Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Unachotakiwa uelewe ni kwamba ni rahisi kwa binadamu kustick in any ball-shaped object kuliko maji......so case ya kuruka ama kutoruka haihusiani kabisa na ishu ya kustick.
Hujajibu swali, ni gravity au state ya matter uliyonayo(solid)???
 
Video inayothibitisha nini,...
Kuwa Dunia ni flat na Jua linazunguka Dunia kama unavyosema.
Nikijibu swali lako,.. Ndiyo, Theoretically tunaweza kusema yatastick....but we have to show that practically.
Vizuri, kwahy Gravity theoretically Haina shida kwako Sina haja tena ya kuanza kuelezea theory za gravity hapa.

Ila shida unataka kuona maji yanavyostick kwenye Dunia Kwa ukubwa zaidi si ndio? Naimani nikikuletea picha from space utazikataa Kwa sababu zako mwenyewe. Kwahy mpk hapa Sina uwezo tena wa kukuonesha unachotaka ukione.
 
Usiseme tu Dunia inazunguka,...Thibitisha kama inazunguka.

Kila mtu haoni Dunia ikizunguka,..wewe umejuaje kama inazunguka????
Umewahi kupanda ndege ?

Anyways mimi nmeuliza swali lililotokana na madai yake so ni vyema kama umemsaidia kujibu ungejibu swali langu direct kutokana na madai yake
 
Kwahy mpk hapa Sina uwezo tena wa kukuonesha unachotaka ukione.
Kwahiyo tunakubaliana huwezi kuthibitisha namna Maji yanastick kwenye ball-shaped earth....?


Basi kama ni hivyo,. Usishangae kwanini criticisms zinaibuka kuhusu hizo nadharia za Dunia tufe inayozunguka.
 
Kwahy maji ukiyarusha juu hayarudi chini?
Unajipa ugumu kwenye kuelewa,... kitu ninachouliza ni kwamba let's imagine Dunia ipo hivi 👉 🌎,. Je ishawahi kuwa observed sehemu yoyote Duniani namna Maji (Large water bodies kama bahari,....) yanavyo stick na ku curve kufuata umbo la Dunia?

Hiyo ndiyo hoja yangu,..na sio kuhusu kuyarusha maji.
 
Kwahiyo tunakubaliana huwezi kuthibitisha namna Maji yanastick kwenye ball-shaped earth....?
Uthibitisho unaoutaka Sina, kwahy naomba ww unipe uthibitisho wa aina hiyo hiyo unaoonesha Dunia tambarare (as a whole) na mfumo wake wa Jua na mwezi kama unavyodai.

Note: uthibitisho wa video(kama unaodai wewe) ukionesha Dunia flat not a part.
 
Unajipa ugumu kwenye kuelewa,... kitu ninachouliza ni kwamba let's imagine Dunia ipo hivi 👉 🌎,. Je ishawahi kuwa observed sehemu yoyote Duniani namna Maji (Large water bodies kama bahari,....) yanavyo stick na ku curve kufuata umbo la Dunia?
Yes, ishawahi ila uthibitisho unaukataa Kwa madai yasiyo na mantiki. So nimekubali Sina uthibitisho wa aina unayotaka ww ila ninao ushahidi ambao wewe hutaki.

Kwahy mpk hapa naomba ww unipe ushahidi wako(video) kuthibitisha unachodai.
 
hateeb10
Naelewa shida yako, umekubali theoretically round earth rotating and revolving is possible lakini kitu unachotaka ni uthibitisho wa video zinazoonesha hicho kitu. Kwanza huo ushahidi upo Ile ww umeukataa.

Speaking about your flat earth conspiracy, hata theoretically tu umeshindwa kuthibitisha basi naomba hizo video na picha tuone.
 
Basi kama ni hivyo,. Usishangae kwanini criticisms zinaibuka kuhusu hizo nadharia za Dunia tufe inayozunguka.
Sijakataa ku criticize ila unakuja na hoja Gani? Ndo maana hata NkumbiSon nilivyokuwa nam-criticize akahamishia mada kwenye kubishana kitu ambacho sicho Cha ukweli. Mimi nataka maelezo either theoretically ama video then huo ushahidi u-make sense.

Ukileta hoja dhaifu lazima nikuhoji. Mfano ukisema Dunia ni flat nakuomba uelezee sunset according to hiyo flat earth unanipa majibu ya kisadikika ambayo hata ww yanakushinda kuyatetea lazima nione hoja yako Haina mashiko yoyote.
 
"Imagination is more important than knowledge....~Albert Einstein


Nitarudi,.
 
