Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Kwahiyo flat earthers hizo kingo za kuthobiti maji yasimwagike zipo wapi
 
Nimekwambia tofautisha curvature na mwinuko๐Ÿ˜„ alafu mbona hujibu maswali yangu?
ANGALIA CURVATURE YA DUNIA๐Ÿ‘‡

HAKUNA sehemu yoyote hapa duniani inayoonesha any curvature of the Earth kama NASA wanavyodai dunia ni sphere.
EARTH IS FLAT! Njoo uone ๐Ÿ‘‡

Spherical trigonometry za NASA zinasema. Globe ina total ya 25000 miles kwa mzunguko wote wa lile lisphere, kwahivyo kila baada ya mile moja unatakiwa kukutana na 8 inches ya curvature. Akimaanisha curvature inatakiwa iwe na total ya 8 inches per mile square. Ikiwa na maana ukitaka kucalculate unasquare mileage then una zidisha na 8 unapata curvature!

Yani kwa lugha rahisi ni kwamba unachkua square root ya umbali uliosafiri in miles, then jibu unalopata unazidisha na 8 inches unapata total namba ya curvature!

Mfano:๐Ÿ‘‡

Ukisafiri 1 mile (1ร—1ร—8) = 8 inches of curvature

2 miles (2ร—2ร—8) = 32 inches
Kubadili inches kuwa feet unagawa kwa 12.
So 32 inches รท12 = 2 feet of curvature

3 miles (3ร—3ร—8) = 72 inches
So 72 inches รท12 = 6 feet of curvature

4 miles (4ร—4ร—8รท12) = 10 feet of curvature

5 miles (5ร—5ร—8รท12) = 16 feet of curvature

6 miles (6ร—6ร—8รท12) = 24 feet of curvature

7 miles = 32 feet of curvature

8 miles = 42 feet of curvature

9 miles = 54 feet of curvature

10 miles = 66 feet of curvature

Kadri unavoenda mbali na curvature inaongezeka

11 miles = 80 feet
12 miles = 96 feet
13 miles = 112 feet
14 miles = 130 feet
15 miles = 150 feet
20 miles = 266 feet
30 miles = 600 feet
40 miles = 1,066 feet
50 miles = 1,666 feet
75 miles = 3,750 feet
100 miles = 6,666 feet

Kutokana na hiyo theory ya NASA hapo juuโ˜๏ธ ukiileta kwenye facts ambazo ni observable haifit kabisa! Iwe kwenye Ardhi au kwenye Water bodies.

Mfano hilo ziwa hapo chini(LAKE BAIKAL), ni ziwa kubwa duniani kuliko yote yenye fresh water! Lina urefu wa 395 miles na upana wa 49 miles

Tukipiga hesabu according to NASA inakua
395 miles (395 ร— 395 ร— 8) = 1,248,200 inches

Tubadilishe Inches to feet by dividing to 12
1,248,200 รท 12 = 104,016.66666666 feets

Tubadilishe feets kuwa miles รท to 5280
104,016.66666666 รท 5280 = 19.70 miles

Kwahiyo kwenye ziwa kwa urefu wake tulitakiwa kuona curvature ya jumla ya 19.70 miles!
Lakini mpaka sasa navyokwambia kuanzia mwanzo mpaka mwisho wa hili ziwa hata ukienda sahizi, ziwa zima ni flat hutakutana na curvature yoyote!๐Ÿ˜‚๐Ÿคฒ Sio hapo tu sehemu nyingi sana!
Kinachozuia tusione mbali ni mwisho wa uoni wetu. Angular resolution limit ya macho yetu. Yanaruhusu only kuona 3 miles away from you! Ndio maan utaona meli imedisapia

Tunapangwa sana, yote ni UONGO! We need to wake up
 
Dunia ni rough sio smooth kama wewe unavyoelewa, kama ingekuwa smooth round, every point ingekuwa ni curved na maji yasinge move kutoka point Moja Hadi nyingne yangekuwa stationary.
 
Wazee wa Spinning Ball nina swali hapa. Kama Dunia ni globe maji ya mto nile yanawezaje kupanda mlima kwenda Egypt?? Toka lini maji yakapanda mlima?? Naombeni majibu hapa.
ANgalia earth altitude profile mkuu, misri kule ni bondeni ukitokea uganda,,

Yani uganda papo juu misri papo chini
 
ANgalia earth altitude profile mkuu, misri kule ni bondeni ukitokea uganda,,

Yani uganda papo juu misri papo chini
Kama ni bondeni unarudi kuwa Dunia sio globe na ni flat ndomana maji yanakwenda Egypt. Wake up guys kuna vitu hata wewe unathink, maji yanawezaje kupanda ball???
 
