Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Ukiweza nijibu vzr kuanzia namba 1-5 nitakuwa glober tena. Bado una muda wa kujua ukweli wa hii dunia. Inatakiwa pia ujue sababu ya kudanganywa ni nini? Kwanini wanadanganya kuhusu hii dunia? wanapata faida gani?
Niwaulize nyie wanaowaambia dunia Ni flat Wana maana gani
 
Ooh good, wenzako wanaishia tu mwanzoni hawaendi mbele zaidi, wanaoneshwa penguine wanarudi[emoji23]. Fanya research why antartica treaty? kitu kingine Antartica so bara kama tunavyodanganywa ni ICE WALLS surrounding our earth, na angle zote za kuingilia zinalindwa kwa ulinzi mkali wa NASA.
Narudia, Usilete hadithi za kwenye vijiwe vya kahawa mkuu,

Mwanzo ulisema hakuna anaeenda, Sasa hivi unasema wanaishia mwanzoni huoni ni kwamba unajaribu kubumba bumba mambo ili kutafuta point za kutetea uongo wenu.


800740952.jpg
1598196733.jpg
 
Ukiweza nijibu vzr kuanzia namba 1-5 nitakuwa glober tena. Bado una muda wa kujua ukweli wa hii dunia. Inatakiwa pia ujue sababu ya kudanganywa ni nini? Kwanini wanadanganya kuhusu hii dunia? wanapata faida gani?
.
 
Mpaka sasa hujajibu swali langu, “why antartica treaty? Ukijibu, nitakujibu.
Unaniuliza swali ambalo nmeshakwambia toka mwanzo, Antarctica ipo huru na yoyote anaweza kutembelea,

Na picha nmekutumia, Sasa unataka nikujibu swali la kitu ambacho nmeshakwambia mambo hayapo hivyo ?


Antartica ni bara kubwa, lina maeneo mengi

U.S.A wana military base yao kule, Na sio kule tu ni maeneo mengi kwenye nchi mbali mbali Duniani.

Sehemu ambazo zinakatazwa ni maeneo ya kijeshi tu na ni maeneo ambayo hata ukubwa wake inazidiwa na Dar es salaam.

Sasa hiyo akili ya kuuliza "why Antarctica treaty" unaona lina maana gani kama sio kuonyesha uwezo mdogo wa kifikra.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uko brainwashed sana, sitaki kwenda deep mpaka pale utakavyojibu swali langu kwanza,

1. Why was a peace treaty passed for Antarctica?
2. Why is antartica guarded?
Mimi na wewe nani yupo brainwashed ambae unakuja na maneno kama mwanasiasa unaforce uaminiwe

mnachekesha sana [emoji28][emoji28].


Fanyeni tafiti mje na majibu yaliyonyooka sio kubumba bumba mambo mkiulizwa maswali mnakuja na maelezo mengine.
 
U.S.A wana military base yao kule, Na sio kule tu ni maeneo mengi kwenye nchi mbali mbali Duniani.

Huu ni uongo mkuu,.. U.S hawana military base yoyote huko Antarctica unless uwe na ushahidi usio na shaka.


NB:- Yaani pamoja na hoja za kimantiki na mifano ya uhalisia tuliyojadili Kwa pamoja hapa...bado tu unaamini Dunia ni Tufe linalozunguka?! hii ni hatari🙌🏼
 
Unaniuliza swali ambalo nmeshakwambia toka mwanzo, Antarctica ipo huru na yoyote anaweza kutembelea,

Na picha nmekutumia, Sasa unataka nikujibu swali la kitu ambacho nmeshakwambia mambo hayapo hivyo ?


Antartica ni bara kubwa, lina maeneo mengi

U.S.A wana military base yao kule, Na sio kule tu ni maeneo mengi kwenye nchi mbali mbali Duniani.

Sehemu ambazo zinakatazwa ni maeneo ya kijeshi tu na ni maeneo ambayo hata ukubwa wake inazidiwa na Dar es salaam.

Sasa hiyo akili ya kuuliza "why Antarctica treaty" unaona lina maana gani kama sio kuonyesha uwezo mdogo wa kifikra.

Kama unashindwa kujua kuna Antartica treaty ambayo imesainiwa na Mataifa Duniani icluding Tanzania kuna haja gani ya kuendelea ku-argue na wewe?.

Baki na unacho amini hata mimi nilikuwa kama wewe ila baada ya kuamua kuweka elimu ya Darasani pembeni nikajua ukweli kuhusu hii dunia.

The truth will set you free -This World Is NOT What You Think It Is.
 
Huu ni uongo mkuu,.. U.S hawana military base yoyote huko Antarctica unless uwe na ushahidi usio na shaka.


NB:- Yaani pamoja na hoja za kimantiki na mifano ya uhalisia tuliyojadili Kwa pamoja hapa...bado tu unaamini Dunia ni Tufe linalozunguka?! hii ni hatari[emoji1373]
Uhalisia upi mmetupa ? Hadi muda huu sijaambiwa kingo za Dunia zilipo ili nijipange taratibu niende.
 
Kama unashindwa kujua kuna Antartica treaty ambayo imesainiwa na Mataifa Duniani icluding Tanzania kuna haja gani ya kuendelea ku-argue na wewe?.

Baki na unacho amini hata mimi nilikuwa kama wewe ila baada ya kuamua kuweka elimu ya Darasani pembeni nikajua ukweli kuhusu hii dunia.

The truth will set you free -This World Is NOT What You Think It Is.
Sema hivi, uliamua kuweka elimu ya darasani na kufuata elimu za watu wengine walioibua mijadala ya Dunia ni flat na kukubaliana nazo.
 
Huu ni uongo mkuu,.. U.S hawana military base yoyote huko Antarctica unless uwe na ushahidi usio na shaka.


NB:- Yaani pamoja na hoja za kimantiki na mifano ya uhalisia tuliyojadili Kwa pamoja hapa...bado tu unaamini Dunia ni Tufe linalozunguka?! hii ni hatari[emoji1373]
Unasema US hawana military base yoyote ? Are you sure ?


Search neno Mcmurdo Station Antarctica

Na sio hiyo moja tu kuna nchi kama Argentina, Australia, Belgium, Chile, France, Japan, New Zealand, Norway, Russia (formally the Soviet Union), South Africa na United Kingdom.

Hawa wote na military base huko.
 
Huu ni uongo mkuu,.. U.S hawana military base yoyote huko Antarctica unless uwe na ushahidi usio na shaka.


NB:- Yaani pamoja na hoja za kimantiki na mifano ya uhalisia tuliyojadili Kwa pamoja hapa...bado tu unaamini Dunia ni Tufe linalozunguka?! hii ni hatari[emoji1373]
.
images%20(41).jpg
 
Huu ni uongo mkuu,.. U.S hawana military base yoyote huko Antarctica unless uwe na ushahidi usio na shaka.


NB:- Yaani pamoja na hoja za kimantiki na mifano ya uhalisia tuliyojadili Kwa pamoja hapa...bado tu unaamini Dunia ni Tufe linalozunguka?! hii ni hatari[emoji1373]
Hii ni military base ya Chile iliyopo Antarctica
860457563.jpg
 
Back
Top Bottom