hateeb10
JF-Expert Member
- Dec 8, 2022
- 2,920
- 1,223
yes nipo serious kabisa..Yani upo serious kabisa unaniuliza nini maana ya edge ? 🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yes nipo serious kabisa..Yani upo serious kabisa unaniuliza nini maana ya edge ? 🤔
Pengine mimi sifahamu, Emu nijibu weweyes nipo serious kabisa..
Unaona unavyokwama sasa? acha uoga umesema Dunia haina "edge" that means unajua maana ya "edge"Pengine mimi sifahamu, Emu nijibu wewe
Hahaha huwa unafurahisha sana we jamaa, Lengo lako ilikua nini haswa maana sijakuelewa mpaka muda huuUnaona unavyokwama sasa? acha uoga umesema Dunia haina "edge" that means unajua maana ya "edge"
sasa tuambie ulimaanisha nini uliposema Dunia haina "Edge"
"What is an Edge "
Incase ukikosea nitakuelewesha...usiogope kabisa tupo hapa kujifunza.
jambo gani lipo wazi,...Hahaha huwa unafurahisha sana we jamaa, Lengo lako ilikua nini haswa maana sijakuelewa mpaka muda huu
Yani kwanini uniulize maana ya jambo ambalo liko wazi
Alafu nadhani wewe ndiye muoga 🤔, Jikite kwenye madaUnaona unavyokwama sasa? acha uoga umesema Dunia haina "edge" that means unajua maana ya "edge"
sasa tuambie ulimaanisha nini uliposema Dunia haina "Edge"
"What is an Edge "
Incase ukikosea nitakuelewesha...usiogope kabisa tupo hapa kujifunza.
Unajua ni utoto kuelezea jambo ambalo linafahamika wazi kabisa, Ati nini maana ya Edge...Wtfjambo gani lipo wazi,...
Uliposema Dunia haina edge ulimaanisha nini?Unajua ni utoto kuelezea jambo ambalo linafahamika wazi kabisa, Ati nini maana ya Edge...Wtf
Hujui maana ya edge,...then unataka nikuonyeshe edge of the earth?Alafu nadhani wewe ndiye muoga 🤔, Jikite kwenye mada
Hujanionyesha kingo za Dunia hadi muda huu
Nmekwambia basi wewe unayejua naomba nielekeze, Haujafanya hivyoHujui maana ya edge,...then unataka nikuonyeshe edge of the earth?
Haiingii akilini.
Kwa kukusaidia, Maana inaonyesha haukua unajua ila ulitaka nikujibu ili ujueHujui maana ya edge,...then unataka nikuonyeshe edge of the earth?
Haiingii akilini.
Hivyo ndiyo nilikua nataka sasa ili hata nikikubana kwa maswali fikirishi usiseme nimekusingizia....Kwa kukusaidia, Maana inaonyesha haukua unajua ila ulitaka nikujibu ili ujue
Ukomo, Mpaka, Kingo ( Edge )
Tumeelewana ?
Hivyo ndiyo nilikua nataka sasa ili hata nikikubana kwa maswali fikirishi usiseme nimekusingizia....
Tuje kwenye point sasa,...kama umekiri neno "edge" linamaanisha "ukomo" wa kitu....JE, MWANZO ULIVYOSEMA DUNIA HAINA EDGE ULITUDANGANYA?
Sijakudanganya, Dunia haina ukomoHivyo ndiyo nilikua nataka sasa ili hata nikikubana kwa maswali fikirishi usiseme nimekusingizia....
Tuje kwenye point sasa,...kama umekiri neno "edge" linamaanisha "ukomo" wa kitu....JE, MWANZO ULIVYOSEMA DUNIA HAINA EDGE ULITUDANGANYA?
Tufe halina ukomo?Sijakudanganya, Dunia haina ukomo
Kwakua ni Tufe
Nikisema unionyeshe ukomo wa mpira unaweza kunionyesha ?Tufe halina ukomo?
Are you serious...?
Yes, within seconds!Nikisema unionyeshe ukomo wa mpira unaweza kunionyesha ?
NionyesheYes, within seconds!
Haiwezi tokea, Nlikua naweka mambo sawa