Atomic orbital
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 374
- 484
Hivi Kuna watu bado wanaamini dunia ni tambarare!!!!! What a head..?
Mweka mada kaeleza sijui picha za kutengeneza mbona nae kaleta hiyo mipicha ya flat eaEar ya kutengeneza!
Umaskini ni mbaya Sana!..
Wakati nchi nyengine zikiimalika kuja na kampuni Binafsi za mambo ya anga huku kwetu ndo kwanza tunarumbana utambarare na uduara!.. hivi ni siri gani hiyo waifiche halafu wakuachie Uhuru wa wewe kuweza kuing'amua kirahisi..?
Nani kawakataza kuunda maroketi na mkatoka huko juu mkapiga picha za dunia na mkaprove dunia ni flat,Nani kawazuia..?
Nani leo hii ajisumbue kubishana nanyi juu ya utambarare wa dunia na wakati nyenzo za kuprove na kuleta huo ukweli mnaouita mchungu.. nyenzo hizo mnazo..? Mnao muda,mnayo nafasi,mnayo pesa ila mmejawa ujinga tu!
Kadri mnavyozidi kubisha na kuleta hoja zenu juu ya dunia tambarare ndio Kama vile mnakosea na kufanya zaidi nielewe ya kuwa dunia ni duara!.
Wengine mmeweka picha ya hiyo dunia duara ati ikichuruzika maji sijui hata gravity mnaielewaje!.. kwenu Hilo mnaona Kama muujiza lkn ukitaka kujua si muujiza anza kuelewa space ni nini.. ipoje na inakazi gani na inakuwa affected na vitu gani na kivipi baada ya hapo ndo utaelewa vizuri ni kivipi hayo matufe yanaweza kusurvive kwenye space na yakiwa na spidi Kali n.k
Usipojifunza wewe atajifunza nani..?
Okay ku challenge kitu sio tatizo kwangu bali tatizo how you challenge..?
Hapa naona kuna mkanganyiko tu watu wa flat Earth wanataka wajibiwe maswali Yao lkn cha upuuzi nao wanakuja na misingi dhaifu na mipicha ya kuunda huku wakilalamikia picha za kuundwa!
Naelewa Sana ktk msingi wa dunia duara na ndio ninayoiamini.. kina Elon musk wasingefanya tafiti za kupeleka mtu sayari nyengine Kama Kuna Siri inatakiwa ifichwe!.. mataifa hasimu yote yashirikiane kuidanganya dunia na watu wake kuwa dunia ni duara kwa nia ipi ya maana labda watu tukiijua Basi wao watapata hasara..?
Mkuu hii sio siasa! Komenti yangu imeshamaliza kila kitu ni wewe kufanya tafiti zenu na mtuletee majibu! Hakuna aliewazuia kurusha vitu angani Sasa tuleteeni picha ya dunia flat halisi hivyo tu!.. swala la gravity nalielewa Kama lilivyoelezwa kifizikia toka alivyoanza nalo newton mpk ilipofika kwa Albert.. kasome mwenyewe utaelewa na huko utajibiwa vizuri kivipi dunia inazunguka jua ama vitu kuzungukana.. hiyo ni kazi yako!Okay hapa swala sio kuamini au imani, swala ni kujua kitu kwa uhakika , unaweza kuamini jambo bila kuwa na uhakika nalo ,, unaweza kuamini jambo au maudhui fulani na yakawa kweli kwa upeo wako ingawa hayaendani na uhalisia, lakini haimaanishi kwamba hayo mambo unayo amini yana uhakika na ukweli ndani yake kwasababu unayaamini au umeaminishwa , ila unachagua tu kuamini kwasababu mbalimbali ulizoona zinafaa au zinaendana na mawazo yako, ilhali hayaendani na uhalisia ,
Kwa mfano Jua huchomoza mashariki na hutua magharibi hivyo hivo kwa mwezi na nyota katika nyakati zake tofauti , nikisema hivi simaanishi kwamba naamini hivyo bali najua na nafahamu hivyo kwababu ni vitu ambavyo vinaonekana na ni observable na ni uhalisia ambao haupingani na milango ya fahamu.
Kuhusu swala la picha ni mfano tu wa jinsi mfumo huu wa Dunia ulivyo na unavyo fanya kazi ni kutokana na observation , tofauti na picha za mawakala wa anga (Nasa na wengine) wanazo leta na kudai na kusema hii ndio picha halisi ya sehemu unayo ishi, kwahiyo jambo la picha lisikutishe sana elewa dhima yake kwanza,
Na tofauti ni kwamba wewe kutokana na ulivyo andika hapo juu unaamini kwamba dunia ni tufe na inazunguka Jua kitu ambacho hakiendani na uhalisia na sikulaumu kwasababu umechagua kuamini hivyo na ni imani yako na binadamu tunauhuru wa kuamini tunachokitaka, tofauti na mimi ambae nafahamu na najua kwa hakika kwamba dunia ni tambarare kutokana na uhalisia ulivyo hili sio swala imani
Je Nikikuuliza Gravity ni nini utaweza kunijibu?!
