Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Siku hizi kuna teknolojia ya drones,.. kwanini isichukuliwe drone moja izunguke tufe zima tumalize utata?.........au kwa ukubwa wa Dunia hakuna Drone itakayoweza kufanya hivyo?
Acha kutuona vilaza kama ulivyo kilaza wewe,

Mimi naona kwa makusudi umeamua uwe mpumbavu

Unauliza swala la drones wakati tumekutumia video kibao hata za Starship ya bwana Elon musk ambayo ilionyesha clear umbo la Dunia na ulikataa,

Nmewahi kukutumia video za rocket ya China ambayo ilichukua picha clear kabisa ya Dunia yetu bado ukaleta ujinga wako hapa, Sasa hizo Drone unazosema wewe kwanini usitumie wewe unasubiri watu unaowapinga ndio wakuonyeshe
 
Yani wewe unaleta haya madai alafu unaniuliza mimi swali kama nmewahi kuziona,

Okay, Nipe sababu kwanini unakataa uthibitisho nlioelezea hapo juu ?
Mimi ndiyo nimekuambia kuna sehemu ukienda utakutana na kingo za Dunia.?
 
Acha kutuona vilaza kama ulivyo kilaza wewe,

Mimi naona kwa makusudi umeamua uwe mpumbavu

Unauliza swala la drones wakati tumekutumia video kibao hata za Starship ya bwana Elon musk ambayo ilionyesha clear umbo la Dunia na ulikataa,

Nmewahi kukutumia video za rocket ya China ambayo ilichukua picha clear kabisa ya Dunia yetu bado ukaleta ujinga wako hapa, Sasa hizo Drone unazosema wewe kwanini usitumie wewe unasubiri watu unaowapinga ndio wakuonyeshe
hakuna hiyo video iliyoonyesha clear kwamba Dunia ni tufe na inazunguka... kama ipo si uiweke sasa hivi umalize utata?
 
Unakuta mtu unaambiwa kwamba Temperature kwenye Mars ni -65 ila picha unazoonyeshwa toka Mars zinaonyesha Jangwa,... ila kwa kuwa unaona kufikiria zaidi ni ujinga na ukilaza wewe unaamini tu hutaki kujiuliza chochote,..

Sisemi moja kwa moja kwamba picha ni za uongo,..ninachosema ni kwamba kuna vitu unahitaji ufikirie na ujiulize maswali hata kama zimetoka kwenye chanzo ambacho watu wengi wanakiamini,..

Chosen Rich The celebrity
 
Natamani nikueleweshe kuhusu hiyo great circle route na jinsi hata wewe unavyoweza ku apply kwenye maisha yako ya kila siku,..ila naona itachukua muda sana,.....
Hujui chochote
Lakini kwa ufupi kabisa,.unatakiwa uelewe kwamba kwenye Dunia ambayo haina obstacle yoyote ya wewe kwenda either East/west kuelekea destination fulani basi unaweza kuchagua kutumia route yoyote itakayofanya ufike destination husika kwa haraka na nafuu zaidi,..
Unazidi kuthibitisha kuwa hujui Great circle na Geometric kiujumla Bora ukae kimya.
Na hicho ni kitu ambacho hata wewe kwenye safari zako za kawaida unaweza kufanya,..
Hujui Geometry kaa kimya ww🤣🤣
 
Unakuta mtu unaambiwa kwamba Temperature kwenye Mars ni -65 ila picha unazoonyeshwa toka Mars zinaonyesha Jangwa,... ila kwa kuwa unaona kufikiria zaidi ni ujinga na ukilaza wewe unaamini tu hutaki kujiuliza chochote,..

Sisemi moja kwa moja kwamba picha ni za uongo,..ninachosema ni kwamba kuna vitu unahitaji ufikirie na ujiulize maswali hata kama zimetoka kwenye chanzo ambacho watu wengi wanakiamini,..

Chosen Rich The celebrity
Muda wa KUANDIKA huu upuuzi unaupata ila kujibu hoja zangu za awali huna🤣🤣. Umeisha
 
hateeb10
😃😃😃 Hujui Geometry, hujui maana ya Great Circle, ukishaongelea tu Great circle maana yake unaongelea tufe,
 
Unakuta mtu unaambiwa kwamba Temperature kwenye Mars ni -65 ila picha unazoonyeshwa toka Mars zinaonyesha Jangwa,... ila kwa kuwa unaona kufikiria zaidi ni ujinga na ukilaza wewe unaamini tu hutaki kujiuliza chochote,..
Unaona sasa ulivyo mpuuzi??? Jangwa linahusiana vipi na temperature hiyo? Mfano kijiografia kati ya Dodoma na Dar mji upi unaonekana unaujangwa? Jibu ni Dodoma lakin je Dodoma Kuna joto kama Dar? Jibu ni hakuna, Dodoma Kuna baridi.
Sisemi moja kwa moja kwamba picha ni za uongo,..ninachosema ni kwamba kuna vitu unahitaji ufikirie na ujiulize maswali hata kama zimetoka kwenye chanzo ambacho watu wengi wanakiamini,..
Kama husemi sio za uongo kwann unazikataa?? Kuzikataa ndio kufikria?? Sasa ww umefikria nn kwenye hizo picha?
 
