Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
We unaona umeeleweka hapo?? Sasa ukomo wake ni wapi hapo? Maana Kuna mishale minne na mwingne anaweza kuongeza atakavyo kama ulivyofanya wewe.

Na hapo umeonesha Kwa nje nje Kwa ndani?😄
Sasa nani aliyekuambia ukomo wa kitu unaangaliwa kwa ndani,..?

Kitu kikishakua na maximum size maana yake kina ukomo,... Haijalishi hicho kitu kina umbo gani,.. unaelewa?
 
Sasa nani aliyekuambia ukomo wa kitu unaangalia ndani,..?

Kitu kikishakua na maximum size maana yake kina ukomo,... Haijalishi hicho kitu kina umbo gani,.. unaelewa?
Wewe si umeangalia thickness ya line Kwa kuchangua point Moja moja na kusema hapo ndio ukomo, kama unakataa basi nambie mwanzo ni wapi kama hapo ulipoonesha ni ukomo. Usiforce, ulikosea kubali tu Mpira Hauna edge na hautawah kuwa na edge
 
Wewe si umeangalia thickness ya line Kwa kuchangua point Moja moja na kusema hapo ndio ukomo, kama unakataa basi nambie mwanzo ni wapi kama hapo ulipoonesha ni ukomo. Usiforce, ulikosea kubali tu Mpira Hauna edge na hautawah kuwa na edge
Mpira una maximum size/not??
 
Nyie mnaobishana humu ndani..
Huwa mnakula sa ngapi..?

Je mnapata mda wa kuwa na watu wenu wa karibu...?

Mnalala sa ngapi..?

Kwanini mnapenda kubishana kila siku mkiamka ni mambo yale yale hvi mnataka tuwape nini ili mpatane wakuu ,,,,?
😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄
 
Screenshot_20241214_202424.jpg


Kwenye picha hapo juu ukiambiwa u highlight ukomo wa blue ring utashindwa? The celebrity
 
Kumbuka ukomo unaoongelea hapa ni edge, usije kubadiri ukaanza kuchanganya na capacity ya kitu.
Kwani ni nini maana ya ukomo (edge), mpaka inashindwa kuelewa?.... kuweka mambo clear zaidi ni kwamba ninaposema ukomo/edge namaanisha ile point ambayo kama ukinyanyua mguu wako step moja tu hautokua kwenye hiyo round object tena,...

Na kwa kukuelewesha zaidi miongoni mwa tafsiri za edge ni Mpaka (boundary)....sasa Je, mpira hauna mpaka, umeenea all over?
 
Ndio ntashindwa hiyo ringi ya blue ni continuos hapo sioni mwanzo wake Wala mwisho wake.
Kwamba hapo ukiambiwa utaje point ambapo tunaanza kukutana na Blue ring utashindwa?


Labda kama uwe kilaza wa hali ya juu ndiyo utashindwa kujua kuhusu hilo.
 
wazungu walichunguza na wakagundua kuna mabara yana mali nyingi na waliweza kuvuka maji ya kutisha na kuyafikia mabara hayo na kuyatawala na kufanikiwa kuhamisha mali za huko hadi kwao.

ukiangalia hata ramani zote za barabara zinazotumika kwenye bara la africa bado wanatumia ramani zilezile za wazungu wakoloni.watu weusi tumeshindwa hata kubuni njia zetu za kututoa sehem moja hadi nyingine iwe nchi kavu,bahari hata anga.

wazungu haohoa leo wamefikia kufika mwezini na kutuletea picha za dunia yako kama ilivyo. na sasa wanachanja mbuga miaka sio mingi wanaingia sayari ya mars.
kwamafanikio haya wenzetu wazungu sio wa kubezwa hatakidogo.kama una cha kuwapinga zaidi toa ushahidi wako ambao haugusi kabisa ushahidi wa wazungu katika utafiti wao.

KITU PEKEE AMBACHO MIMI NAWEZA KUWAPINGA WAZUNGU NI KUTULETEA DINI ZAO TU. pamoja vitabu vya dini ndio vitabu walivyoweka kumbukumbu zao na kuendeleza utafiti wao wa kidunia na maisha ya wanadamu,wakati sisi tunaendelea kuwa wajinga wa kuto kugundua mtego huu.
 
Ngoja nijaribu kukuweka sawa,..usipoelewa na hapa hautokuja kuelewa tena..,
  • The edge of a circle can be thought of as the circumference—the continuous boundary that defines the maximum size or extent of the circle.
  • If someone is standing on the circumference of the circle, they are at the "edge" of that shape. Moving even 1 cm beyond this boundary would mean they step out of the circular object.

