Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Asante studio!!? REPRESENTING THE WINGS OF THE AIRCRAFT!! SO HAIMAANISHI KWAMBA KWA SABABU DUNIA NI FLAT BALI KWA SABABU WINGS(MBAWA) ZAKE NI FLAT.🤣🤣.

Na ndio maana nikikwambia ulete source unakimbia kumbe unajua Kuna vitu umevichambua na vingine umeviacha

 
hateeb10 etiiii???
 
hateeb10
Kimya kipande hiki🤣🤣
 
Tatizo mgumu kuelewa,...
  • This use often includes visualizing or conceptualizing a straight line between the two locations, even if actual travel might require navigating around obstacles.
"Conceptualizing a straight line"
Nadhani umeona ujinga wako Sasa!! Ndo maana hapa wakasema conceptualized line au imaginary line, Kwa maana ya kwamba line ambayo haitapinda kufata urefu wa mlima, ukifata tu urefu wa mlima hiyo line/path haitakuwa straight tena..
 
Mimi kwenye reference point yangu sioni kama kwenye hizo point kuna mkunjo,.. na nimekurahisishia kwamba from your point of view popote pala utakapo notice change in direction basi fahamu kwamba kuna mkunjo,..

sasa sijui kipi usichoelewa hapo.
Kwahy kwenye hizo point zingine hakuna change in direction???

Kwenye Kila point Kuna change in direction 👇
 
Sasa mwanzo ulivyosema "PLANE" Unamaanisha "Wandering".........

ulikua hujitambui au??
 
Huyo ni wa kuruka ruka tu

Najua yupo kimya anajipanga arudi hapa kujibu ujinga,
Sasa hapo unaona kuna point aliyotoa au anaruka ruka?

Muambie akupe uthibitisho wa kwamba Dunia ni tufe 🌎 na Inazunguka....

Even though anasema kwamba Gravity inavuta vitu chini,...ila kakiri mwenyewe kwamba tokea azaliwe hajawahi kuhisi anavutwa na force yoyote.
 
🤣🤣🤣🤣🤣 Unahaha tu mwenyewe!! Unaongea vitu hata huvijui,
 
hateeb10 sioni mrejeshoo🤣🤣
 
hateeb10 usiwe muoga we si ndo imeleta hata maneno humu🤣🤣
 
Sasa mwanzo ulivyosema "PLANE" Unamaanisha "Wandering".........

ulikua hujitambui au??
Hahahaaaa!! Mbona wewe ulisema plane Inamaanisha flat surface ya Dunia kwamba ndege inamove kwenye flat surface 🤣🤣🤣, kumbe muongo!!
 
Hahahaaaa!! Mbona wewe ulisema plane Inamaanisha flat surface ya Dunia kwamba ndege inamove kwenye flat surface 🤣🤣🤣, kumbe muongo!!
Mimi sio muongo Bali hujui nilitumia logic gani kusema hivyo...,

Basi ngoja niseme Ndege zina move vertically over the earth's surface,.... Hapo nadhani umefurahi sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…