Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Kila nikiisoma tena hii comment yako naona nabishana na mtu wa aina gani!
"Uthibitisho nilio nao ni wa kitafiti sio nadharia"
1. Wewe unadhani nadharia huwa ni mtu anakurupuka tu kisha anaitoa?
2. Umeamini utafiti wa uyo ofsa halafu huamini utafiti wa NASA 😂😂😂
Anyway, nakusubiri unielezee huo utafiti ulifanywaje, na akaconclude vipi kama dunia ni flat, natumaini hakuna nadharia kwenye huo utafiti otherwise haitoeleweka unabishana kwasababu gani.
1. Yap kuna nadharia watu wanakurupuka tu mfano ndiyo hizo ambazo haziwezi kuthibitishika ikiwemo evolution, dunia tufe linalozunguka pamoja na gravity.

2. Ofsa gani unayemzungumzia?...hakuna sehemu nimetaja habari za ofsa yoyote humu....,tuliza akili haina haja ya kujibu chap chap bila kuelewa context.
 
Actually hiyo unayoita upthrust inaweza kutokea hata kwa object ambayo ni non-fluid kwa mfano chukua object ambayo imetengenezwa kwa elastic material let's say ngoma(drum) imetengenezwa kwa material ngumu ambayo inavutika,..kisha chukua jiwe lenye uzito wa wastani kisha liweke kwa kukandamiza juu katikati ya ile ngoma kama unazamisha hivi,..then achia ,.in seconds utaona jiwe likisukumwa kwa nguvu huenda hata likasukumwa juu mbali............Sasa mfano huo ndiyo utumie kujua kwamba hiyo unayoita upthrust kiuhalisia ni resistance tu ya object moja against object nyingine kwenye ku occupy space,..and that's why ukiweka kitu kwenye maji kitasukumwa juu na maji na sio kwamba kuna force ya ajabu inayoitwa upthrust force ndiyo inasukuma vitu,...Hahh naamini umeelewa sasa twende hatua nyingine si ndiyo?

NB: Ukihitaji mifano zaidi ya hicho unachoita upthrust force nitakupatia,.ondoa shaka kabisa.
This is the dumbest comment ever!
I assume you don't know about restoring forces and elastic potential energy.
Ngoja nikupe utofauti wa hizo force mbili. Iyo uliyoisema hapo kiwango chake kinaongezeka kadiri unavyozidi kusukuma kwenda chini, upthrust kitu kikishazama chote tu haiongezeki, 2. Iyo unayoisema pia inaweza kusukuma vitu kwenda juu ama chini sio juu peke yake, chukuwa spring au mpira weka jiwe livute kwa juu litalirudisha chini tofauti na upthrust yenyewe inasukuma vitu juu peke yake.
Kwenye upthrust hakuna potential energy inayohifadhiwa kwenye hiyo uliyoitaja kuna potential energy inayohifadhiwa
Kasome physics kijana
 
Tafiti nimefanya mimi mwenyewe,...nadhani hujaelewa niliposema kwamba miongoni mwa aina za research kuna hii inayoitwa "OBSERVATIONAL RESEARCH" ambayo hata wewe unaweza ukaifanya.........

Flat earth inakaririshwaje sasa? ukweli kwamba dunia ipo flat na haizunguki ni kitu ambacho una observe kila siku,...sasa hapo kuna haja kweli ya mtu kuja na kukufundisha ukariri kwamba dunia ni flat na haizunguki??

Hivi kilichokufanya ufikirie kwamba nimeleta thesis ya mtu ni nini?..........kuwa makini,read between the line brother.

Hata hivyo vifaa vya kupimia vinategemea milango ya fahamu ili viwepo, kutumika na kutafsiriwa matokeo yake,..na kwa kuongezea hivyo vifaa bado havijathibitisha kwamba dunia ni tufe linalozunguka..........

