Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Kubadilika position ni kumove ?
Yap generally change in position indicates movement,.. na kwenye scenario ya Dunia, Jua na Mwezi,. object pekee ambayo haionekani hata kubadilisha position ni Dunia.

Na hata Sayansi inakubali kwamba Jua lina move,..sasa kama wewe unabisha inabidi ulete habari mpya.
 
Yap generally change in position indicates movement,.. na kwenye scenario ya Dunia, Jua na Mwezi,. object pekee ambayo haionekani hata kubadilisha position ni Dunia.

Na hata Sayansi inakubali kwamba Jua lina move,..sasa kama wewe unabisha inabidi ulete habari mpya.
Msingi wa hoja iliyopo ni Dunia na Jua ni kipi kinazunguka gimba lingine,,

Thibitisha kuwa Dunia haimove na sio akili yako ni ndogo kuelewa mambo,
 
Msingi wa hoja iliyopo ni Dunia na Jua ni kipi kinazunguka gimba lingine,,

Thibitisha kuwa Dunia haimove na sio akili yako ni ndogo kuelewa mambo,
Nithibitishe nini wakati siioni iki move, nasema hai move kwasababu siioni ikifanya hivyo?

Wewe unaesema Ina move ndiyo unatakiwa uthibitishe,..au akili yako ni ndogo kuelewa mambo?
 
-Uthibitisho wa kwanza ni usiku na mchana ( Hapa Dunia inakua inafanya rotation, Tumeshakueleza mara nyingi huko nyuma )
Usiku na mchana sio uthibitisho kwamba Dunia ina move,. Na mimi nikisema Jua lina move ndiyo maana tunapata usiku na mchana,. still itaeleweka vizuri tu.
-Kubadilika kwa majira
Huu pia sio uthibitisho,.. ukitaka ujue kwamba Dunia ipo stationary kuna nchi hazijawahi ku experience msimu wa winter mpaka kuanguka kwa barafu mfano Tanzania,....
-Sunrise and Sunset
Sio uthibitisho,. its just a perspective.

-Ship visibility
Sio uthibitisho,.. Meli zina move horizontally over the ocean without bending toward the curvature.
 
Usiku na mchana sio uthibitisho kwamba Dunia ina move,. Na mimi nikisema Jua lina move ndiyo maana tunapata usiku na mchana,. still itaeleweka vizuri tu.

Huu pia sio uthibitisho,.. ukitaka ujue kwamba Dunia ipo stationary kuna nchi hazijawahi ku experience msimu wa winter mpaka kuanguka kwa barafu mfano Tanzania,....

Sio uthibitisho,. its just a perspective.


Sio uthibitisho,.. Meli zina move horizontally over the ocean without bending toward the curvature.
Nimekuomba unambie katika Nadharia yako ya Dunia flat Jua linazunguka vp? Upo kimya🤣🤣🤣🤣
 
🤣🤣🤣Sababu za kuwa katuni?
Ni computer generated images,..na sio real pictures


Siku hizi kuna teknolojia ya drones,.. kwanini isichukuliwe drone moja izunguke tufe zima tumalize utata?.........au kwa ukubwa wa Dunia hakuna Drone itakayoweza kufanya hivyo?

Kama haiwezekani kupata ushahidi basi usilaumu watu wanaoendelea kuhoji,..sio kwamba hawana akili ni kwasababu hawajapata uthibitisho wa kuridhisha,.
 
PERSPECTIVE
Katika matumizi ya kawaida Perspective Refers to a point of VIEW or a way of looking things.

Basic Rules of Perspective
•Perspective is how three-dimensional scenes are represented on a two-dimension surface and seen by the human eye.

•Closer objects appear larger than more distant objects.

•Parallel lines appear to converge into the distance


View attachment 3191453


Mfano picha hapo juu👆, concept ya perspective ni kwamba vitu vinavyozodi kuwa mbali na tulipo vinazidi kupungua size until vinameet na Horizon.

Ukiangalia mfano hapo juu msitari wenye rangi nyekundu umeenda kumeet na horizon, lakini kamwe hautashuka chini ya ya horizon hiyo, kitakachotokea hiyo object itaendelea kudiminish untill itavanish.

View attachment 3191458
(Angalia hiyo mistari ya rangi nyekundu kwenye hizo Kona za ukuta, zote zinalingana lakini due to respective utaona line ya mbali fupi)
VIPI KUHUSU JUA?
Katika mazingira ya kawaida huwa tuna observe wakati Jua 'linazama'wakati wa jioni au 'kuchomoza' wakati wa asubuhi.
Je huwa tunaona Jua likiwa na size ndogo?
View attachment 3191461

Jibu ni hapana!!!! Tunaona Jua likichomoza likiwa na size Kubwa(Ile ile) kitu ambacho hakiendani na dhana nzima ya perspective kama FLAT EARTHERS wengi wanavyodai.

Tazama "Time Lapse" photo ikionesha sun setting. Flat Earth model inadai kwamba hii ni ILLUSION.
View attachment 3191467

Tazama picha ya pili hii👇, ikionesha taa za barabarani; unaonesha jinsi ILLUSION inasababishwa na PERSPECTIVE in the same way na unaona jinsi taa zinavyokaribia Horizon kadri zinavyoenda mbali zaidi.
View attachment 3191471
Hapa tunaona Kuna tatizo!!!!!😎🤔
Taa za barabarani tunaona zinapungua size kadri zinavyokuwa mbali na tulipo kama tu jinsi PERSPECTIVE inafanya kazi.

