Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
1. Hakuna hata root moja iliyofanywa North-south na siku zote ndege inakwenda katika straight line.

2. Compass haiwezi kuwork kwenye ball never

3. Angalia root hiyo kutoka SA kwenda Australia lazima upitie Dubai, kwanini wasiende straight kutoka SA to Australia???. Sasa ukija kwenye flat earth map unaona uhalisia. Mapilot wengi waliohojiwa wanakiri Dunia ni flat lakini ni siri ambayo huwa hawaruhusiwi kuitoa.View attachment 2855388

View attachment 2855389
Japan na usa vita ya pilu ya dunia walitumia njia ipi kaka naomba jibu
 
Hawa wapuuzi ni nini wana hide Antartica? Kwanini hawataki twende kule na kuna ulinzi mkali sana.
IMG_4756.jpeg
🤷🏻‍♂️🤷🏻‍♂️🤷🏻‍♂️🤷🏻‍♂️.
 
Dunia inazunguka Dunia kwa speed ya 67,000mph ambayo ni sawa na 107,000km/hr. Dunia inajizungusha kwenye mhimili wake kwa 1,000mph ambapo ni sawa na 1,600km/hr. Spidi ya ndege (commercial) ikiwa angani speed yake ni 900-950km/hr.

Ndege ikisha takeoff inakuwa iko angani na muda huu Dunia inakuwa inazunguka kwa speed kali sana. Kwa hiyo speed ambayo dunia inazunguka dunia unaona ndege inamatch hapo? Ndege zingekuwa zinapotelea angani sababu speed ya dunia kwenye kuzunguka jua ni kubwa sana.

Dunia ingekuwa ni ball ndege zingekuwa zina curve ili kwenda na usawa wa Dunia. Tuko kwenye enclosed system hakuna anayeweza kiutoka nje ya Dunia wala kuingia.
View attachment 2855396
Dunia kuizunguka dunia kivipi tena au typing error ulimaanisha jua?

Halafu yakupasa kujua hiyo ndege duniani ni sawa na bacteria kwenye mpira so with that tininess & hugeness you can't sense the movement & speed ya dunia therefore hakuna impact kwa hiyo ndege kama unavyoeleza.

Tena hii ulipaswa kufanya hesabu ndogo tu kabla ya kuja na hiyo scenario yako, kwamba ukubwa wa ndege unachukua asilimia ngapi katika uso wa dunia.
 
Dunia inazunguka Dunia kwa speed ya 67,000mph ambayo ni sawa na 107,000km/hr. Dunia inajizungusha kwenye mhimili wake kwa 1,000mph ambapo ni sawa na 1,600km/hr. Spidi ya ndege (commercial) ikiwa angani speed yake ni 900-950km/hr.

Ndege ikisha takeoff inakuwa iko angani na muda huu Dunia inakuwa inazunguka kwa speed kali sana. Kwa hiyo speed ambayo dunia inazunguka dunia unaona ndege inamatch hapo? Ndege zingekuwa zinapotelea angani sababu speed ya dunia kwenye kuzunguka jua ni kubwa sana.

Dunia ingekuwa ni ball ndege zingekuwa zina curve ili kwenda na usawa wa Dunia. Tuko kwenye enclosed system hakuna anayeweza kiutoka nje ya Dunia wala kuingia.
View attachment 2855396
We ni mtu wa physics?
 
IMG_4755.jpeg
IMG_4735.jpeg
Dunia kuizunguka dunia kivipi tena au typing error ulimaanisha jua?

Halafu yakupasa kujua hiyo ndege duniani ni sawa na bacteria kwenye mpira so with that tininess & hugeness you can't sense the movement & speed ya dunia therefore hakuna impact kwa hiyo ndege kama unavyoeleza.

Tena hii ulipaswa kufanya hesabu ndogo tu kabla ya kuja na hiyo scenario yako, kwamba ukubwa wa ndege unachukua asilimia ngapi katika uso wa dunia.
Typing error Mkuu Nashukuru kwa kutambua hili. Mkuu wewe ndo unashindwa kung’amua hili jambo dogo sana. Wanasema Dunia inazunguka jua kwa spidi ya 67,000km/hr, muda ambao ndege inakuwa angani kumbuka muda huu dunia inazunguka jua kwa hio spidi. Kumbuka ndege ikiwa angani inakuwa kama inaelea so haiwezi kumatch speed ya kwenda sawa na spidi ya dunia.

Hizo theory zao hazimake sense, ndomana kuna kitu kinaitwa auto piloting, ingekuwa dunia ni curve isingewezekana. Pia compass haifanyi kazi kwenye ball mkuu, kuna vitu hata wewe unang’amua vzr kabisa. Point ni kwamba Jua ndo linazunguka Dunia pamoja na mwezi. Dunia haizunguki jua kama tunavyodanganywa chief.