NB; Wewe huo uthibitisho kwamba dunia ni tufe linalozunguka umeupata kwa kutumia kifaa gani?
Narudia tena, unless umeobserve dunia from space tunaweza kuongea otherwise kusema umeobserve na wewe uko hapa hapa ni upuuzi. Toa uthibitisho wako sio kusema umeona kwa macho
Nimekuoa mifano hai unaleta blah blah
 
Kuna sehemu nimesema Physics peke yake ndiyo ya kukariri?......concern yangu ni kwamba unatakiwa ku reason kila kitu..........sio kwamba utakachofundishwa ndiyo unabeba kama kilivyo..........ubongo uliopewa utakua wa kazi gani sasa kama unaacha wengine wafikirie 100% on your behalf...?

NB: Mimi naunga mkono juhudi na mapinduzi mbalimbali ya kimaarifa na vumbuzi za kisayansi ambazo zimeleta matokeo chanya duniani,..lakini kwa critical thinker huwezi kufunga mlango wa kufikiria against what you have been taught kwasababu hata ukisoma historia, critical thinkers walikuepo miaka na miaka na ndiyo sababu nadharia mbalimbali zimekua zikifa na kuibuka nyingine kutokana na uwepo wa critical thinkers those who argued against the mainstream idea and theories............
Kwaiyo kufikiria kwako ndo huko kusema dunia ni flat kwasababu umeona kwa macho ni flat, and you dare calling that stupidity critical thinking? Pumbaaf
 
Let me make this clear manake unazunguka sana,
Usilete mambo ya nimeona kwa macho, Macho hayawezi kukwambia kama hii dunia ni flat ukiwa umekaa hapa unless una-assume you can see all +12000 kilometers diameter
Nimekupa mfano mfupi, jaalia umefungiwa ndani ya boksi kubwa halafu lianze kupaa kuelekea juu at constant speed while wewe apo huoni chochote nje, milango yako ya fahamu haiwezi kukuambia kama unamove au laa unless mtu yuko kwenye boksi lingine akuangalie wewe. Hiyo inaitwa relativity. You can't measure motion unless uwe na kitu utakacholinganisha na hiyo motion usiwe mjinga mfano mdogo tu huo.


Kwasasa naomba utoe hoja zako ulizotumia kuconclude kwenye hiyo research yako kwamba Earth ni flat
 
Ukishaona tu mtu anapinga gravity basi either ni Mwehu or anaelekea kuwa mwehu.
Wewe
Pia hujanijibu swali nilililo kuuliza, umesema gravity haina impact kitu kufall ila density, sasa nimekuuliza density inafanya vipi kitu kifall? Kwaninibiwe density ndo inasababisha kitu kifall na isiwe rangi?
Kwanini isingekuwa vitu vyenye rangi ya kijani vinafall blue vinaelea ila ikawa density???
 
This is the dumbest comment ever!
I assume you don't know about restoring forces and elastic potential energy.
Ngoja nikupe utofauti wa hizo force mbili. Iyo uliyoisema hapo kiwango chake kinaongezeka kadiri unavyozidi kusukuma kwenda chini, upthrust kitu kikishazama chote tu haiongezeki, 2. Iyo unayoisema pia inaweza kusukuma vitu kwenda juu ama chini sio juu peke yake, chukuwa spring au mpira weka jiwe livute kwa juu litalirudisha chini tofauti na upthrust yenyewe inasukuma vitu juu peke yake.
Kwenye upthrust hakuna potential energy inayohifadhiwa kwenye hiyo uliyoitaja kuna potential energy inayohifadhiwa
Kasome physics kijana
Narudia,..kinachofanya kitu kirudi juu sio the so called upthrust force bali ni resistance ya object moja against object nyingine kwenye ku occupy space,...hujiulizi kwanini object ikifika juu inatulia(inaelea) hiyo upthrust force inakua imeenda wapi mpaka ishindwe kuivuta object husika juu zaidi?
 
Narudia tena, unless umeobserve dunia from space tunaweza kuongea otherwise kusema umeobserve na wewe uko hapa hapa ni upuuzi. Toa uthibitisho wako sio kusema umeona kwa macho
Nimekuoa mifano hai unaleta blah blah
Vizuri sana,..Wewe unaesema DUNIA NI TUFE LINALOZUNGUKA ULI OBSERVE FROM SPACE...?
 