Kama ni bondeni unarudi kuwa Dunia sio globe na ni flat ndomana maji yanakwenda Egypt. Wake up guys kuna vitu hata wewe unathink, maji yanawezaje kupanda ball???
Kwahy we hutaki kukubaliana na point kwamba Kuna curvature na pia Kuna vilima na mabonde at the same time. Nimekuuliza pia unaamini Jua lipo? Unaamini Kuna gravity?
 
Altitute profile unaifahamu???


Au swali rahisi unaamini kilimanjaro ndo mlima mrefu africa? Tuanze hapa kwanza๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Kama ni bondeni unarudi kuwa Dunia sio globe na ni flat ndomana maji yanakwenda Egypt. Wake up guys kuna vitu hata wewe unathink, maji yanawezaje kupanda ball???
 
Dunia ni rough sio smooth kama wewe unavyoelewa, kama ingekuwa smooth round, every point ingekuwa ni curved na maji yasinge move kutoka point Moja Hadi nyingne yangekuwa stationary.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Nasa wanavyosema kila baada ya mile 1 unakutana na curvature ya inch8 waongo๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ๐Ÿฟ๐Ÿ™Œ๐Ÿฟ
 
Altitute profile unaifahamu???


Au swali rahisi unaamini kilimanjaro ndo mlima mrefu africa? Tuanze hapa kwanza๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Na kitu namuambia Kila muda anashindwa tofautisha mlima na curvature. Sisi watu tunaofanya design za maji tunatumia sana concept za Dunia kuwa Duara, ila pia unaweza kuiproject Dunia into 2D.
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Nasa wanavyosema kila baada ya mile 1 unakutana na curvature ya inch8 waongo๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ๐Ÿฟ๐Ÿ™Œ๐Ÿฟ
Ni kweli, Sasa hiyo curvature inatofauti na hills au bonde, angalia hii picha


Hapo Kuna curvature lakini Kuna hill,
 
Kwahy we hutaki kukubaliana na point kwamba Kuna curvature na pia Kuna vilima na mabonde at the same time. Nimekuuliza pia unaamini Jua lipo? Unaamini Kuna gravity?
Nimeandika hapo kuhusu Curvature according to NASA lakini haijafiti kwenye maeneo mengi tu ni lies. Hakuna Gravity hizo ni theory walizokupa ili kutudanganya vizuri ni kitu ambacho ni impossible. Jua lipo na linaonekana kwa macho
 
Nimeandika hapo kuhusu Curvature according to NASA lakini haijafiti kwenye maeneo mengi tu ni lies. Hakuna Gravity hizo ni theory walizokupa ili kutudanganya vizuri ni kitu ambacho ni impossible. Jua lipo na linaonekana kwa macho
Hapo ndo nilikuwa nakusubiria๐Ÿ˜„,
Kama hakuna gravity, Jua limeshikiliwa na kitu gani? Na linazunguka vipi? Na je, ni la Duara au? Na zinaweza vipi ku-alternate na mwezi? Swali la pili, unaamini Kuna satellites?
 
Kwahy we hutaki kukubaliana na point kwamba Kuna curvature na pia Kuna vilima na mabonde at the same time. Nimekuuliza pia unaamini Jua lipo? Unaamini Kuna gravity?
Mimi sikubaliani na curvature nimekwambia according to NASA na bado hizo prove zao hazifiti. Siamini kwenye curvature maana najua dunia ni flat hakuna curvture zozote mkuu.

Hivi unavyoongea haviwezi kufanya kazi kwenye globe mkuu mbona simple tu.
 
Unaambiwa zipo Antarctica [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Kaaaaazi kweli kweli
Nimejaribu kutafakari kwa kina akili imegoma kabisa.

Sasa zile Circumnavigation.
Sunrise and Sunset
Mambo high na low tides.
Utofauti wa Saa kati ya longitude moja na ingine.
Sioni sababu yakuamini kuwa Dunia ni flat
 
Mimi sikubaliani na curvature nimekwambia according to NASA na bado hizo prove zao hazifiti. Siamini kwenye curvature maana najua dunia ni flat hakuna curvture zozote mkuu.

Hivi unavyoongea haviwezi kufanya kazi kwenye globe mkuu mbona simple tu.
Ship Visibility
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