Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Brother, usipende kuamini mafundisho yote ya mzungu, nilijiwekeza muda kufuatilia nyota, na nikachagua nyota kadhaa zikizokaribina. Amini usiamini nyota hazibadiliki, only they change angle..kwa maana..kwa muda huo huo utaojiwekea kuzifatilia...leo utaziona nyuzi 90..baada ya siku kadhaa utaziona 110, Mara 60 Mara 40...lakini utaziona. Trust me..
umeona kosa lako unadhani sayansi inamilikiwa na wazungu unahitaji muda kujielemisha jaribu kupitia webstite mbalimbali na kama kweli unafuatalia utajua kuna miapngilio tofauti ya nyota kila baada ya vipindi unasema ulikuwa unaona zinabadilika nyuzi kutoka 90 hadi 110 ulitumia kifaa gani?
 
Freemasonry wants mankind to be deceived to rest of our life, false messiah is coming they knew before
 
Mkuu mbaramwezi huwa unaiona ina umbo gani? Kama dunia ni flat, hizo satellite zinazoizunguka dunia huwa zinapitia wapi? Mkuu unajua International Space Centre huwa inaizunguka dunia mara ngapi kwa siku? Mkuu angalia usijekupotezwa na conspiracy theories!
 
Wachangiaji wengi ila michango michache na mingi inajirudia. Iko hivi mtoa uzi kaleta mada fikirishi kiasi kwamba kubishana nae ni ushahidi wa kushindwa kufikiria kwa ufasaha.
Nina imani kama darasani tungefundishwa kuwa dunia ni duara tambarare, leo hii angekuja mtu aseme ni duara... Angepingwa hivi hivi. Yote ni kwasababu uwezo wa kuthibitisha tuliyofundishwa bado watu wengi hawajaweza. Haya kuna space station je ni nani aliyewahi kuiona live, hata kwa darubini kali zitumikazo kuiona dunia kutokea space au kutazajia mipango ya nyota na kuuona mwezi kutoka ardhini... Sijawahi kujua ila Je kuna uwezekano wa kukiona hiko kituo cha anga anagani kutokea ardhini?
Je picha na video zinatosha kujiridhisha kuwa ukweli ndio huu? Kama ni hvyo mbona uzi huu umeambatana na picha na video za kusapoti uzii huu kwa nini hamziamini kama mnazoziamini darasan?
Mtaishia kumkosoa mleta uzi huku mkishindwa kulinganisha hoja zake na zile mlizozikalili, zaidi msikuatack sana coz hii kitu hajabuni au kuwaza yeye binafsi kuna watu wamefanya tafiti zao na kuja na. Uthibitisho wa kile kilichopotoshwa?

TULIAMBIWA MELI INAVYOPOTEA UJUE INAELEKEA UPANDE MWNGN WA DUNIA YAANI KAMA INASHUSHA MLIAMA HIVI. JE NI WANGAPI WAKEJIHANGAISHA KUUTAFUTA UKWELI HUO!

MAJI KUPWA NA KUJAA, NANI ANAYELIAMINI HILI KUWA NI UTHIBITISHO WA DUNIA DUARA TUFE... ATUTHIBITISHIE NA MATUKIA YANAYOTOKEANKTK MAJI YA MITO, JE HUWA YANAPUNGUZA KASI AU KUBADILI UELEEKEO PINDI DUNIA INAPOZUNGUKA? KQMQ SIO KWA NINI MQJI YQ BAHARI YAWE YANAHAMA HAMA KWA 7BU YA DUNIA KUZUNGUKA YQANI KUPWA NA KUJAA!

NORTHPOLE INAJULIKANA ILIPO VP SOUTHPOLE IPO WAPI? NA JE KUNA ROOT YA NDEGE ZA ABIRIA KUTOKEA URUSI KWENDA SOUTH AU KINYUME CHAKE ZINAZOPITIA SOUTHPOLE YAANI BILA KUPITIA NCHI ZA AFRICA NA ULAYA? KWA SAYANSI YA SASA INAWEZA KUSHINDIKANA KUWEPO KWA ROOT HIYO?

