Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Kwanini unaamini kwenye hii Dunia yetu Duara hicho kitu kishindikane?
Kwanza kumbuka wewe ndiyo ulisema haiwezekani,....Mimi nasema inawezekana kwenye flat surface kuunda railway line inayoweza kuunganisha mabara yote,.....

Lakini kwenye dunia yenye umbo hili➡️ 🌍,...it's impossible!
 
Kwanza kumbuka wewe ndiyo ulisema haiwezekani,....Mimi nasema inawezekana kwenye flat surface kuunda railway line inayoweza kuunganisha mabara yote,.....

Lakini kwenye dunia yenye umbo hili➡️ 🌍,...it's impossible!
Unanichanganya sana ww, nilikupa majibu mawili kama unamkumbuka.
 
Simply ni kwamba,..Kwa mujibu wa theorists wa Tufe,...Dunia inatumia saa24 kujizungusha( Mzunguko huo ambao unalielekea&kutolielekea Jua ndiyo unatupa approximately 12 hours za mchana na 12 hours za Usiku) sasa kipi Hujaelewa?...maana Mimi sikuzungumzia ishu ya dunia kujizungusha kwenye orbit yake wala sikuzungumzia hizo siku 365 za kulizunguka Jua,...

Hoja yangu ni kwamba situation ya Alaska inawezekana vipi kutokea, huku ikiwa wote tunaambiwa kwamba Dunia kwa siku inakadiriwa kuwa na mzunguko unaotupa saa 24, kwenye hizo saa24 tunapata saa12 za Mchana na saa 12 za Giza(usiku),...?

The Earth facing toward the sun gives us daylight, while the side facing away from the sun experiences darkness. Na hii inatokea constantly kila siku,.. umeelezea lakini hujasema exactly how Alaska kuna kipindi ina experience midnight sun, ukizingatia na huo mzunguko wa Dunia(au, tuseme kuna muda huo mzunguko unakua haupo constant tena? Kunakua na mabadiliko fulani?)
Kwahy unakataa hukusema Dunia inazunguka Jua Kwa saa 24 ndo tunapata usiku na mchana😄???
Simply ni kwamba,..Kwa mujibu wa theorists wa Tufe,...Dunia inatumia saa24 kujizungusha( Mzunguko huo ambao unalielekea&kutolielekea Jua ndiyo unatupa approximately 12 hours za mchana na 12 hours za Usiku) sasa kipi Hujaelewa?...maana Mimi sikuzungumzia ishu ya dunia kujizungusha kwenye orbit yake wala sikuzungumzia hizo siku 365 za kulizunguka Jua,...

Hoja yangu ni kwamba situation ya Alaska inawezekana vipi kutokea, huku ikiwa wote tunaambiwa kwamba Dunia kwa siku inakadiriwa kuwa na mzunguko unaotupa saa 24, kwenye hizo saa24 tunapata saa12 za Mchana na saa 12 za Giza(usiku),...?

The Earth facing toward the sun gives us daylight, while the side facing away from the sun experiences darkness. Na hii inatokea constantly kila siku,.. umeelezea lakini hujasema exactly how Alaska kuna kipindi ina experience midnight sun, ukizingatia na huo mzunguko wa Dunia(au, tuseme kuna muda huo mzunguko unakua haupo constant tena? Kunakua na mabadiliko fulani?)
Kwahy unakataa hukusema Dunia inazunguka Jua Kwa saa 24 ndo tunapata usiku na mchana 😄😁? Ok.

Kuhusu Alaska sijui ni uzembe wa kusoma au ni uwezo wa kusoma na kuelewa ndo shida maana nimekupa maelezo mara ya kwanza ukasema nimecopy, ok nilicopy maelezo Ili usomee Kila kitu uelewe zaidi, nikaona sio kesi nikakuelezea tena Kwa lugha nyepesi tena ya picha kabisa ni wapi hukuelewa? maana naona natwanga maji kwenye kinu.
 
Simply ni kwamba,..Kwa mujibu wa theorists wa Tufe,...Dunia inatumia saa24 kujizungusha( Mzunguko huo ambao unalielekea&kutolielekea Jua ndiyo unatupa approximately 12 hours za mchana na 12 hours za Usiku) sasa kipi Hujaelewa?...maana Mimi sikuzungumzia ishu ya dunia kujizungusha kwenye orbit yake wala sikuzungumzia hizo siku 365 za kulizunguka Jua,...