Hilo la kazi ya uumbaji halina ubishi, lkn leo Tukianza kubishana kuhusu sahani au tufe lina namna nyingi za kuproove mfano tofauti ya saa ni namna nyingine ya kuhakikisha kuwa dunia ni tufe.Hakuna binadamu anayeweza kutoka nje ya dunia , binadamu akienda mbali sana anafika low earth orbit ambayo bado ni ndani ya anga la dunia , kitu unachotakiwa kufahamu ni kwamba anga la dunia au Firmament ni kitu physical na hiyo inathibitisha kazi ya Muumbaji ,
wahiyo hiz sayari zingne zimo ndani ya Dome?Hakuna binadamu anayeweza kutoka nje ya dunia , binadamu akienda mbali sana anafika low earth orbit ambayo bado ni ndani ya anga la dunia , kitu unachotakiwa kufahamu ni kwamba anga la dunia au Firmament ni kitu physical na hiyo inathibitisha kazi ya Muumbaji ,
Hujui unachoandika kaka , unaandika jumbe ndeefu hamna point , na sidhani kama unauelewa vizuri huo mfumo wa heliocentric unaoutetea , usiandike tu vitu usivovijuaMkuu hii sio siasa! Komenti yangu imeshamaliza kila kitu ni wewe kufanya tafiti zenu na mtuletee majibu! Hakuna aliewazuia kurusha vitu angani Sasa tuleteeni picha ya dunia flat halisi hivyo tu!.. swala la gravity nalielewa Kama lilivyoelezwa kifizikia toka alivyoanza nalo newton mpk ilipofika kwa Albert.. kasome mwenyewe utaelewa na huko utajibiwa vizuri kivipi dunia inazunguka jua ama vitu kuzungukana.. hiyo ni kazi yako!
Nenda kawaprove hao waliogundua hayo mambo kuwa wapo wrong na hesabu zao! Nawe ukafanye tafiti Kama walizofanya ili ugundue na ulete uhalisia wa kuandika kuwa dunia ni flat..
Nimeshandika nenda kafafanue kwa uzuri space na nini na inahusiana vipi na vitu vyake vilivyomo na kivipi inaweza kuwa affected na vitu vilivyomo n.k Mimi sio kazi yangu kukufundisha hayo Kama alasivyo utakuwa hujui unachokipinga kama nitaanza kukufundisha hayo.
😂😂 Sawa ila huo upuuzi utakuja kuuacha hivi karibuni tu.Hujui unachoandika kaka , unaandika jumbe ndeefu hamna point , na sidhani kama unauelewa huo vizuri huo mfumo wa heliocentric unaoutetea , usiandike tu vitu usivovijua
Walishafanya kinaSawa kabisa ,Embu prove Dunia ni tufe linalozunguka kwa mile 1000 kwa saa
Chakujiuliza zaidi kwanini tulifundishwa dunia ni tufe, bila hiyo elimu tungekosa nini maishani au imetusaidia nini mpaka sasa ikiwa kwa uwezo wetu hatuwezi kuthibitisha.Uzi Fikirishi Sana!
Huu uzi unanihuzunisha sana kuona kiwango cha ukosefu wa exposure kiasi hiki. Jamani kutembea nako ni kuona. Tembeeni, someni, jifunzeni mtajua.Chakujiuliza zaidi kwanini tulifundishwa dunia ni tufe, bila hiyo elimu tungekosa nini maishani au imetusaidia nini mpaka sasa ikiwa kwa uwezo wetu hatuwezi kuthibitisha.
Mzee tujuze tu gravity ni kitu gani tuelimikeOkay hapa swala sio kuamini au imani, swala ni kujua kitu kwa uhakika , unaweza kuamini jambo bila kuwa na uhakika nalo ,, unaweza kuamini jambo au maudhui fulani na yakawa kweli kwa upeo wako ingawa hayaendani na uhalisia, lakini haimaanishi kwamba hayo mambo unayo amini yana uhakika na ukweli ndani yake kwasababu unayaamini au umeaminishwa , ila unachagua tu kuamini kwasababu mbalimbali ulizoona zinafaa au zinaendana na mawazo yako, ilhali hayaendani na uhalisia ,
Kwa mfano Jua huchomoza mashariki na hutua magharibi hivyo hivo kwa mwezi na nyota katika nyakati zake tofauti , nikisema hivi simaanishi kwamba naamini hivyo bali najua na nafahamu hivyo kwababu ni vitu ambavyo vinaonekana na ni observable na ni uhalisia ambao haupingani na milango ya fahamu.
