Mfano wako wa jicho na balbu hauendani na jua kuzuia nyota kuonekana. Unaendana na kama kuna umeme na umewasha balbu ya volt 100, mshumaa hauna haja. But umeme ukikatika hatubebi daftari bali tunaweka mwanga hafifu na tunaona.
Jua likiondoka giza likatamalaki mwanga hafifu ndo tunauna. Nyota.
Yule jamaa kadanganya na wewe vile vile kuwa hatuoni nyota mchana kwa sababu ya mwanga wa jua, kasema blue tunayoiona angani kwa sababu ya mwanga wa jua. Mwanga wa jua umetuzunguka katika mazingira yetu kwa Nini bluu tusione . Soma vizuri hapo chin majibu umepewa
Alafu mfano wangu wa bulb na jicho sikufanani na nyota, nikitakq uniambia bulb inatoa volt ngapi ya mwanga ili ulinganishe na volt ya mwanga unaotolewa na jicho ndo ujuwe kwa Nini umeme ukikatika unakusanya madaftar ya kusoma unaenda kulala. Alafu mnyama kama simba usiku na giza anawinda uwezo wa macho yake kuona ni mkubwa volt ya mwanga unaotolewa ni mkubwa.
Nikiwaulizeni jicho la Binadamu linatoa mwanga kiasi gani cha volt amjibu mnabaki kimya. Mnatoaje majibu ambayo siyo ya physics?
Soma haya maelezo hapa chini neno kwa neno wameeleza vizuri kabisa Bluu unayoiona kwenye Anga sababu Nini, kama ni mvivu wa kusoma nimeweka alama za bracket (( )) soma hizo lakin ni vizuri kusoma kila kitu understand capacity inaongezeka
hyperphysics.phy-astr.gsu.edu/hbase/electric/lighting.html
Fluorescent Lighting
Image
Although there are a large number of lighting
options, the majority of lighting in homes is done
by either incandescent or fluorescent lights.((Fluorescent lighting has a considerable
advantage in energy efficiency over incandescent
lighting. Fluorescent lights can produce 50-100
lumens /watt compared to about 15 lumens/watt
for incandescent bulbs)) .
The familiar geometry of fluorescent lights
involve a long narrow glass tube with two
electrical connections on each of the metal caps
which seal the ends of the tube. The tube is
filled with noble gases such as argon, neon or
krypton to suppress chemical reactions resulting
from the electrical discharges in the tube.
According to Bloomfield, these gases are at a
pressure of about 0.3% of atmospheric pressure.
A few drops of mercury is placed in the tube,
and the vapor pressure is sufficient so that
something like one in a thousand of the atoms
inside the tube is a mercury atom in the gas
phase. The properties of these mercury atoms
make them very efficient light emitters by
fluorescence when they are struck by energetic
electrons inside the tube.
If electrons are removed from the mercury
atoms by collisions with high speed electrons,
they can produce light by emission (see mercury
spectrum ) when electrons make transitions
downward to fill the electron gaps produced. One
key to getting light out of the fluorescent tube is
then to produce the high speed electrons which
can "excite" the mercury atoms so that they will
produce light. This is done in most fluorescent
tubes by heating a filament in the end of the
tube, which frees some electrons . Other types
use high voltages to eject electrons from
electrodes at the ends. Once freed, the electrons
can be accelerated in the tube by the applied AC
voltage. Some of the electrons transfer energy
to the mercury atoms in collisions, so that one or
more of the electrons of the mercury atom is
elevated to an excited state. Once the electrical
discharge in the tube is started, the current must
be controlled to maintain a steady light source.
This is done by coil arrangement called a
fluorescent light ballast .
The process of producing light from the mercury
atoms is fairly efficient, but a large part of it is
in the ultraviolet rather than the visible range.
((The final transition of the electrons to the
ground state of the mercury atom produces light
at 254 nm, considerably below the blue limit of
human vision at about 400 nm)) "" HAPA NDIPO PENYE UMUHIMU, BLUU TUNAYO IONA KATIKA ANGA NDO MWISHO /KIKOMO CHA KUONA , huo mwanga wa jua unazuia mchana nyota zisionekane unatoka wapi kama siyo uongo mnaeneza toeni fact siyo mnabisha .
The ultraviolet
light does not get through the glass envelope of
the tube, but because of its high quantum energy
it can be used to advantage in producing visible
light. To produce light in the visible range, the
inside of the tube is coated with a phosphor
powder. When the ultraviolet light strikes the
powder, it produces excitations of the electrons
of the phosphor which then produce visible light
by a process called fluorescence . ((Ultraviolet
photons associated with the 254 nm uv light
have quantum energies of 4.9 electron volts,
whereas the energy range for the visible photons
which we can see is from 1.6 to 3.1 eV)) UKIULIZWA JICHO LA BINADAMU LINATOA VOLT NGAPI YA MWANGA JIBU UMEPEWA linganisha na volt ya bulb utaelewa hatuna majibu ambayo not scientific proved kama yenu . Since
((Since there are many intermediate levels for the
electrons to drop to after being excited by the uv
photons, they can produce visible photons of
light throughout the visible range, producing
nearly white light)) KWA NINI WAKATI WA ASUBUHI, MCHANA,JIONI TUNAONA Mwanga inakaribia nyeupe jibu umepewa, tambuwa visible range ni 1.6 to 3.1 eV.
Haya mambo ukitaka kuelewa hupaswi kuishia form 2 wala form 4 kusoma physics. Kipaumbele cha 1 Elimu, Elimu, Elimu. Big up professor ndalichako science ni lazima hata ultraviolet, fluorescent wata elewa ni form 4.