Ukiangusha karatasi na Jiwe,.. rate ya kuanguka itakua sawa?Nilifanya experiment hii mwaka 2016, nikapata majibu yake Yale. Lakn pia tumekuwa tukifanya experiment tangu o level, majibu ni Yale Yale, vitu vyote vina accelerate the same 9.81.
Wewe aliyekuambia mimi nipo hapa ku argue nani?,.. wewe huna uthibitisho wa madai yako ndiyo maana unaona tupo kwenye argument hapa.Kwahy unapingana na flat earthers Hawa? Kwahy umeona ni kiasi Gani Dunia haiwezi kuwa flat, na umejua kwann nakataa hii Nadharia sasa?? Mimi sio mjinga, mpaka Sasa umeshaona mapungufu makubwa kwenye Nadharia ya flat earth,
1. Ni mzunguko wa jua
2. Ni acceration ya Dunia(kwamba Dunia Ina accelerate upwards at 9.81🤣🤣).
Naww umeona ni upumbavu ndio maana hukubaliani nayo.
Tukija kwako, Sina haja tena ya kuendelea kubishana naww kuhusu umbo la Dunia Kwa sababu
1. Huna Nadharia iliyokamilika kuhusu umbo la Dunia yako.
a) hujui mzunguko wa jua kwenye Dunia yako flat
b) hujui baadhi ya observations zinavyotokea( solar and lunar eclipses, moon phases pamoja na kwann tunaweza kuona Jua na mwezi Kwa pamoja) huna majibu na hujui. N.k N.k
2. Umekubaliana namimi kuwa Nadharia ya flat earth inamapungufu sio tu mengi Bali makubwa.
3. Umekiri mwenyewe kuwa Dunia Ina curvature👇👇
4. Umeshindwa kuelezea mambo mengi ambayo nimekuhoji, mfano:
a) great circle route
b) perspective according to you kama unavyosema ndo sabab ya kuona sunset na sunrise.
Hii inadhihirisha ni Kwa kiasi Gani huna point za muhimu kuendelea ku argue.
Huwezi kuthibitisha kwamba Dunia ni tufe na inazunguka,..then unasema nije na comeback?Kwahy unapingana na flat earthers Hawa? Kwahy umeona ni kiasi Gani Dunia haiwezi kuwa flat, na umejua kwann nakataa hii Nadharia sasa?? Mimi sio mjinga, mpaka Sasa umeshaona mapungufu makubwa kwenye Nadharia ya flat earth,
1. Ni mzunguko wa jua
2. Ni acceration ya Dunia(kwamba Dunia Ina accelerate upwards at 9.81🤣🤣).
Naww umeona ni upumbavu ndio maana hukubaliani nayo.
Tukija kwako, Sina haja tena ya kuendelea kubishana naww kuhusu umbo la Dunia Kwa sababu
1. Huna Nadharia iliyokamilika kuhusu umbo la Dunia yako.
a) hujui mzunguko wa jua kwenye Dunia yako flat
b) hujui baadhi ya observations zinavyotokea( solar and lunar eclipses, moon phases pamoja na kwann tunaweza kuona Jua na mwezi Kwa pamoja) huna majibu na hujui. N.k N.k
2. Umekubaliana namimi kuwa Nadharia ya flat earth inamapungufu sio tu mengi Bali makubwa.
3. Umekiri mwenyewe kuwa Dunia Ina curvature👇👇
4. Umeshindwa kuelezea mambo mengi ambayo nimekuhoji, mfano:
a) great circle route
b) perspective according to you kama unavyosema ndo sabab ya kuona sunset na sunrise.
Hii inadhihirisha ni Kwa kiasi Gani huna point za muhimu kuendelea ku argue.
Kitu unachopenda kukimbilia ni nimekaririshwa, picha nazokupa unasema ni katuni kwahy Dunia, watu wote nzima ifanye kazi ya kutengeneza katuni Ili kukuaminisha ww kuwa Dunia ni duara??
Haya na hii sema ni katuni👇👇
View attachment 3209821
Ukitaka tuendelee humu, njoo na comeback kwenye hayo maeneo nilihainisha hapo juu.
Penda kujifunzaMimi nakuambia objects hazi fall at the same rate,.. wewe unaleta kile wanachosema flat earthers hayo ni mawazo yao mimi sipo guided na mawazo ya watu fulani,. wakiwa sawa nita support wakiwa hawapo sahihi siwezi kukubaliana nao.
Ukiondoa air resistance vitaanguka Kwa pamoja. Najua unaona mapicha picha ila nimeshawahi Fanya.Ukiangusha karatasi na Jiwe,.. rate ya kuanguka itakua sawa?
Uthibitisho nimeshakupa wa kutosha🤣, na uzuri umekiri mwenyewe. Lakin ww umeshindwa kutetea hoja zako.Wewe aliyekuambia mimi nipo hapa ku argue nani?,.. wewe huna uthibitisho wa madai yako ndiyo maana unaona tupo kwenye argument hapa.