Hoja yangu ni kwamba situation ya Alaska inawezekana vipi kutokea, huku ikiwa wote tunaambiwa kwamba Dunia kwa siku inakadiriwa kuwa na mzunguko unaotupa saa 24, kwenye hizo saa24 tunapata saa12 za Mchana na saa 12 za Giza(usiku),...?

The Earth facing toward the sun gives us daylight, while the side facing away from the sun experiences darkness. Na hii inatokea constantly kila siku,.. umeelezea lakini hujasema exactly how Alaska kuna kipindi ina experience midnight sun, ukizingatia na huo mzunguko wa Dunia(au, tuseme kuna muda huo mzunguko unakua haupo constant tena? Kunakua na mabadiliko fulani?)
Nimekuuliza maswali mengi hujayajibu kabisa, kiufupi huwezi kudefend hoja yako ya flat earth Bali umekomalia kuchallenge hoja ya globe earth.
Kama unaweza kudefend nakuuliza maswali kadhaa tu hapa unipe majibu yanayomake sense.

1. Nielezee jinsi sola na lunareclipses/ Lunar phases zinavyoweza kutokea kwenye flat earth(japo nilikuuliza mwanzo hukunipa majibu)

2. Nambie how usiku na mchana unatokea.

3. Kwanini Jua linaoneka kuchoza na kuzama,

4. Hiyo flat earth imeshikiliwa na kitu gani ikiwa unasema hakuna universal gravitational pull.

5. Kwanini midnight sun inatokea kama ulivyouliza ww.

Ukinipa majibu ya haya maswali ndo naweza kuendelea ku-argue naww, tofauti na hapo ntakuwa napoteza muda.
 
Simply ni kwamba,..Kwa mujibu wa theorists wa Tufe,...Dunia inatumia saa24 kujizungusha( Mzunguko huo ambao unalielekea&kutolielekea Jua ndiyo unatupa approximately 12 hours za mchana na 12 hours za Usiku) sasa kipi Hujaelewa?...maana Mimi sikuzungumzia ishu ya dunia kujizungusha kwenye orbit yake wala sikuzungumzia hizo siku 365 za kulizunguka Jua,...

Hoja yangu ni kwamba situation ya Alaska inawezekana vipi kutokea, huku ikiwa wote tunaambiwa kwamba Dunia kwa siku inakadiriwa kuwa na mzunguko unaotupa saa 24, kwenye hizo saa24 tunapata saa12 za Mchana na saa 12 za Giza(usiku),...?

The Earth facing toward the sun gives us daylight, while the side facing away from the sun experiences darkness. Na hii inatokea constantly kila siku,.. umeelezea lakini hujasema exactly how Alaska kuna kipindi ina experience midnight sun, ukizingatia na huo mzunguko wa Dunia(au, tuseme kuna muda huo mzunguko unakua haupo constant tena? Kunakua na mabadiliko fulani?)
Hii picha hujaiona siyo?

main-qimg-7aed044c121b787720feb848cd877072-pjlq.jpg
 
Na kingine sijajua kama utapata picha nayotaka uipate,
1. Kwanza nataka nijue unakubaliana na Dunia tambarare yenye mfumo wa Jua kama huu👇👇

View attachment 2880019

Kama siyo utanipa mfumo wako wewe, na kama ndio Nina swali, kwanini hatu-observe Jua likiwa linachomoza mpaka linazama in curved manner ( yaani Jua lisipite katikati Bali lipite pembeni, sijui kama unanielewa?) Lakin hukatiza linakatiza katikati?
Jaribu kuangalia mchoro wangu kama unaweza ku-capture concept yangu👇👇

View attachment 2880020

Lastly,
Kwa wale wanaosema utumie macho yako jinsi unavyoona je, Dunia ni duara au tambarare, seriously? Jaribu kuangalia hizi picha hapa chini alafu tafakari mwenyewe.

View attachment 2880021
☝️☝️Hapo ukiangalia unaweza kuona curvature ya huo mpira, Kwa sababu ya umbali uliopigiwa picha.
Sasa angalia picha chini hapa

View attachment 2880023
Hapa unaona nini? Nadhani kama ni muelewa utakuwa umeshapata picha.

Picha zaidi kuhusu curvature ya dunia👇


View attachment 2880024
Unaweza kugoogle picha tofauti tofauti za hii transmission line ukaona zaidi.