Angalia video hii

View: https://x.com/exquisite_255/status/1736395042367947075?s=46
 
Typing error Mkuu Nashukuru kwa kutambua hili. Mkuu wewe ndo unashindwa kung’amua hili jambo dogo sana. Wanasema Dunia inazunguka jua kwa spidi ya 67,000km/hr, muda ambao ndege inakuwa angani kumbuka muda huu dunia inazunguka jua kwa hio spidi. Kumbuka ndege ikiwa angani inakuwa kama inaelea so haiwezi kumatch speed ya kwenda sawa na spidi ya dunia.

Hizo theory zao hazimake sense, ndomana kuna kitu kinaitwa auto piloting, ingekuwa dunia ni curve isingewezekana. Pia compass haifanyi kazi kwenye ball mkuu, kuna vitu hata wewe unang’amua vzr kabisa. Point ni kwamba Jua ndo linazunguka Dunia pamoja na mwezi. Dunia haizunguki jua kama tunavyodanganywa chief.

Angalia video hii

View: https://x.com/exquisite_255/status/1736395042367947075?s=46

Naifatilia kwa makini ntaleta mrejesho
 
Wewe according to physics yako wewe hali inabidi iwe vipi? Unaweza andaa documentation kututoa kwenye giza?
Ukweli jua ndo linazungua Dunia na sio dunia inazunguka jua. Jua na mwezi viko ndani ya Dunia na viko karibu sana. Tuko ndani ya bakuli mfano wa glass “firmament” na huko nje ni maji. Soma mwanzo 1:6, Isaya 40:21, zaburi 19:1 zipo verse nyingi sana zinaoelezea flatness ya Dunia.

Kuna swali unatakiwa kujiuliza kuna pande kuu nne za Dunia. Kama dunia ni duara hizo pande 4 zinatoka wapi? Duara lina pande????
 
mwingine haelewi kwa nini mto nile unatoka uganda kwenda misri wakati misri ina kimo cha juu kuliko uganda. hivi kweli unaanzaje kumwelekeza mtu wa namna hiyo kuwa dunia ni duara. nikianza kumwambia mambo kama mean gravity, sea level height from mean sea level na geoid si ndio ataona kuwa ni uongo wa wazungu. yaani wao huona somo la dunia kuwa mviringo linaishia tu kwenye jua kutoka east kwenda west wakati kuna material tele zinazosema kwa mifano na evidences kuwa dunia ni duara tena sio duara kama mpira, ni duara linaloitwa ellipsoid. kweli ni bora kuacha tu.
Hatariii😄😄
 
Kutoka japan kwenda usa unaweza onyesha plane route
Ok ipo hivi vita ya Japan na US ilianza baada ya Japan kuvamia Pearl habour na kufanya mashambulizi mwaka 1941, december.

Nakutumia hizi prove kwa flat earth
IMG_4762.jpeg
 
Yaani mtu anataka kuamini Dunia ni sahani sio tufe (ellipsoid), ila hapo hapo anaamini Jua ni Duara na linazunguka😄, hataki kuamini kani mvutano (gravity) ila anaamini Jua lipo angani linazunguka 😄😄.
 
Wazee wa Spinning Ball nina swali hapa. Kama Dunia ni globe maji ya mto nile yanawezaje kupanda mlima kwenda Egypt?? Toka lini maji yakapanda mlima?? Naombeni majibu hapa.
 
usiku na mchana ni uthibitisho tosha kwamba dunia ni kubwa na jua dogo kwa kufuata fikra ya dunia tambarare sahani.

KWa maana jua ni dogo haliwezi kumulika dunia nzima kwa concept ya dunia sahani tambarare.

Je hiyo inamake sense kwako mkuu,kama haimake why ?
Kama ingekuwa ndogo na karibu kiasi hiko tungeweza kunotice jinsi inavyomove Kwa urahisi, lkn we sasaiv kaa angalia Jua je, unaweza kuliona linamove?, na concept ya kwamba Jua ndo linamove Kwa sababu unaona Lina move, ulishawah kuwa kwenye gari, uliangalia miti Kwa nje unaona kama inarudi nyuma (inamove)?
 
Wazee wa Spinning Ball nina swali hapa. Kama Dunia ni globe maji ya mto nile yanawezaje kupanda mlima kwenda Egypt?? Toka lini maji yakapanda mlima?? Naombeni majibu hapa.
Kuna mtu alikujibu awali, tofautisha mlima na curvature.
 
Back
Top Bottom