Yes inahitaji akili kubwa kujua space haina juu wala chiniDescription iendane na uhalisia ili kuleta maana bila kupotosha.
Yani huo mchoro ndege inaonekana ipo kwenye space, Imetoka kabisa kwenye anga letu ( atmosphere )
Alafu nkuulize unafahamu kama kwenye space hakuna juu wala chini ?
Akili kubwa ya kukariri?Yes inahitaji akili kubwa kujua space haina juu wala chini
Kama ina juu na chini haitokua tena ni space.Akili kubwa ya kukariri?
What if space ina juu na chini,..ila teknolojia iliyopo haikuwezeshi kufika juu wala chini? End - to- End?
1. Hujajibu, ulikusudia nini kutuma Ile picha?Description iendane na uhalisia ili kuleta maana bila kupotosha.
Yani huo mchoro ndege inaonekana ipo kwenye space, Imetoka kabisa kwenye anga letu ( atmosphere )
Alafu nkuulize unafahamu kama kwenye space hakuna juu wala chini ?
Wewe kuiita space hakuifanyi iwe haina juu na chini,..ni Kwasababu hata usafiri vipi huwezi kufika mwisho wake ndiyo maana unahitimisha kwamba haina juu na chini.Kama ina juu na chini haitokua tena ni space.
1. Sijakujibu makusudi kwasababu nmeona uwezo wako ni mdogo sana kiasi cha kuhitaji ufafanuzi wa picha kama ile na namna ambavyo wewe ulielewa.1. Hujajibu, ulikusudia nini kutuma Ile picha?
2. Ndege imetoka kwenye anga letu?! Sio kweli,. Tazama tena kisha sema imetokaje kwenye anga letu [emoji1370].... unabisha lakini hivi ndiyo Ndege zingesafiri kama Dunia ingekua Tufe!!!
View attachment 2919029
Ndio maana Sea Beast alisema inahitaji akili kubwa.Wewe kuiita space hakuifanyi iwe haina juu na chini,..ni Kwasababu hata usafiri vipi huwezi kufika mwisho wake ndiyo maana unahitimisha kwamba haina juu na chini.
Inaweza ikawa na juu na chini vizuri tu,..ila Kwa uchache wa elimu tulionao hatuwezi kugundua hilo.
Think critically.
Hahh,... sihitaji ufafanuzi wa Ile picha nimekuuliza tu... ulikusudia nini kutuma Ile picha?1. Sijakujibu makusudi kwasababu nmeona uwezo wako ni mdogo sana kiasi cha kuhitaji ufafanuzi wa picha kama ile na namna ambavyo wewe ulielewa.
2. Ndege imetoka kwenye anga letu kwa kiasi kikubwa, Mbawa yake imepita haya orbit ilipo.
Ina maana upo serious unataka uanze hata kuibishia picha yako mwenyewe ?
Oh nmekumbuka haujui kwa uzuri Dunia tufe.
Sawa Mtaalamu PhD Chosen Rich.... Mwanasayansi pekee unaejua mpaka Orbit ilipo..Ndio maana Sea Beast alisema inahitaji akili kubwa.
Wewe ya kwako bado haitoshi, endelea kuongeza maarifa.
Kwa mara mwisho nakuelekeza curvature ni popote ulipo.Sawa Mtaalamu PhD Chosen Rich.... Mwanasayansi pekee unaejua mpaka Orbit ilipo..
Ila curvature Tu ndiyo hujui ipo wapi...Hahh
Kwenye huo mfano wako ( kwenye picha ), ndege haitakiwi kuonekana hata kidogoSawa Mtaalamu PhD Chosen Rich.... Mwanasayansi pekee unaejua mpaka Orbit ilipo..
Ila curvature Tu ndiyo hujui ipo wapi...Hahh
Kwamba ni popote ulipo ila haionekani?! Sawa nimekubali..Kwa mara mwisho nakuelekeza curvature ni popote ulipo.
Kwanini haitakiwi kuonekana?... wakati unaona kabisa Ndege ipo kwenye anga ya karibu na Dunia..Kwenye huo mfano wako ( kwenye picha ), ndege haitakiwi kuonekana hata kidogo
Ungetafuta mfano mwingine.
Orbit haionekani kwa macho, ila ni feet 380,000 kutoka usawa wa bahari.Kwamba ni popote ulipo ila haionekani?! Sawa nimekubali..
Vipi na Orbit ipo wapi?
Pumzika Mkuu,.. maana nitakuuliza maswali magumu mwisho wa siku utasikia njaa sasa.
Basi nmeshatambua ni kwanini huwa ni mgumu kuelewa jambo.Kwanini haitakiwi kuonekana?... wakati unaona kabisa Ndege ipo kwenye anga ya karibu na Dunia..
Kwahiyo umepima Ile picha ukaona Ndege ishavuka orbit tayari?Orbit haionekani kwa macho, ila ni feet 380,000 kutoka usawa wa bahari.
Mzee wa Dunia flat ambayo ni infinityKwamba ni popote ulipo ila haionekani?! Sawa nimekubali..
Vipi na Orbit ipo wapi?
Pumzika Mkuu,.. maana nitakuuliza maswali magumu mwisho wa siku utasikia njaa sasa.
Easy sana kwa mtu kama mimi kujua hiyo picha ilivyokaa ndege ipo usawa gani.Kwahiyo umepima Ile picha ukaona Ndege ishavuka orbit tayari?
Hakuna ndege ambayo inaruka feet nyingi hivyo kiasi kwamba hadi mabara yanaonekanaKwahiyo umepima Ile picha ukaona Ndege ishavuka orbit tayari?
Umechanganyikiwa kuona Ndege inaenda upside down in alignment with Dunia Tufe,... Kitu ambacho kwenye uhalisia hujawahi kushuhudia tokea uzaliwe.Easy sana kwa mtu kama mimi kujua hiyo picha ilivyokaa ndege ipo usawa gani.