Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Hivi mkuu hata hiyo van allen belt ulijishughulisha kusoma ukajua ni nini kabla ya kuandika?
 
this proves that your failing ,,,,umeshidwa huna hoja wewe fanya reserch kwanza
Nijibu swali mtu akivuka hayo mabarafu yako ulionyesha kwenye picha yako inamana kafika mwisho wa dunia ataanguka?
 
Dunia ni Duara na Ajabu la kwanza duniani ni "Maji"
 
Sasa kama dunia ni mduara na inaelea anagani na muda wote inazunguka kwanini maji ambayo yapo baharini hayamwagiki na wakati huo hayajaganda.
Tatizo lako unafikiria dunia kama mpira.
Kwanza gravity ya dunia inavuta kila kitu toward itself, the mass of the earth is greater than the mass of the ocean.
ungekuwa una idea ya vector calcus ungeelewa.
Halafu kale kaswali kangu mbona hukajibu?
Nimekuuliza kama dunia haielei iko wapi na imeshikiliwa na kitu gan
 
Mie enz wananifundisha eti dunia ndo inazunguka nilgoma had leo nmegoma sema tu in case ya kufaulu nami naandka dunia inazunguka ila sihtaj kufanya utafiti kwa kitu nachokiona kila siku kuwa jua linazunguka.

Hata ktk Biblia kuna verse moja katka Kitabu cha Yoshua inasema Mungu alisimamisha jua had Israel ikashinda vita. sasa kama Mungu alismamisha jua maanake lilikua linazunguka otherwise angesimamisha dunia kama kweli dunia ndo inazunguka,Na mimi najua Mungu hasemi uongo.

Hvyo nimebaki kumtukuza Mungu kwa huu uumbaji wa ajabu.
 
Hii dunia ipo hivi haielei.
 
Mleta mada umevurugwa mno.
Sit back relax and start re thinking your thinking partens.

HAYA DUNIA NI TAMBALALE. Huo utambalale unaenda mpaka wapi???
 
Hii dunia ipo hivi haielei.
Kama haielei chini kuna nini ukichimba beyond dunia na kinaanzia wapi mpaka wapi nikiwa na maana mfano nyumba hailei, inamsingi ulioanzia kwenye ardhi.
Sasa dunia imeanzia wapi ukisema iko hivi hivi hueleweki.
 
Huna facts wewee.... etii mwisho wa upeo wa macho kama ni ivoo meli si ingepotea yote kwa wakati mmoja kwann kama inaondoka inaanza potea chini ndo ifate juu na kama inakuja inaanza kuonekana juu kwanza kabla haijaonekana yote..... akili ndogo tuu inahitajika hapa.......... nijibu na kuhusu day n nyt Au hilo swali hukuliona!! Afuu tusidanganyane apa etii ukitumia darubini unaiona hahhahaha unaona the same kama imeshaanza potea ndo ivoo ivo utakoova kwenye darubini alaf acha kukremisha sio nahodha pekee wenye darubini unaeza angalia pia ukiwa ufukweni na darubini yako jaribu kwa vitendo broo
 
Wewe mwenyewe ni mtumwa wa fikira unawezaje kuwaponda wazungu, umejitahidi kutetea hoja yako lakini uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana unachanganya lugha hata isipotakiiwa moja kwa moja inaonyesha umbumbumbu wako.

1.Kama Dunia haizunguki ipo tambarare ni nn kinasababisha majira kutofautiana ktk msimu ?

2.Umewahi jusafiri na ndege kutoka mashariki kwenda kasikazini labda Tanzania- Misiri Ethiopia au popote ukautumia mda mwingi kufika nini ulijifunza ukiwa angani ulipo kuwa ukirudi nn tofauti ulipata?

3.Kwanini usiku na mchana unatokea kwenye Dunia tambarale inakuwaje?

4.Mwezi ni kwanini mda mwingine huonekana robot au nusu ktk Dunia ambayo ni tambarale?


4.Kama Dunia tambaralei
 
Dunia kama ni tambarare, jua linazunguka kutoka wapi kwenda wapi?
 
Thibitisha nadharia yako. Unapoambiwa dunia ni tambarare unaweza kutoka sehemu 1 ukazunguka dunia bado ukarudi pale pale ukajichorea duara lako.

Hiyo siyo nadharia, ni proven fact! Kwenye dunia tambarare ukianzia safari yako katikati ya hiyo dunia tambarare ukanyoosha usawa wa nusu kipenyo hautarejea ulipotoka, badala yake utafika kwenye UKINGO! Mfano kama unasahani hapo karibu simamisha kijiko katikati ya safari, then anza kukisogeza kuelekea nje.....kijiko hicho hakitarejea kilipotoka, badala yake kitafika ukingoni, huo ukingo wa dunia bapa ndiyo nautaka mimi mnionyeshe au mniambie uko wapi!
Asante.
 
Ni uelewa wako mdogo lakini kuna mambo madogo ungewza kufikiri na kupata majibu
1. Kama Dunia ni tambarale Jua linazama wapi ?
2.Mwezi hujificha wapi wakati Dunia ni tambarale.

Mkuu Jua huzunguka katika mfumo wake (milk away galaxies) na sayari huzunguka Jua pia sayari ya Dunia huzunguka Jua na tunapata msimu wa Mwaka na Dunia hujizungusha yenyewe kwa masaa 24 tunapata siku,
Mwezi ndio huzunguka Dunia
 
jua halizami ila linazunguka dunia hayo mambonya milk way galaxy cyajui mie naona hapa kila siku jua linachana mawingu[emoji3]
 
Mkuu watu wengine akili zao sijui zikoje ama wanafikiri Dunia ni Tanzania tu?

Mtu anakurupuka analeta hoja eti Dunia tambarale lakini muulize
 
Mkuu watu wengine akili zao sijui zikoje ama wanafikiri Dunia ni Tanzania tu?

Mtu anakurupuka analeta hoja eti Dunia tambarale lakini muulize usiku na mchana hutokea vipi wakati Dunia ni tambarale hajui.

Mleta Mada ukimuuliza amerika kwa sasa hivi ni SAA ngapi hana jibu
 
mbona meli hapa kisiju ukiinalia kwa mbali ni kama inapandisha mlima?
 
Wewe akili zako sawa na maprofesa uchwara wa kibongi aka lipumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…