Umeshindwa kutumia imagination kuona umbo la Dunia, kwako sio muhimu.
Hujaelewa kwanini nimeweka hiyo quote,.. Lengo ni kuonyesha kwamba kuna vitu unachukulia kama ndiyo vipo hivyo 100% kumbe theories zake zilianza kwa imagination tu,. that's why hutakiwi kuufunga mlango wa kudadisi na kujiuliza maswali zaidi,. ikiwa utapata doubts zozote kwenye fikra zako,.
 
Uthibitisho unaoutaka Sina, kwahy naomba ww unipe uthibitisho wa aina hiyo hiyo unaoonesha Dunia tambarare (as a whole) na mfumo wake wa Jua na mwezi kama unavyodai.

Note: uthibitisho wa video(kama unaodai wewe) ukionesha Dunia flat not a part.
Mimi pia ushahidi wa video sina,..ila atleast ninachoamini kinaweza kuwa supported na observation:-

  • Through observation,.. huoni wala kuhisi Dunia iki move.
  • Through observation,..unaona flatness ya Dunia all over.
Tukija upande wa Dunia tufe 🌎 hakuna hata kimoja unachoweza ku observe hapo,.hivyo unahitaji uthibitisho zaidi kuthibitisha kile unachokiamini.
 
Mimi pia ushahidi wa video sina,..ila atleast ninachoamini kinaweza kuwa supported na observation:-
Ila ya nini tena? Jibu ni Moja tu huna ushahidi na huo ushahidi wa namna hiyo haiwezekani.
  • Through observation,.. huoni wala kuhisi Dunia iki move.
  • Through observation,..unaona flatness ya Dunia all over.
1. Kutoona Wala kuhisi Dunia ikimove wakati umeshindwa kunipa video nzima inayoonesha Dunia nzima ikiwa haimove sio uthibitisho.

2. Flatness huwez kuipima Kwa kuangalia sehem ndogo sana ya Dunia less than 1% ya Dunia nzima. Hapo utakuwa unajidanganya mwenyewe

Lastly, theoretically umeshindwa kuthibitisha umbo ya Dunia flat hata video pia umeshindwa then unasema Dunia ni flat, unaona upo sawa kweli?

Wewe sio wa kwanza na Wala hutakuwa wa mwisho kuja na madai haya lakini siku zote ukweli utasimama. Most of Flat Earthers mnatofautiana mawazo yenu Kwa sababu mnachokisema Hamna ushahidinacho zaidi ya maelezo ambayo kimsingi hayana connection nzuri na uhalisia wa mambo.

Mfano mdogo tu kuonesha hoja zenu ni dhaifu hata theoretically:

1. Mkiulizwa muelezee solar na lunar eclipse na lunar phases huwa mnaleta story za kisadikika. Mfano wewe mwenyewe uliwahi kuleta majibu ya kisadikika ambayo hata ww hujui umeyatoa wapi.

2. a) Mnadai pembezoni mwa Dunia Kuna ice walls ambazo ndio zinazuia maji yasimwagike. Sasa swali la kujiuliza tu hata kama huna elimu kwanza kwann maji yamwagike?

b) Achana na Hilo mkaenda mbali zaidi mnadai hakuna mtu anaruhusiwa kwenda huko Kwasabab ni more secured place. Sasa kama ni hivyo wao walijuaje? Na mpka Kuna ramani zenu je nan alietengeneza hizo raman kama hakuna aliewah kufika huko?

3. Sunset na sunrise, hapa mnadai kuwa ni PERSPECTIVE, yaani kwamba Jua linaenda mbali zaidi na UPEO wa macho yetu kiasi kwamba linapungua size mpk linapotea. Swali dogo tu kwann katika uhalisia Jua halipungui size kama mnavyodai? Bali tunaona ni kama linazama(linaenda below our horizon) likiwa Kubwa vile vile? Hili swali hata wewe ulishindwa kujibu badala yake ukanipa majibu yaliyokosa maelezo kama REFRACTION na ILLUSION.

Ni kweli REFRACTION inaelezewa vzr kabisa kwenye Dunia duara kwamba wakat Jua linazama(sunset) huwa Kuna saa Moja ambalo kiuhalisia Jua linakuwa limeshazama(linakuwa below our horizon) lakini Bado tunakuwa tunaliona. Hii inatokana na refraction.

download (1).jpeg
 
Tukija upande wa Dunia tufe 🌎 hakuna hata kimoja unachoweza ku observe hapo,.hivyo unahitaji uthibitisho zaidi kuthibitisha kile unachokiamini.
Wewe umeobserve Dunia ni tambarare? Mbona umeshindwa kutuma video? Huwezi kusema umbo la Dunia ni flat Kwa sabab sehem ndogo unayoiona inauflat. Kwa ukubwa wa Dunia huwezi kusema hivyo hata siku Moja.
 
Back
Top Bottom