Chukulia,.. A Round Table

In a perfectly round table. The outermost point of the table is its edge.

  • If you place a glass right on the edge, it’s still on the table.
  • Move it 1 centimeter further, and the glass falls off—it’s now beyond the table’s boundary.
In physical and practical terms, the boundary of a round object is similar to the "edge" of any other object. It defines where the object ends and the external space begins.
 
wazungu walichunguza na wakagundua kuna mabara yana mali nyingi na waliweza kuvuka maji ya kutisha na kuyafikia mabara hayo na kuyatawala na kufanikiwa kuhamisha mali za huko hadi kwao.

ukiangalia hata ramani zote za barabara zinazotumika kwenye bara la africa bado wanatumia ramani zilezile za wazungu wakoloni.watu weusi tumeshindwa hata kubuni njia zetu za kututoa sehem moja hadi nyingine iwe nchi kavu,bahari hata anga.

wazungu haohoa leo wamefikia kufika mwezini na kutuletea picha za dunia yako kama ilivyo. na sasa wanachanja mbuga miaka sio mingi wanaingia sayari ya mars.
kwamafanikio haya wenzetu wazungu sio wa kubezwa hatakidogo.kama una cha kuwapinga zaidi toa ushahidi wako ambao haugusi kabisa ushahidi wa wazungu katika utafiti wao.

KITU PEKEE AMBACHO MIMI NAWEZA KUWAPINGA WAZUNGU NI KUTULETEA DINI ZAO TU. pamoja vitabu vya dini ndio vitabu walivyoweka kumbukumbu zao na kuendeleza utafiti wao wa kidunia na maisha ya wanadamu,wakati sisi tunaendelea kuwa wajinga wa kuto kugundua mtego huu.
Kwahiyo wewe unavyojua watu wa jamii zingine hawakua na ramani za Dunia na hawakujua kama kuna mabara mengine yenye mali?

Ukisoma Historia utaona muingiliano wa jamii kwa jamii, mabara kwa mabara kwenye masuala mbalimbali ya kibiashara na kiutawala yalikuepo kitu ambacho kinakuonyesha wazi kwamba ramani na routes mbalimbali zilikuepo kwenye Jamii zote na sio Wazungu peke yao,... Kwa mfano kwenye biashara ushawahi kusikia kuhusu Trans-saharan Trade.? hapo kulikua na Trade routes zilizounganisha Southern Africa - North Africa - Europe - Middle East..............

Watu walifanya biashara wakavuka mabara kwa mabara kwa kutumia ramani na routes zao,.... ukiwa mvivu wa kufikiri ndiyo utasema kulikua hakuna elites na watu wenye ujuzi toka Africa,.. Nadhani tatizo kubwa huenda Afrika wajinga ni wengi kuliko waerevu kitu kinachofanya juhudi za wachache waerevu zishindwe kuonyesha matokeo.........

NB: Kumbuka,..ndani ya hao wazungu unaowaona ni waerevu ndani yake kuna wajinga wengi tu ambao hata wewe ni genius kwao.
 
Kwahiyo wewe unavyojua watu wa jamii zingine hawakua na ramani za Dunia na hawakujua kama kuna mabara mengine yenye mali?

Ukisoma Historia utaona muingiliano wa jamii kwa jamii, mabara kwa mabara kwenye masuala mbalimbali ya kibiashara na kiutawala yalikuepo kitu ambacho kinakuonyesha wazi kwamba ramani na routes mbalimbali zilikuepo kwenye Jamii zote na sio Wazungu peke yao,... Kwa mfano kwenye biashara ushawahi kusikia kuhusu Trans-saharan Trade.? hapo kulikua na Trade routes zilizounganisha Southern Africa - North Africa - Europe - Middle East..............

Watu walifanya biashara wakavuka mabara kwa mabara kwa kutumia ramani na routes zao,.... ukiwa mvivu wa kufikiri ndiyo utasema kulikua hakuna elites na watu wenye ujuzi toka Africa,.. Nadhani tatizo kubwa huenda Afrika wajinga ni wengi kuliko waerevu kitu kinachofanya juhudi za wachache waerevu zishindwe kuonyesha matokeo.........

NB: Kumbuka,..ndani ya hao wazungu unaowaona ni waerevu ndani yake kuna wajinga wengi tu ambao hata wewe ni genius kwao.
kwahiyo uliambiwa wazungu ote wanafanya kazi ya kutafiti dunia tu ilivyo.?
 
Back
Top Bottom