Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Umeshawai kukaa chini na ukafanya research kwanini unakatazwa kwenda Antartica?, why Antartica treaty??.
Story za kwenye vijiwe vya kahawa na blogs fake huko youtube havitakiwi mkuu,


Antartica watu wanaenda sana hasa sasa hivi na meli za kubeba watalii zinatia nanga huko, Hata wewe unaweza kwenda.
 
Ninaamini katika Dunia ni duara lakini wale wote wanaoi challenge nimewaelewa itabidi na Mimi nifanye uafiti wangu
 
We ni mpumbavu kumbe


Hizo satellite zipo wapi Kama sio nje ya dunia ,, nje ya dunia mvutano Ni kidogo sana ndo Mana inahitajika ma rocket yenye fuel ya kutosha kutoka nje ya dunia ila ukishatoka unahitaji solar panel tu kutembea ..nguvu kidogo sana
 
Story za kwenye vijiwe vya kahawa na blogs fake huko youtube havitakiwi mkuu,


Antartica watu wanaenda sana hasa sasa hivi na meli za kubeba watalii zinatia nanga huko, Hata wewe unaweza kwenda.
Wamcheki Sam chui YouTube Kuna video wameenda huko na boeng 777x ikiwa kwa majaribio
 
GRAVITY sio force halisi, ni kitu cha kufikirika tulichoingiziwa kwenye akili zetu tu!
Una smartphone lkn haikusaidii kitu..kazi yenu Ni kufatilia connection

Mbona YouTube ziko video nyingi zikionesha watu wakiwa space

Hata kwa channel ya Sam chui walipanda ndege boeng Kuna eneo wanafika Wana experience hicho kitu pia ili wa enjoy ilikuwa Ni ndege ya cargo

Eneo wanaliita parabola bila shaka wanakuwa kwa ndege wanaanza elea kwenye ndege
 
hapo,,,,,kwanza just to be clear hamna mtu alie wahi kutoka nje ya dunia ndo maana nataka mtu akibishana na mimi awe na base knoledge yah haya mambo nimefanya research sana,,,
Hio research umefanyia wapi ikiwa huna vifaa vyovyote tofauti na hio infinix au unafanyia kwa shemeji yako
 
the question is ndege inwezaje kuset speed yake iendane na speed ya dunia
Unajua atmosphere Ni Nini?

Dunia Ina move na vitu vyake na anga lake ndo Mana ukipaa na chopper ukasimama angani haikuachi ila ukitoka nje ya space dk moja ukirudi utajikuta hata upo nchi za nje


Kwani ukiwa kwa gari linalotembea 120kph afu nzi akatoka kwa dereva akaja kwako je huyo nzi na yeye anatembea 120 ku keep up na gari au inakuaje hapo
 
je ni kitu gani kinacho izungusha dunia?
Kwa hio umesema dunia haizunguki na Kama inazunguka tukwambie kinachoizungusha right

Sawa naomba uniambie hicho kinachozunguka Hadi tunaona usiku na mchana Ni kitu gani bila shaka utasema Ni jua ..okay Kama Ni jua ukiweza nambia kinachoizungusha jua nitakwambia kinachoizungusha dunia
 
....Hivi Hawa Watu wa Flat Earth Bado Wapo ?
Pole Zao.
Warudi Shule, Tena Darasa la Nne TU, Mwalimu awaeleze Kwa Nini Meli Ukiona Ipeo Macho Unaanza kuiona Mlingoti kwanza na jinsi inavyosegea ndio inazidi kuonekana Yote !
Kwa Nini Usiione Yote Toka Mwanzo, Flat Earth ? SI Akili za Kawaida za Darasa la Nne ??? [emoji57][emoji57]

Ndio maana mnaitwa Flat Earth ni CONCIPIRACY TU !....
 
kwamfano jua likiwa umbali wa mile 91,400,000 katika mwezi ya january ni wakati wa baridi na umbali ukiwa mile 94,500,000 mwezi wa saba joto linaongezeka au
Yani dunia ikiwa mbali na dunia joto linaongezeka afu ikiwa karibu ndo panakuwa na baridi😂😂 Ni nchi ipi unayongumzia Kwanza

Na hayo majira Ni dunia nzima au😂 mbona duniani nchi Zina experience hali ya hewa tofauti
 
Hatuwezi jibu chenye hamna

Unajua volt Ni Nini Kwanza, hakuna kipimo Cha namna hio Ni sawa nikwambie nyama ya nguruwe inatoa nyama kiasi gani ya ng'ombe
Nikiwaulizeni jicho la Binadamu linatoa mwanga kiasi gani cha volt amjibu mnabaki kimya
 
BLUU TUNAYO IONA KATIKA ANGA NDO MWISHO /KIKOMO CHA KUONA , h
😂😂 Akili zako finyu Sana


Kwann maji baharini ziwani Ni ya blue? Imean ukiyaangalia unaona Kama ziwa/ bahari Ni ya blue maji yawe karibu au mbali still inaonekana Ni ya blue?

Jibu nikwamba Ina reflect anga lilivo kifupi anga Ni la blue Wala blue haiusiani na ukomo wa kuona
 
Akili umekalia
 
Utafiti wa kusoma nakala za watu
 
Nna swali hapo mkuu

Dome imewahi kuwa proved ?

Na tambarare mwisho wake ni wapi ?
na je imewahi kuthibitishwa bila shaka yoyote kuwa mwisho wake ni sehemu fulani ?

Dome ipo proved mkuu wao wanakwambia kuna “Van allen belt” kwamba huwezi kuvuka hio layer. Uhalisia ndo Dome hio ila hawataki kuwambia ukweli.

 
Story za kwenye vijiwe vya kahawa na blogs fake huko youtube havitakiwi mkuu,


Antartica watu wanaenda sana hasa sasa hivi na meli za kubeba watalii zinatia nanga huko, Hata wewe unaweza kwenda.

Ooh good, wenzako wanaishia tu mwanzoni hawaendi mbele zaidi, wanaoneshwa penguine wanarudi[emoji23]. Fanya research why antartica treaty? kitu kingine Antartica so bara kama tunavyodanganywa ni ICE WALLS surrounding our earth, na angle zote za kuingilia zinalindwa kwa ulinzi mkali wa NASA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…