
 
Mimi nawaambia dunia ni shimo....!
-----
Wala siyo flat. Kulijua hili, ni kupanda vindege vidogo wakati wa clear sky (hakuna mawingu) na kindege hicho kiruke futi zaidi ya elfu 25 katika eneo la bahari. Chungulia dirishani na utazame chini karibu kabisa na usawa wa ndege hiyo. Kisha anza kutazama hapo na kuelekea upande wa upeo wa macho yako kwa msitari fikirishi ulionyooka. Kwa haraka utagundua dunia ni shimo. Tena shimo la mviringo.

Kama ni suala kupiga kura, juu ya post ya kwanza ongeza kipengere kingine cha dunia ni shimo.
 
Hahahahaa dah
 
Hao watu 25 waliosema dunia ni tambarare nadhani bado wanaishi kwenye conspiracies sana. 😵
 
Nikisimama Skanska Dar maeneo ya tegeta nitumie darubini kali bado zanzibar siioni. Hata nikipanda floor ya juu Kibo complex bado zenji haionekani hata kwa darubini ila something ineresting unaona boat ikitokea kwa chini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…