View attachment 2880025

Hiyo picha ya mwisho ni sunrise, ukitazama utaona mwanga wa Jua umemulika juu kabisa(top) ya maghorofa marefu kabila ya bottom. Tumia akili yako tu kutafakari.
Haya maswali na maelezo hujayaona siyo hateeb10
 
Point yako ya 3, tayari umeshakubalia na Mimi kuwa Kuna nguvu ambayo ina-oppose hiyo nguvu uliyotumia kurusha kitu juu, Kwa maana umesema kitu kinarudi chini Kwa sababu nguvu uliyotumia kurusha kitu ni ndogo😄, Sasa unaweza vipi kusema nguvu hiyo ni ndogo bila kuwa na reference ya nguvu nyingine? Yaani siwezi nikasema wewe ni mdogo ikiwa hapa Dunia hapajawahi kuwa na mtu mwingne zaidi yako tangu Dunia iumbwe, it means mpk unasema nguvu ulitumia kurusha ni ndogo ndo maana kitu kinarudi chini Kwa maana nguvu uliyotumia haijazidi nguvu inayooppose nguvu hiyo.

Labda nawewe nikuulize, ukiwa juu ya mti umeshika jiwe ukaliachia bila kutumia force yoyote Ile kwanini litarudi chini? Kwanini lisikae hapo hapo hewani ikiwa hakuna nguvu inayovuta kwenda chini?

Swali lingine, Kwa mfano ukirusha kitu juu hata kama ni Kwa force kiasi Gani, kikifikia point ya mwisho kikianza kurudi kinarurudi na constant velocity regardless ya uzito wake?

Kitu kingine, japo kama huamini unaweza kujaribu, ni kwanini ukichukua vitu viwili vyenye uzito tofauti say, maybe 1kg na kingne 10kg, positioned at the same height from the ground say 50m above ukaviachia Kwa pamoja at the same time vita-hit the ground at the same time?

Maswali yangu yote hayo ni katika kukuonesha uwepo wa nguvu/ kani mvutano ambayo inaitwa gravity.
hateeb10 haya maelezo na maswali no kwamba huyaoni au unavunga😄😄😄??
 
The Sun is completely blocked in a solar eclipse because the Moon passes between Earth and the Sun. Even though the Moon is much smaller than the Sun, because it is just the right distance away from Earth, the Moon can fully blocks the Sun’s light from Earth’s perspective.



During a total solar eclipse, the Moon passes between Earth and the Sun. This completely blocks out the Sun's light. However, the Moon is about 400 times smaller than the Sun. How can it block all of that light?


It all has to do with the distance between Earth and the Sun and Earth and the Moon.
an illustration of the Moon blocking the Sun's light during the August 2017 eclipse
An illustration showing the Earth, Moon, and Sun during the August 21, 2017 eclipse.

When objects are closer to us, they appear to be bigger than objects that are far away. For example, most stars in the night sky look like tiny white dots of light. In reality, many of those stars are larger than our Sun—they are just much farther away from Earth!
View attachment 2872160
Even though the Moon is 400 times smaller than the Sun, it's also about 400 times closer to Earth than the Sun is. This means that from Earth, the Moon and the Sun appear to be roughly the same size in the sky.



So, when the Moon comes between Earth and the Sun during a total solar eclipse, the Moon appears to completely cover up the light from the Sun.
hateeb10 Hadi nikakupa maelezo ya solar na lunar eclipse lakin wapi huelewi tu.
 
1.Ukiwa mjinga, halafu hujui kuwa wewe mjinga, hilo ni jambo baya, lakini si baya sana, maana unaweza kukutana na mtu mjanja akakuelimisha.

2. Ukiwa mjinga, halafu unajua wewe mjinga, hilo ni jambo zuri, maana unaweza kufanya kazi kuuondoa ujinga wako.

3. Ukiwa mjinga, halafu unajiona wewe mjanja, watu wanakuelimisha unapinga, unatunga kila conspiracy theory kutetea ujinga wako, hilo ni tatizo kubwa sana, kwa sababu unakuwa mjinga asiyefundishika.

