Chosen Rich
JF-Expert Member
- Jan 7, 2019
- 1,467
- 989
Post number 1554, nlishakutumia majibu japo ni ya kutoka Quora,I think it'll be fair If I could say,..."Dunia ni kubwa sana that's why huwezi kuona kingo,...."
Kama nyie nnavyosema kwamba "Dunia ni kubwa sana that's why huwezi kuona curvature "......so it's both teams to score.
NB:- Usisahau kurudi kwenye post #1,554,..Globers wanakutegemea sana uwaokoe pale Mkuu.
kuhusu curvature umeshaelekezwa sana humu hadi watu wameona wakuache na ujinga ulionao.I think it'll be fair If I could say,..."Dunia ni kubwa sana that's why huwezi kuona kingo,...."
Kama nyie nnavyosema kwamba "Dunia ni kubwa sana that's why huwezi kuona curvature "......so it's both teams to score.
NB:- Usisahau kurudi kwenye post #1,554,..Globers wanakutegemea sana uwaokoe pale Mkuu.
Yap sehemu ambayo sijaelewa ni Je,. unakubali kwamba assumptions hizi:-Post number 1554, nlishakutumia majibu japo ni ya kutoka Quora,
Soma vizuri yale maelezo sehemu ambayo hujaelewa utaniuliza.
Mkuu,.hakuna yoyote aliyetoa majibu ya kueleweka kuhusu curvature....ni bla bla tu zinaendelea.kuhusu curvature umeshaelekezwa sana humu hadi watu wameona wakuache na ujinga ulionao.
Una misimamo ambayo mimi naiita ni ya kijinga, Maana umeelekezwa mpaka kwa mifano ya wazi lakini bado umekaza kichwa.
Lakini inapokuja wewe kujibu maswali ya nadharia yako ni bla bla bla hakuna majibu.
Umeshaelekezwa sana ila kichwa chako ni kigumu kuelewa,Mkuu,.hakuna yoyote aliyetoa majibu ya kueleweka kuhusu curvature....ni bla bla tu zinaendelea.
NB:- Sio wewe tu, hata wenzako pia hawajui curvature ipo wapi,.hata mnaowategemea(waliowadanganya) pia hawajui curvature ipo wapi exactly........ππΌ sasa nani ni mjinga hasa kama sio yule mwenye kuamini vitu ambavyo hawezi hata kuelezea uwepo wake na hajui vipo wapi zaidi ya kuamini tu without critical thinking.?!
Kwahiyo imani yako inakuambia kwamba hata hapo ulipo wewe ni curvature?!Umeshaelekezwa sana ila kichwa chako ni kigumu kuelewa,
Ungekua umeelewa usingekua na maswali kama "Location ya curvature ipo wapi"
Yani ni swali ambalo linakuonyesha wewe ni mweupe bado na huwezi kuelewa kitu.
Mkuu hata hapo ulipo ni curvature.
Unasema sisi tunaamini, Sio tunaamini ila tunatumia elimu pamoja na ufahamu wetu kupambanua mambo,
Ila wewe ndio unatumia imani,
Maana ungekua unatumia uhalisia hadi muda huu ungekua na majibu ya kingo za dunia zipo wapi kinadharia yako, Ila kwakua unatumia imani hautakuja kuleta huo uthibitisho kamweee..
Flat, msisahau kujiandikisha hapa
View: https://x.com/eastafricatv/status/1760645100592308373?s=20
Sasa watu wa flatearth mimi nawashauri anzisheni kampeni ya kwenda kwenye kingo au hiyo endless earth ili tupambane na nasa kwa uwiano sawa
Yap sehemu ambayo sijaelewa ni Je,. unakubali kwamba assumptions hizi:-
1. Non-rotating earth.
2. Assumption that the earth is flat.
Zina apply kwenye Piloting?