Kwaiyo kufikiria kwako ndo huko kusema dunia ni flat kwasababu umeona kwa macho ni flat, and you dare calling that stupidity critical thinking? Pumbaaf
Hahh tatizo la ignorance ni kumfanya muathirika wake kujihisi confident......... wewe unaona macho hayawezi kutupa uhalisia wa umbo la dunia, si ndiyo?.........sasa mbona ukiulizwa utuambie umejuaje kama dunia ni tufe linalozunguka hujibu una ruka ruka,.......? what's wrong?!
 
Narudia,..kinachofanya kitu kirudi juu sio the so called upthrust force bali ni resistance ya object moja against object nyingine kwenye ku occupy space,...hujiulizi kwanini object ikifika juu inatulia(inaelea) hiyo upthrust force inakua imeenda wapi?
Narudia, chukua jiwe weka kwenye spring vita juu litabaki juu kama ilivyo kwenye maji?
Tumia akili basi
 
Vizuri sana,..Wewe unaesema DUNIA NI TUFE LINALOZUNGUKA ULI OBSERVE FROM SPACE...?
Thus why nafikiria zaidi ya nnachokiona, siwezi kuconclude kama dunia ni tufe ama flat simpky kutokana na kuona nikiwa chini.
Unajiita critical thinker kwa kuconclude kulingana na unavyoona, Are you even a scientist?
 
Iyo resistance ya object moja against nyingine kwenye ku-occupy space wewe uliisikia wapi mzee? Seems hata iyo observation yako uliconclude kama hivyo.
Bila kupoteza muda nipe maelezo kuhusian na maneno yako kuwa density ndo inavuta vitu chini, nimekuuliza kwanini isiwe rangi
 
Hahh tatizo la ignorance ni kumfanya muathirika wake kujihisi confident......... wewe unaona macho hayawezi kutupa uhalisia wa umbo la dunia, si ndiyo?.........sasa mbona ukiulizwa utuambie umejuaje kama dunia ni tufe linalozunguka hujibu una ruka ruka,.......? what's wrong?!
Unataka kujibiwa kwa milango ya fahamu, sasa wewe unavyojiona upo normal? Au unadhani kila mtu anaconclude baada ya kuangalia dunia akiwa chini kama wewe?
Toa huo upuuzi wa milango ya fahamu twende kwenye Mathematical reasoning and strong arguments wewe utoe facts zako tuzi evaluate na mm nitoe zangu sio unaruka ruka tu
 
By the way, Hapa saivi nimeshika chungwa mkononi nimezibia jua likalifunika jua lote. Nimegundua kumbe jua ukubwa wake ni dogo kabisa kuliko chungwa langu . Kweli mimi ni critical thinker🤔🤔
 
Thus why nafikiria zaidi ya nnachokiona, siwezi kuconclude kama dunia ni tufe ama flat simpky kutokana na kuona nikiwa chini.
Unajiita critical thinker kwa kuconclude kulingana na unavyoona, Are you even a scientist?
Anhaa vizuri kumbe hauna uhakika kama ni tufe ama la,...........sasa ngoja nikueleweshe ndugu yangu yaamini macho yako na fikra zako kisha tumia logic utaelewa vizuri...

Kwa mfano jiulize If you dig deep down from where you stand, will you arrive in Finland, based on the belief that the Earth is ball-shaped?

Jiulize logical questions,....kama macho hutaki kuyaamini logic je?
 
Unataka kujibiwa kwa milango ya fahamu, sasa wewe unavyojiona upo normal? Au unadhani kila mtu anaconclude baada ya kuangalia dunia akiwa chini kama wewe?
Toa huo upuuzi wa milango ya fahamu twende kwenye Mathematical reasoning and strong arguments wewe utoe facts zako tuzi evaluate na mm nitoe zangu sio unaruka ruka tu
Tulia,..kabla hatujaenda kwenye mathematical reasonings and imaginary calculations,...unakubali kwamba kwenye uhalisia hauna uthibitisho kwamba dunia ni tufe linalozunguka,..?

Kitendo cha kushindwa kuthibitisha hoja zako kwenye uhalisia,..ni ishara tosha kwamba unaamini vitu kwa kutumia imaginary calculations ulizofundishwa,....kwenye uhalisia huoni kilichopo kwenye makaratasi.