Kwa upande mwingne tunaona Jua halipungui size yake, linabaki vile vile popote liwapo kwenye anga.

So, If the sunset was caused by perspective the Sun would gradually appear smaller until it became too small to see at or near the horizon. Instead you can see that its size remains constant until it moves below the horizon bottom first.

HOPE YOU ALL UNDERSTAND!!!!!!!!!!!!!!

hateeb10 Chosen Rich Poor Brain
hateeb10 ndukiii🤣🤣
 
@
SHIP VISIBILITY
HiI observation mara nyingi tunaweza kuiona tunapoenda ufukweni mwa bahari.
Utaobserve Meli iki disappear from the bottom baadae inapotea yote.

FLAT EARTHERS CLAIMS!!
Kwa mujibu wa flat Earthers ni kwamba tunaona vile Kwa sababu ya ukomo wa tunavyoweza kuona. Kwa maana kwamba Kuna distance inafikia hatuwezi kuona tena.

Okay!!😎
Just observe this👇
, View attachment 3191482
Hapo unaweza kuona Meli iliyokaribu unaonekana vizuri ukilinnganisha na meli iliyombali.

Kimsingi meli iliyombali inainekana only at the top side, na sio bottom side. Ukirejea maelezo ya Flat earth kuwa ni ukomo wa macho kuona, Sasa kwanini meli yote isipotee kutokana na ukomo wa macho badala yake inaonekana juu tu?????????

hateeb10 Chosen Rich Poor Brain
hateeb10 Ndukiii
 
GREAT CIRCLE ROUTES
Is the shortest course between two points on the surface of a sphere.
Yaani hii ni route fupi zaidi kwenye uso wa tufe.
View attachment 3191494

Kwa mfano angalia picha chini👇, route kutoka Madrid mpaka New York.
View attachment 3191497
Utaona Kwa kawaida kwenye map route fupi itakuwa ni ya msitari mnyoofu, lkn kiuhalisia hiyo line nyingine iliyocurve ndio route fupi zaidi. Why? Kwenye sphere hiyo ndio route fupi zaidi lkn kwenye flat surface,(map) huonekana kama ndefu.

View attachment 3191499
👆👆 Hii juu ni route fupi zaidi inayotumiwa na ndege kuliko hii👇👇
View attachment 3191500



View attachment 3191501
Hii piaa👆👆 na sio hii👇👇
View attachment 3191502
hateeb10 Rudi hapa
 
Ni computer generated images,..na sio real pictures
Thibitisha usemacho
Siku hizi kuna teknolojia ya drones,.. kwanini isichukuliwe drone moja izunguke tufe zima tumalize utata?....
Chukua hata ww
.....au kwa ukubwa wa Dunia hakuna Drone itakayoweza kufanya hivyo?
Chukua ww uzungushe
Kama haiwezekani kupata ushahidi basi usilaumu watu wanaoendelea kuhoji,..sio kwamba hawana akili ni kwasababu hawajapata uthibitisho wa kuridhisha,.
Nani kakwambia haiwezekani??🤣🤣
 
hateeb10 Rudi hapa hakuna kukimbia
sasa hiyo hoja si tulishamaliza kitambo sana?.....Density na Weight! kitu kinaweza kikawa na weight kubwa kuliko kingine ila density ikafanya chenye uzito mkubwa kielee na chenye uzito mdogo kizame kulingana na msongamano pamoja na volume ya chembechembe kwenye object husika......

still huoni gravity ikihusika,..labda ulazimishe
 
sasa hiyo hoja si tulishamaliza kitambo sana?.....Density na Weight! kitu kinaweza kikawa na weight kubwa kuliko kingine ila density ikafanya chenye uzito mkubwa kielee na chenye uzito mdogo kizame kulingana na msongamano pamoja na volume ya chembechembe kwenye object husika......

still huoni gravity ikihusika,..labda ulazimishe
Hujajibu swali
 
Nithibitishe nini wakati siioni iki move, nasema hai move kwasababu siioni ikifanya hivyo?

Wewe unaesema Ina move ndiyo unatakiwa uthibitishe,..au akili yako ni ndogo kuelewa mambo?
Huwa unachekesha sana haha

Swali lako tumekujibu mara nyingi sana uelekezwe mara ngapi sasa uelewe ?

Huwezi kufeel speed kwasababu inamove at constant speed

Huwa natoa mfano wa hata ndege, Ulishawahi kujiuliza ni kwanini haufeel speed yake ukiwa angani na unatembea na kufanya chochote bila shida ? Umewahi kujiuliza hili swali ?
 
Natamani nikueleweshe kuhusu hiyo great circle route na jinsi hata wewe unavyoweza ku apply kwenye maisha yako ya kila siku,..ila naona itachukua muda sana,.....

Lakini kwa ufupi kabisa,.unatakiwa uelewe kwamba kwenye Dunia ambayo haina obstacle yoyote ya wewe kwenda either East/west kuelekea destination fulani basi unaweza kuchagua kutumia route yoyote itakayofanya ufike destination husika kwa haraka na nafuu zaidi,..

Na hicho ni kitu ambacho hata wewe kwenye safari zako za kawaida unaweza kufanya,..
 
Back
Top Bottom