Unakuta mtu unaambiwa kwamba Temperature kwenye Mars ni -65 ila picha unazoonyeshwa toka Mars zinaonyesha Jangwa,... ila kwa kuwa unaona kufikiria zaidi ni ujinga na ukilaza wewe unaamini tu hutaki kujiuliza chochote,..
Unaona sasa ulivyo mpuuzi??? Jangwa linahusiana vipi na temperature hiyo? Mfano kijiografia kati ya Dodoma na Dar mji upi unaonekana unaujangwa? Jibu ni Dodoma lakin je Dodoma Kuna joto kama Dar? Jibu ni hakuna, Dodoma Kuna baridi.
Sisemi moja kwa moja kwamba picha ni za uongo,..ninachosema ni kwamba kuna vitu unahitaji ufikirie na ujiulize maswali hata kama zimetoka kwenye chanzo ambacho watu wengi wanakiamini,..
Kama husemi sio za uongo kwann unazikataa?? Kuzikataa ndio kufikria?? Sasa ww umefikria nn kwenye hizo picha
 
hateeb10
Swali nililouliza ni Kwa vipi route hii👇👇
main-qimg-28e87700e5f89083bad026cf0a8d59c0-lq.jpeg


Iwe fupi kuliko route hii👇👇
main-qimg-ac0d22dae2048ef8c2da44f7bc2d27f8-lq.jpeg

Majibu unayotoa sijui unajua unaweza kupita njia yoyote, 😃😃 kwhy huo ndio uelewa wako kuhusu Great Circle??? Hujui chochote kile, Bora ukae kimya tu ukomee kusema Dunia ni flat kama uwezo wa macho yako unapoishia na sio kuongelea vitu hata hujui utajinyea Bure.
 
Unaona sasa ulivyo mpuuzi??? Jangwa linahusiana vipi na temperature hiyo? Mfano kijiografia kati ya Dodoma na Dar mji upi unaonekana unaujangwa? Jibu ni Dodoma lakin je Dodoma Kuna joto kama Dar? Jibu ni hakuna, Dodoma Kuna baridi.

Kama husemi sio za uongo kwann unazikataa?? Kuzikataa ndio kufikria?? Sasa ww umefikria nn kwenye hizo picha?
Unaona sasa ulivyokua mvivu wa kufikiria,.... wewe kwa akili yako Dodoma ingekua na Temperature ya -65 unafikiria ingekuwa hivyo unavyoiona, au ingekua barafu chungu nzima extremely cold &frozen?

Watu wangeweza hata kuishi? Fungua akili hiyo
 
Muda wa KUANDIKA huu upuuzi unaupata ila kujibu hoja zangu za awali huna🤣🤣. Umeisha
Muda wa kuandika upuuzi unapata,..ila muda wa kuthibitisha gravity huna?

Utamtafsiri vipi mtu anaesema gravity inavuta vitu,. then hapo hapo anasema "Tokea nizaliwe sijawahi kuhisi navutwa na gravity......."

Mimi nadhani hoja ya gravity tulishaimaliza.
 
hateeb10
Swali nililouliza ni Kwa vipi route hii👇👇
View attachment 3194213

Iwe fupi kuliko route hii👇👇
View attachment 3194215
Majibu unayotoa sijui unajua unaweza kupita njia yoyote, 😃😃 kwhy huo ndio uelewa wako kuhusu Great Circle??? Hujui chochote kile, Bora ukae kimya tu ukomee kusema Dunia ni flat kama uwezo wa macho yako unapoishia na sio kuongelea vitu hata hujui utajinyea Bure.
Nadhani ungetumia ramani ya Dunia tufe ungeeleweka,,.kuliko hiyo illustration inayoonyesha flat earth,...........

NB: Nikikujibu maneno ya hovyo tutaonekana wote hatujitambui..., so ngoja nikutangaze mshindi kwenye hilo.
 
Basi tuambie mwisho wa Dunia tambarare ni wapi ?

Ukishindwa kutuonyesha maana yake unakubaliana kuwa Dunia ni tufe
Mwisho wa Dunia tambarare haujulikani,. hata mwisho wa Dunia tufe pia haujulikani.

Ningekubali kwamba Dunia ni tufe ila mpaka leo sijawahi kuona exactly point/location ambayo Dunia inaanza ku curve.
 
Ebu kiri wazi Hakuna clip zozote nlizowahi kukutumia hapa last year ?
Yes ulituma clips,...lakini clip zako zinaacha maswali zaidi,......kwa mfano unaamini Dunia ina move lakini video ulizotuma hazionyeshi hivyo sasa huoni kwamba clips zako zinaji contradict?
 
Unaona sasa ulivyokua mvivu wa kufikiria,.... wewe kwa akili yako Dodoma ingekua na Temperature ya -65 unafikiria ingekuwa hivyo unavyoiona, au ingekua barafu chungu nzima extremely cold &frozen?

Watu wangeweza hata kuishi? Fungua akili hiyo
Kati ya Mimi naww nani Hana akili? Mars inakiwango kidogo sanaaaa, Cha maji(liquid water), sasa unataka iwe kama frozen Kwa sababu zipi?
 
Nadhani ungetumia ramani ya Dunia tufe ungeeleweka,,.kuliko hiyo illustration inayoonyesha flat earth,...........
Hahahaaa!! Ramani lazima iwe kwenye flat surface
NB: Nikikujibu maneno ya hovyo tutaonekana wote hatujitambui..., so ngoja nikutangaze mshindi kwenye hilo.
Kwann unijibu maneno ya hovyoo!! Umeishiwa hoja au?, Mimi sishindi ila ukweli unashinda
 
Back
Top Bottom