WANAANGA WANAOKWENDA ANGA ZA MBALI HUWA WANAELEEKEA WAPI VILE WANAVYOPAA MAANA JUU YA DUARA TUFE NI POPOTE PALE SASA HUWA WANAELEEKEA UPANDE UPI WA DUNI COZI KWA MPANGO WA SAYARI NI KAMA JUA DODOMA MIKOA NDIO SAYARI, JEE JUU YA SINGIDA AU JUU YA MWANZA KUNA NINI YAANI KWA MPANGO WA SAYARI ULIVYO SIJUI KTK OBIT ZOTE ZIMEONGOZANA KI OBIT KWA PANDE MBILI YAANI MBELE YA DUNIA KUNA SAYARI NA JYUMA KUNA SAYARI JEE JUU YAK KUNA NINI. KUNIELEWA CHUKUA MAGOZI MPIRA KAMA SABA HIVI MOJA LIKAE KTKT MENGINE YAMZUNGUKE KAMA SAYARI ZINAVYOLIZUNGUKA JUA JEE CHINI NA JUU YA MPIRA WAKO AMBAO CHUKULIA NDIO DUNIA AU JUPITER JUU NA CHINI YAKE KUNA NINI?

BINAFSI KWA MACHO YANGU NA KWA NIISHIVYO NINAIONA DUNIA NI TAMBARARE NA NINAJIONA NIPO KATIKA SEHEMU TAMBARARE HIVYO NAKUBALIANA NA MLETA UZI KUNA UWEZEKANO NI KWELI DUNIA NI DUARA TAMBARARE KAMA CD A SAHANI HUKU IKIZUNGUKWA NA KUTA ZA BARAFU KWA AJILI YAKUYAZUIA MAJI.
 
Dunia ni duara. Ukiingia youtube utakutana na channel ya NASA ambayo inaonesha live from space
9979b704ac481f9e6c2d64ffd00ff61e.jpg
 
kwenye biblia tunasoma sehemu ambapo JOSHUA alimuomba MWENYEZI MUNGU slisimamishe jua ili wapigane vita bila kutatizwa na giza...
huu ni ushahid mwingine kuwa jua ndo hutembea na siyo dunia kutembea au kuzunguks kama tunavyoaminishwa na Nasa..jua ndo huizunguka dunia na si vinginevyo.hivyo mi naamini dunia ni tambarare
 
Safi vijana kwa michango, nami niongezee tu kidogo wote Bila shaka tunaamini kuwa mwezi nyota vinaliflet mwanga Kutoka kwenye jua je? Hilo jua linakuwa wapi hadi mionzi yake if I lie kusafiri hadi kwenye mwezi? Licha ya giza nene la usiku, jibu jua linakuwa millions miles on the angle around the earth hivyo kusafirisha mionzi mchache Kwenda kwenye mwezi.
mwezi umekuja kugundulika kuwa uko na mwanga wake.wala hauhitaji reflection toka kwa jua...google utaipata hii gunduzi mpya..ila nasa bado wanaficha ili muamini dunia ni tufe
 
mwezi umekuja kugundulika kuwa uko na mwanga wake.wala hauhitaji reflection toka kwa jua...google utaipata hii gunduzi mpya..ila nasa bado wanaficha ili muamini dunia ni tufe
Google kuna takataka za kila aina ni jukumu la msomaji kuamua ni wapi anapata infos zake.
Nasa wafiche nini wakati kuna warusi kuna wahindi kuna wachina tena na wao wako kwenye mission kupeleka binadamu mwezini kwanini wao hawajasema?
By the way week tatu zilizopita bwana Elon Musk aliuliza swali la kiutani kwa earth flat society twitter kuwa mbona hakuna mars flat society, mercury flat society wakabaki wanajikanyaga tu hawana majibu
 
Google kuna takataka za kila aina ni jukumu la msomaji kuamua ni wapi anapata infos zake.
Nasa wafiche nini wakati kuna warusi kuna wahindi kuna wachina tena na wao wako kwenye mission kupeleka binadamu mwezini kwanini wao hawajasema?
By the way week tatu zilizopita bwana Elon Musk aliuliza swali la kiutani kwa earth flat society twitter kuwa mbona hakuna mars flat society, mercury flat society wakabaki wanajikanyaga tu hawana majibu
huyo jamaa aliuliza ujinga kwasababu flat earth society hawajawahi kufika huko mars na huwa tunaamin kuwa huwez kutoka katika hii dunia.soo story za kuenda mars au wapi huko nidanganya toto ya Nasa ili izidi kuwazubaisha watu.kuna glass ceiling huko juu.utatoka uende mars ipi..
watu wangekua na hizo flat mars au mercury kama washawahi kufika huko lakini mengine yoote ni kejeli tuu na dharau za watu.ila ukweli upo pale pale
 
Hivi Wanasayansi wafiche kuwa Dunia ni flat ili iweje.