Haupo hapa kuomba uthibitisho, upo hapa kutetea Uzi(rejea mada ya Uzi) na umeshindwa vibaya kabisa.NOTE: Sipo hapa kufanya argument,.. nipo hapa kuomba uthibitisho usio acha maswali yoyote, kwamba 100% Dunia ni tufe na inazunguka,. kama huna uthibitisho endelea ku argue.
Sijashindwa siwezi kukushikia mtutu Ili ukubali. Ila hoja zako zinadhihirisha kiasi Gani umeelewa Sasa kuwa Dunia ni duara.Huwezi kuthibitisha kwamba Dunia ni tufe na inazunguka,..then unasema nije na comeback?
Hapa👇Eti nimekiri kwamba Dunia ina curvature,.. basi sawa tuseme nimekiri,. Then how can i prove kwamba curvature kweli ipo? wewe unaweza ku prove?
Kama unaona Bado una hoja, jibu hoja zangu nilizo ainisha hapo juu. Simple tu.Eti nimekiri kwamba Dunia ina curvature,.. basi sawa tuseme nimekiri,. Then how can i prove kwamba curvature kweli ipo? wewe unaweza ku prove?
Hujajibu swali,.. nimeuliza Karatasi na Jiwe ukirusha vitaanguka at the same rate?Nd
Ukiondoa air resistance vitaanguka Kwa pamoja. Najua unaona mapicha picha ila nimeshawahi Fanya.
View: https://youtu.be/E43-CfukEgs?si=-rlcXHBENBN4tyhL
Jibu: Ndio( condition hakuna air resistance)Hujajibu swali,.. nimeuliza Karatasi na Jiwe ukirusha vitaanguka at the same rate?
Jibu ndiyo au hapana.,,
Jifunze acha ujinga!!! Nimekupa video ya experiment iliyofanyika, je hujaona?? Au nayo ni katuni???🤣🤣Hujajibu swali,.. nimeuliza Karatasi na Jiwe ukirusha vitaanguka at the same rate?
Jibu ndiyo au hapana.,,
Umenipa uthibitisho gani?Uthibitisho nimeshakupa wa kutosha🤣, na uzuri umekiri mwenyewe. Lakin ww umeshindwa kutetea hoja zako.
Haupo hapa kuomba uthibitisho, upo hapa kutetea Uzi(rejea mada ya Uzi) na umeshindwa vibaya kabisa
Mimi ili kujua kwamba whether Dunia ni flat/tufe sihitaji model yoyote,.. i have senses to observe and decide,. unless proven otherwise.hateeb10
Ngoja kwanza, je tunakubaliana kuwa flat earth model(ambayo ipo published) Ina mapungufu sio tu mengi Bali makubwa pia?
Na kwamba hukubaliani nayo Kwa namna Moja ama nyingine
Jibu: Ndio( condition hakuna air resistance)
Naww, coin ya 200 na jiwe la 1 kg ukiangusha Kwa pamoja je vitaanguka at the same rate, and same time????
Sasa experiment ambayo mimi mwenyewe naweza kuifanya unataka mpaka nifanye reference kwa mtu mwingine,.. sidhani kama kuna ulazima huo.Jifunze acha ujinga!!! Nimekupa video ya experiment iliyofanyika, je hujaona?? Au nayo ni katuni???🤣🤣
Kuanguka at the same rate and time itategemea density ya object hizo mbili (Coin ya 200 na Jiwe la Kg1) compared to air. na of course kama hakuna hewa zitaanguka kwa wakati mmoja since hakuna chochote kinachoweza ku resist.Naww, coin ya 200 na jiwe la 1 kg ukiangusha Kwa pamoja je vitaanguka at the same rate, and same time????
Fanya Sasa acha ubishiSasa experiment ambayo mimi mwenyewe naweza kuifanya unataka mpaka nifanye reference kwa mtu mwingine,.. sidhani kama kuna ulazima huo.
Your senses have limits!! Sasa endelea kukaa na sense zako hivo hivo!! Mbn huamini kama ruler inapinda ukizamisha kwenye maji, mbona unaamini illusion kwenye kuzama Kwa Jua?? Acha uongo na ujingaMimi ili kujua kwamba whether Dunia ni flat/tufe sihitaji model yoyote,.. i have senses to observe and decide,. unless proven otherwise.
Unasema condition iwe hakuna air resistance? kwanini object mojawapo iwe affected zaidi na air resistance kuliko object nyingine?
🤣🤣🤣🤣 Umeishiwa sasa?? Umeshamaliza Kila kitu, umesema Dunia Ina curvature. Hukubaliani models za flat earth, huna unachojua chochote kuhusu umbo la Dunia so huna chochote Cha kuendelea kusema humu, labda utetee hoja nilizoanishaUmenipa uthibitisho gani?
Hata wewe deep down unajua kwamba huwezi kutumia hizo katuni kuthibitisha 100% kwamba Dunia ni tufe na inazunguka,..
Asanteee!!! Umemaliza yoteee!!na of course kama hakuna hewa zitaanguka kwa wakati mmoja since hakuna chochote kinachoweza ku resist.