hateeb10
JF-Expert Member
- Dec 8, 2022
- 2,920
- 1,223
Hilo ndiyo tufe lilivyo sasa.....najua haingii akilini lakina haina jinsi itabidi ukubaliane na kile unachokiamini.Sina haja ya kutoa maelezo, Kama una akili timamu nadhani ukirudi kuiangalia upya hiyo picha utapata majibu