Conspiracy nyingine hazina maana kabisa
 
Google kuna takataka za kila aina ni jukumu la msomaji kuamua ni wapi anapata infos zake.
Nasa wafiche nini wakati kuna warusi kuna wahindi kuna wachina tena na wao wako kwenye mission kupeleka binadamu mwezini kwanini wao hawajasema?
By the way week tatu zilizopita bwana Elon Musk aliuliza swali la kiutani kwa earth flat society twitter kuwa mbona hakuna mars flat society, mercury flat society wakabaki wanajikanyaga tu hawana majibu
russia na marekani wote walikua katika mbio za kuwahi kwenda mwezini kabla ya mwenzie.ila mmarekani alitangulia.lakini cha ajabu baada ya mmarekani kusema kaenda mwezini mrussia alisitisha habari za kuenda mwezini.
marekani akaunda kituo cha Nasa ili kiweze kuwa msemaji mkuu wa dunia kuhusu ulimwengu wa sayari..yatakiwa ujue kuwa hii ni kinga waliyoiweka usa ili ukweli usijulikane.na hata ukiujua basi nasa wakiipinga basi dunia haitokuamini...
unasema nchi kama india zinatuma watu mwezini na wapi uko sijui...ni hivi ...hizo ni propaganda za kisiasa kuonyesha kuwa wameendelea...sana sana watatuma satellite ila suala na mars au mwezini wasahau kwa kuwa hata nasa wenyewe wamekiri hawana technologia ya kuenda mwezini...waliyokua nayo ilipoteaga eti.huu si uongo nje nje???..technologia inapotea hivi hivi kweli?.au ni kwamba hata huko mwezini hawakufika??.waliiishia kutuchora tuu kwa maigizo ya Hollywood.eti "moon landing"...jamani tustuke.tunaibiwa
 
Dunia ni duara. Ukiingia youtube utakutana na channel ya NASA ambayo inaonesha live from space
9979b704ac481f9e6c2d64ffd00ff61e.jpg
Ndicho walichokitaka NASA hata iweje haitakuja kutokea mtu akaziamini picha na video nyingene zihusuzo shape ya dunia kama hazijatka kwao. Subirini kuamishwa mji kwakuambiwa mtaangukiwa na nyota watu wapige yao!
 
mwezi umekuja kugundulika kuwa uko na mwanga wake.wala hauhitaji reflection toka kwa jua...google utaipata hii gunduzi mpya..ila nasa bado wanaficha ili muamini dunia ni tufe
MWezi una reflect mwanga wa Jua. Mwezi uko juu ya jua na unaliona jua muda wote hata wewe ukitaka kujua direction ya jua lilipo wakati wakati wa usiku angalia mwezi.. Sehemu ya mwanga wa mwezi ni ile inayomuoikwa na jua tuu ndio maana kuna wakati mwezi unakua kama nusu kutokana na umbali katinyake na jua katika kuizunguka dunia.
 
Walimjibu vp maana kujikanyaga sio jibu other wise useme hawakumjibu.
 
Google kuna takataka za kila aina ni jukumu la msomaji kuamua ni wapi anapata infos zake.
Nasa wafiche nini wakati kuna warusi kuna wahindi kuna wachina tena na wao wako kwenye mission kupeleka binadamu mwezini kwanini wao hawajasema?
By the way week tatu zilizopita bwana Elon Musk aliuliza swali la kiutani kwa earth flat society twitter kuwa mbona hakuna mars flat society, mercury flat society wakabaki wanajikanyaga tu hawana majibu
Walimjibu vp maana kujikanyaga sio jibu other wise useme hawakumjibu.
 
Hivi Wanasayansi wafiche kuwa Dunia ni flat ili iweje.

Conspiracy nyingine hazina maana kabisa
Ili wawe na nguvu ya maamuzi na ya kiutawala wa dunia. Flat earth wana video na picha za kusapoti kile walichokichunguza na kuamini dunia ni tambarae na sio mvringo... Hata NASA wanatumia vdeo na picha kusapoti u mviringonwa dunia. Nadhani umejua lengo la kudanganya maana hata wewe hautaki kuamini picha na video za flat earth kisa hazijatolewa na NASA, sasa nani mwenye power ya kutujuza yaliyopo angani amshindae NASA na akaaminiwa? Hicho ndicho walichokitaka katika kudanganya kwao!
 
Tugee picha ya upande wa pili wa hiyo flat earth!
Bila kujilazimisha kuelewa hautaweza kulazimishwa kuelewa. Inshort hakuna aliyeweza kufika maana kuipata ni lazima uwe nje ya dunia na hakuna pakutokea!! Yaani ni sawa uitake picha ya kati kati ya dunia katika dunia mviringo!
 
Back
Top Bottom