Lax
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 4,740
- 7,179
Chosen Rich mkuu mimi ntakua nasoma comments zenu tu maana wazee waflat hawana docs zozoteOkay, Source ya Mwezi kuzunguka ni ipi ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chosen Rich mkuu mimi ntakua nasoma comments zenu tu maana wazee waflat hawana docs zozoteOkay, Source ya Mwezi kuzunguka ni ipi ?
Ukijua component za mwezi huwez uliza hili swali , mwezi uko gaseous state kwahio maybe zinaweza generate energyChosen Rich mkuu mimi ntakua nasoma comments zenu tu maana wazee waflat hawana docs zozote
Kaka hutak nielezee namna ya season inavyotokea?Chosen Rich mkuu mimi ntakua nasoma comments zenu tu maana wazee waflat hawana docs zozote
elezea tu wadau watajadili wapo wengi tuKaka hutak nielezee namna ya season inavyotokea?
Sio kweli, Mwezi haujaundwa na gas tuMwezi umeundwa na component ambazo ni gaseous kama sijakosea , kwahio atleast hio Ina make sense
Uwe unafuatilia kwanza mambo ndio unaandika,Hapana ,sio maigizo ila swali lipo hapo .... Before na after eclipse mwezi haukuonekana ukilisogelea jua Wala kuondoka ..... Ulionekana tu exactly unavyoziba jua unahisi kwanini?
Alafu mwezi unakua distance gan kutoka kweny jua had kublock huo mwanga wa jua?
Haha umewachoka ausio...Chosen Rich mkuu mimi ntakua nasoma comments zenu tu maana wazee waflat hawana docs zozote
NaamHaha umewachoka ausio...
Ni kweli, Ni kazi kuelimishana na mtu ambae ni kichwa ngumu
Yani wamekaza akili zao kupambanua mambo.
Mwezi umeundwa na nnSio kweli, Mwezi haujaundwa na gas
Hii nayo unapinga ? Au pia unataka video?Uwe unafuatilia kwanza mambo ndio unaandika,
Naona upo kuandika kwa mawazo yanayokutoka tu muda huu.
Nijibu hapa na utakua umeshindaAfter hapo , mnajua ishu za apelihelion na Pelion ( spelling zimenitoka kidogo) ishu za jua kua mbali au karibu na Dunia ,na Kuna kipind usiku unakua mrefu na Kuna kipind usiku unakua mfupi na Kuna kipindi usiku na mchana vinafanana
Ukitaka nkuelezee Kwa idea ya flat earth nakuelezea ila pia andaa namna ya kuielezea wewe baada ya Mimi kuielezea ..... Alie tayar tuendelee
Napinga nini ? Nieleze point yako ya kutuma hii clip maana nmeshindwa kuelewaHii nayo unapinga ? Au pia unataka video? View attachment 2962342
Hii video nayo hujaelewa au unachagua kinachokubebaBasi hizo video zitakua ni zaid ya maelezo tosha, angalieni na muelewe..... Kukiwa na hoja nyingne basi mtu aanze kuielezea Kwa concept yake season na kipind Cha jua kua karibu /mbali na Dunia na kipindi ambacho usiku unakua mrefu kuzid mchana au mchana kua mrefu kuzid usikuView attachment 2962297View attachment 2962296
Nijibu hapa na utakua umeshinda
[emoji28][emoji28] Ndio maana nakwambia uache kuandika mambo kwa mawazo yanayokutoka tu muda huuMwezi umeundwa na nn
Hii kama inamaanisha usiku na mahana kwenye Dunia flat ni ujinga.
Hii clip, Unaweza kuelezea Sun-set na Sunrise inatokeaje ?
Unamaanisha Aphelion na perihelion? Kwamba ndo zinasabisha usiku uwe mrefu kuliko mchana?After hapo , mnajua ishu za apelihelion na Pelion ( spelling zimenitoka kidogo) ishu za jua kua mbali au karibu na Dunia ,na Kuna kipind usiku unakua mrefu na Kuna kipind usiku unakua mfupi na Kuna kipindi usiku na mchana vinafanana
Ukitaka nkuelezee Kwa idea ya flat earth nakuelezea ila pia andaa namna ya kuielezea wewe baada ya Mimi kuielezea ..... Alie tayar tuendelee