NB: Hata mimi nilifundishwa dunia ni tufe linalozunguka kama wewe ulivyofundishwa,..lakini nilivyofikiria kiundani zaidi it does'nt make sense siku nikipata uthibisho kwenye uhalisia nitaamini, kwasasa hapana,.....Earth is flat and stationary as it appears to be....NASUBIRI UTHIBITISHO, HUMBLY KABISA NASUBIRI!
 
Anhaa vizuri kumbe hauna uhakika kama ni tufe ama la,...........sasa ngoja nikueleweshe ndugu yangu yaamini macho yako na fikra zako kisha tumia logic utaelewa vizuri...

Kwa mfano jiulize If you dig deep down from where you stand, will you arrive in Finland, based on the belief that the Earth is ball-shaped?

Jiulize logical questions,....kama macho hutaki kuyaamini logic je?
Mzee nimekwambia macho hayawezi kuthibitisha,
Chungwa langu hapa limeziba jua lote, je chungwa langu ni kubwa kuliko jua? Mbona ni simple logic kichwa gani hiko hakiwezi kuelewa hata hiyo??
Stop that shit eti imaginary calculations, hiyo ya kuangalia ndo imaginary stupidity.
Hujajibu bado, kama gravity hakuna, umesema density ndo inafanya vitu vianguke. Density inafanyaje vitu vianguke kwanini isiwe rangi? Ama ndo ulimeza tu kwenye article za aliyekumezesha hakuna gravity
Wewe umedonoa physics kwenye makaratasi, I use physics and Mathematics tambua utofauti.
Hizo unaita imaginary calculations, a single fail inaweza kufanya daraja likaanguka, Math can make ndege bomb itoke hapa ikatue inapotakiwa wewe umekaa na msuli unaita imaginary calculations??

Naomba unipe hilo jibu kwanza tuendelee, saivi sitaki maongezi mengi twende kwenye point
 
Tulia,..kabla hatujaenda kwenye mathematical reasonings and imaginary calculations,...unakubali kwamba kwenye uhalisia hauna uthibitisho kwamba dunia ni tufe linalozunguka,..?

Kitendo cha kushindwa kuthibitisha hoja zako kwenye uhalisia,..ni ishara tosha kwamba unaamini vitu kwa kutumia imaginary calculations ulizofundishwa,....kwenye uhalisia huoni kilichopo kwenye makaratasi.

NB: Hata mimi nilifundishwa dunia ni tufe linalozunguka kama wewe ulivyofundishwa,..lakini nilivyofikiria kiundani zaidi it does'nt make sense siku nikipata uthibisho kwenye uhalisia nitaamini, kwasasa hapana,.....Earth is flat and stationary as it appears to be....NASUBIRI UTHIBITISHO, HUMBLY KABISA NASUBIRI!
Iyo akili yako inayokwambia dunia ni flat kwasababu unaona ni flat ndo haiitajiki hapa, kama unaubongo uchengenue utoe facts sio maelezo kama ya mtoto wa darasa la pili
 
Bila kuandika micomment mingi kukuoa maelezo ambayo huelewi.
Let's assume hakuna gravity alafu density ndo ifanye vitu vianguke.
Here's a question, KWANINI DENSITY NDO IFANYE VITU VIANGUKE, KWANINI KITU CHENYE RANGI ILIYOKOZA KISIANGUKE UKILINGANISHA NA AMBACHO RANGI YAKE IMEKOZA?? Why density determines wether things fall and not color or any other object properties???
Nasubiri
 
Iyo resistance ya object moja against nyingine kwenye ku-occupy space wewe uliisikia wapi mzee? Seems hata iyo observation yako uliconclude kama hivyo.
Bila kupoteza muda nipe maelezo kuhusian na maneno yako kuwa density ndo inavuta vitu chini, nimekuuliza kwanini isiwe rangi
Hakuna sehemu nimesema density inavuta vitu chini,...bali ni kwamba The denser the object, the higher the likelihood that it will sink or drop, and vice versa,.......mfano A person weighing 98 kilograms climbing onto the back of a person weighing 20 kilograms is like objects with greater weight that tend to sink or be less able to carry load, depending on their molecular density.
 
Back
Top Bottom