NB:- Hilo swali lipo directed kwako moja Kwa moja,.Ingependeza ukajilibu Kwanza,.then ndiyo uje na sources nyingine kama Quora na kadhalika.
Yap sehemu ambayo sijaelewa ni Je,. unakubali kwamba assumptions hizi:-
1. Non-rotating earth.
2. Assumption that the earth is flat.
Zina apply kwenye Piloting?
NB:- Hilo swali lipo directed kwako moja Kwa moja,.Ingependeza ukajilibu Kwanza,.then ndiyo uje na sources nyingine kama Quora na kadhalika.
Screen kwenye seat ya abiriaYap sehemu ambayo sijaelewa ni Je,. unakubali kwamba assumptions hizi:-
1. Non-rotating earth.
2. Assumption that the earth is flat.
Zina apply kwenye Piloting?
NB:- Hilo swali lipo directed kwako moja Kwa moja,.Ingependeza ukajilibu Kwanza,.then ndiyo uje na sources nyingine kama Quora na kadhalik
Unamaanisha ndege igande hewani ikisubiri location inayotaka kutua ?NB:- Hilo swali lipo directed kwako moja Kwa moja,.Ingependeza ukajilibu Kwanza,.then ndiyo uje na sources nyingine kama Quora na kadhalika..... Chosen Rich
Lakini pia hivi hufikirii mfano kwenye video ya kwanza uliyoweka hapo,.. umeonyesha kwamba Dunia inazunguka kitu ambacho kinamaaanisha mfano Ndege hata ikiamua kufanya mark time hapa hapa kwenye anga la Dar Es Salaam Tanzania basi inaweza ikafikiwa na Los Angeles USA,.na ikafanya tu kutua kwa kuwa location inajileta yenyewe thanks to the earth's rotation...haipo hivyo na ndiyo maana Pilots miongoni mwa vitu muhimu wanavyofundishwa ni Non-rotating earth!
Sijui unaelewa? Najua unaelewa vizuri tu ila Imani yako ndiyo Inakupa ukakasi.....
Yes,..unacheka lakini huo ndiyo uhalisia....au unataka ubishe na hilo?Unamaanisha ndege igande hewani ikisubiri location inayotaka kutua ?
π
Ahahahahahaha daah aiseee hii physics ya wapi hii...πππππππππYes,..unacheka lakini huo ndiyo uhalisia....au unataka ubishe na hilo?
Unahisi kwanini assumption ya Non-rotating earth inatumika kwenye Piloting? Kwasababu if the earth is rotating haina haja ya kutumia nguvu kwenda mji wa Seoul South Korea wakati unaweza ukachukua Helicopter π ukafanya mark time kwenye anga na Location ikakujia hapo ulipo we unafanya kutua Tu...
Tumia akili vizuri,.vitu simple sana hivi.
Hii sio ya kukariri,.....Ahahahahahaha daah aiseee hii physics ya wapi hii...πππππππππ
Kuna ile concept ya ukiwa ndani ya gari, then ukawa unarusha jiwe. Ndo nilikua nafikilia ita apply hapo uliposema wewe sasa... Au nakosea mkuuHii sio ya kukariri,.....
Mambo madogo hayo... .NB:- Kukariri kunadumaza uwezo wa ubongo kufikiria.
Usiende mbali mkuu,..wewe fikiria mfano unataka uende Nairobi Tu hapo Kwa kutumia Helicopter ,... Na unajua kabisa Dunia inazunguka na Kwa teknolojia iliyopo unajua kabisa ukifanya mark time na Helicopter yako ndani ya saa kadhaa Nairobi itakua imefikia mahali ambapo ulikua unafanya mark time,...utakachotakiwa kufanya ni kutua tu as earth's rotation has freely brought the city of Nairobi to you, Hahh....ππΌKuna ile concept ya ukiwa ndani ya gari, then ukawa unarusha jiwe. Ndo nilikua nafikilia ita apply hapo uliposema wewe sasa... Au nakosea mkuu