Kuhusu swala la picha ni mfano tu wa jinsi mfumo huu wa Dunia ulivyo na unavyo fanya kazi ni kutokana na observation , tofauti na picha za mawakala wa anga (Nasa na wengine) wanazo leta na kudai na kusema hii ndio picha halisi ya sehemu unayo ishi, kwahiyo jambo la picha lisikutishe sana elewa dhima yake kwanza,
Na tofauti ni kwamba wewe kutokana na ulivyo andika hapo juu unaamini kwamba dunia ni tufe na inazunguka Jua kitu ambacho hakiendani na uhalisia na sikulaumu kwasababu umechagua kuamini hivyo na ni imani yako na binadamu tunauhuru wa kuamini tunachokitaka, tofauti na mimi ambae nafahamu na najua kwa hakika kwamba dunia ni tambarare kutokana na uhalisia ulivyo hili sio swala imani
Je Nikikuuliza Gravity ni nini utaweza kunijibu?!
Ina maana haujataka kuisoma na theory ya tambarare hayo unayotaka niyaelezee yako dhahiri kabisa namna gani unapata usiku na mxchana katika tambarare. Na nakuhakikishia kama darasani tungefundishwa theory ya utambarare na mimi keo ningeikataa basi ungeniambia nieleezee uduara ulivyo.Huu uzi unanihuzunisha sana kuona kiwango cha ukosefu wa exposure kiasi hiki. Jamani kutembea nako ni kuona. Tembeeni, someni, jifunzeni mtajua.
Nianze nawe nkumbi, ulifundishwa dunia ni tufe kwa kuwa ni tufe, sio kwa sababu ya picha zinazoonyeshwa, ni kwa sababu ya fact zilizopo na zinazoendelea. Ukiangalia ramani ya dunia kama kitambaa kilichotandikwa itakwambia mji wa Tokyo uko mashariki ya mji wa San Francisco. Ungetegemea chombo cha usafiri wa angani kama ndege kinachotoka Tokyo kwenda Sanfrancisco kielekee magharibi ili kifike safari yake. Lakini sivyo, huelekea mashariki ndipo kinapofika haraka zaidi kuliko ile njia ya mwanzo. Huu ni mfano mmoja wa utufe wa dunia na faida moja ya kufahamu elimu ya utufe wa dunia. utafakari kwa ajili ndogo tu ya kawaida.
Kuna mtu kwenye huu uzi ameeleza kuwa ndani ya masaa 24 ya siku wakati eneo moja linapokuwa usiku lingine linakuwa mchana. Ninapoandika haya ni saa 12 asubuhi just linatokeza. Lakini ndugu yangu Yuko Florida sasa hivi ananiambia ametoka kazini ndio anaingia kitandani, usiku. Sasa elezea hili kwa hiyo theory ya tambarare.
Hizo theory za mleta uzi zimejikita Sana kwenye conspiracy theories ambazo nyingi zinajibika kirahisi sana ukipata exposure ya kinachoendelea duniani fizikali
Ulichokiekeza nimeyashndwa mantiki yake. Ninachojaribu kukueleza nimekiishi, yaani hizo safari, sio theoryIna maana haujataka kuisoma na theory ya tambarare hayo unayotaka niyaelezee yako dhahiri kabisa namna gani unapata usiku na mxchana katika tambarare. Na nakuhakikishia kama darasani tungefundishwa theory ya utambarare na mimi keo ningeikataa basi ungeniambia nieleezee uduara ulivyo.
Hilo hapa sijui linahusikaje hapaNani mwenye mamlaka yakuona jua linatembea au kukuambia limesimama?
Najaribu kukueleza kwa moja ya mambo niliyoyaishi. Kutoka Tokyo kwenda Sanfrancisco kwa ndege ni masaa 8 na nusu tu kama ukielekea mashariki. Lakini ukitaka kuifata ramani inaounganisha miji hiyo miwili relative to africa ya mashariki itakwambia njia sahihi kuutumia ni ya kuelekea magharibi ambayo ukiifuata utatumia karibu masaa 20.Jiulize tena kwanini tulifundishwa shape ya dunia, zama deep Kwa akili zako mwenyewe, jiulize kile ukionacho na kile uambiwacho vina shabihiana. Kipi ambacho wewe kama wewe umekithibitisha mpaka sasa juu ya umbo la dunia. Je unachoamini sio theory?
Uko sahihiUlichokiekeza nimeyashndwa mantiki yake. Ninachojaribu kukueleza nimekiishi, yaani hizo safari, sio theory
Hilo hapa sijui linahusikaje hapa
Najaribu kukueleza kwa moja ya mambo niliyoyaishi. Kutoka Tokyo kwenda Sanfrancisco kwa ndege ni masaa 8 na nusu tu kama ukielekea mashariki. Lakini ukitaka kuifata ramani inaounganisha miji hiyo miwili relative to africa ya mashariki itakwambia njia sahihi kuutumia ni ya kuelekea magharibi ambayo ukiifuata utatumia karibu masaa 20.
Premise yako ni kuwa tunadanganywa. Lakini na compass nazo zinatudanganya?