Ogopa sana kuwa katika hili kundi la tatu.
hateeb10
 
Yaani maelezo yangu ni mengi, seriously?
Kama huwezi kusoma maelezo kama hayo sa utaelewaje?
No,.Nimemaanisha kwamba nahitaji kutulia ili nijibu hoja zako Kwa kuwa umeeleza vitu vingi mixer michoro,...nimesoma maelezo yako nikitulia tutajadili Kwa kuwa hakifutiki kitu 🤝🏼
 
Yap,upo sahihi mtu akifikiria tofauti na wengine huonekana kichaa lakini huenda akawa sahihi kuliko mtazamo/maoni ya kundi kubwa la watu.

Ngoja nikupe observation moja huenda ikakufaa,....kama unaamini Dunia inazunguka, chukua muda wako kisha focus macho yako kutazama wingu Fulani liwe kama reference point yako( litazame hata kwa nusu saa au lisaa lizima ikiwezekana),.....kisha njoo hapa utupe majibu Je, kuna time yoyote hiyo reference yako(wingu )iliondoka ikawa out of sight?! Ili tuthibitishe kama kweli Dunia inazunguka.
 
Yap,upo sahihi mtu akifikiria tofauti na wengine huonekana kichaa lakini huenda akawa sahihi kuliko mtazamo/maoni ya kundi kubwa la watu.

Ngoja nikupe observation moja huenda ikakufaa,....kama unaamini Dunia inazunguka, chukua muda wako kisha focus macho yako kutazama wingu Fulani liwe kama reference point yako( litazame hata kwa nusu saa au lisaa lizima ikiwezekana),.....kisha njoo hapa utupe majibu Je, kuna time yoyote hiyo reference yako(wingu )iliondoka ikawa out of sight?! Ili tuthibitishe kama kweli Dunia inazunguka.
Doooh!!
Kasome zaidi elimu ya anga na physics maana sijui ulisomaje?
 
Doooh!!
Kasome zaidi elimu ya anga na physics maana sijui ulisomaje?
Hahh sasa Kwanini uifunge akili yako na vitu vya kuambiwa Tu,..yani unaamini kila kitu ni mpaka uhadithiwe kwenye textbooks za physics?,... try to research yourself!

Mimi nimekusoma wewe ni mwerevu Sana,..ila tu umekua indoctrinated na uliyoyasoma.

Kumbuka hata masuala ya gravity bado NI theory Tu,...hivyo wewe kama Mr anthony_art umeachiwa room ya ku disprove theory kama hizo,,..usijinyime hiyo haki Kwa kushindwa kufanya tafiti zilizo ndani ya uwezo wako.
 
Hahh sasa Kwanini uifunge akili yako na vitu vya kuambiwa Tu,..yani unaamini kila kitu ni mpaka uhadithiwe kwenye textbooks za physics?,... try to research yourself!

Mimi nimekusoma wewe ni mwerevu Sana,..ila tu umekua indoctrinated na uliyoyasoma.

Kumbuka hata masuala ya gravity bado NI theory Tu,...hivyo wewe kama Mr anthony_art umeachiwa room ya ku disprove theory kama hizo,,..usijinyime hiyo haki Kwa kushindwa kufanya tafiti zilizo ndani ya uwezo wako.
Okay tufanye kama sijui chochote kuhusu umbo la Dunia naww ndo unanielewesha na nakuuliza maswali.
Je, Dunia Inaumbo Gani?
 
Hahh sasa Kwanini uifunge akili yako na vitu vya kuambiwa Tu,..yani unaamini kila kitu ni mpaka uhadithiwe kwenye textbooks za physics?,... try to research yourself!

Mimi nimekusoma wewe ni mwerevu Sana,..ila tu umekua indoctrinated na uliyoyasoma.

Kumbuka hata masuala ya gravity bado NI theory Tu,...hivyo wewe kama Mr anthony_art umeachiwa room ya ku disprove theory kama hizo,,..usijinyime hiyo haki Kwa kushindwa kufanya tafiti zilizo ndani ya uwezo wako.
Ukisema Kila kitu ambacho kimethibitishwa kisayansi na kimetolewa ufafanuzi kwetu tukifanyie research tutaweza kweli? Yaani Kila mtu afanye research? Aya we umefanya research? Umegundua dunia in umbo Gani? Research umefanya vipi? Method gan umetumia? Kwahy namm nikishafanya research nikija kusema Dunia ni tambarare na huyo ntaemwambia naye afanye research?

Sijaambiwa kama story Bali nimefundishwa nikaelewa bahat nzuri vitu ni physical na observable.
 
Back
Top Bottom