Yote haya yameshajadiliwa kwenye mada hii lakini naona mnaona uvivu kusoma....
Jibu fupi ni kwamba inategemea unaelekea upande upi.Kama unaelekea upande wa South pole utaishia kwenye barafu za kule na hii ni sawa na uelekee north pole...
Kama utaelekea upande tofauti utakuja kuibukia pale pale ulipoanzia safari yako....
kuna kitu mimi huwa najiuliza lakini sipati jibu...ni jiviii.why ,for the people who know the truth and reality huwa wanaficha mambo??
angalia hata akina Leonado Da vinci,tesla,faraday,mogan,newton na wengine kama Galileo galilei...kwanini walikuwa wanauficha ukweli juu ya siri nzito ya ulimwengu huuu...yani mind you brazaz wanaobisha kuwa dunia iko sijui duara ,yani ukweli ulifichwa ili kila mtu apate kureason the truth behind of everything....
yale yote tunayoyaona ni fiction na delusion as a mirror of reality but not reality...
kuna siri nzito snaa juu ya ukweli wote....mambo mengi sna yamefichwa...
vatcan ina own telescope kubwa ya dunia na ni watu wachache sana wanaoruhusiwa kuingia pale na kuitazama dunia katika 3 dimension state na kisha kutengeneza fiction nyingi snaa juu ya uhalisia ili watu wengi wafe bila kujua ukweli....
lakini pia unapaswa kujiuliza kuwa katika maisha yako ,everythinh can not be put truthly,everything you observe in this universe is half of its truth and reality...
hawawezi weka kila kitu wazi...
vatcan kuna siri nzito snaa pale...
maabara ya dunia ipo pale..na pale wanazalisha genetic editing ,genetic engeneering za hali ya juuu snaa lakini ukweli imefichwa...
vatcan has world and unibersal documents that proves the reality of this universe....
unambiwa hivi Space station ipo chini ya vatcan na kila inachokitoa kinakuwa oposite na ukweli...
kwann vatcan iwe bize kuchunguza mambo ya ulimwengu lakini at the same time wanajificha kutojulikana kuwa wao ndo vinara wa kila kitu lakini wanakomaaa kuwaaminisha watu kuwa mungu yupo..huenda hata uwepo wa shetan na jina mungu ni fiction created kwa lengonla kuwaogopesha watu wasifikilie beyond human nature ili wasiumize akili kiluutafuta ukweli juu ya uumbaji na nguvu inayokontrol kila kitu katika universe hii...
kuna kitu naanza kupata picha juu ya hii kitu...
huenda tunaishi katika ulimwengu ulio na ukweli 100% lakini ukawa imefichwa..
ukitaka kujua kwanini watu wanaojua mambo wanakuwa easily killed or assasinated na highly governing system...??
kuna nini....??
angalia hata akina Leonado da vinci waliuliwa kwa siri sana bada y kuanza kutoa siri nzito za dunia kupitia michoro,angalia mnyama Tesla alikufa kifo cha kutatanisha akadondoka gafla akafa..pale pale wakawahi documents na formula alizokuwa kaandika wakazificha ,unambiwa technology unayoiona sasa hivi ni idea na creativity iliyoachwa na Nicola Tesla...wanachokifanya huwa wanafungua makablasha wanainterprete laws and codes wanaingia kazini wanainvert new things lakini kiukweli everything were hidden to control people...
ukitaka kuamini kuwa mambo mengi ukiyajua ujue kabsa kuwa kuna watu watakutafuta na kukuomba ufanye nao kazi lakinibhapo hapo watakuwa wanachora njama wakuue kabla hujasambaza siri nyinginza dunia...
angalia watu wengi wanaostaafu kufanya kazi kwenye taasiis nyeti wakastaafu tu hawachelewi kupata mitindio ya ubongo au kupooza ubongo kabsaa..
unafikiri ni kwanini....!! they dont want them to expose the reality of the universe...
wakiona wew ni geniuz umeyajua mengi ya ulimwengu huu wanakufanyia kitu kinaitwa ABDUCTION,unarun mental health a kupoteza uwezo wa kukumbuka mengi..
chunguzeni watu wanaostaafu kutoka taasisi za siri ndo mtajua wanapatwa na magonjwa gani....
kwa hiyo mjua kabsaa kuwa there is great secret behind about the power of the universe ,how it regulates its creatures.....