hateeb10
JF-Expert Member
- Dec 8, 2022
- 2,920
- 1,223
Kwasababu Baba mwingine sio Baba yangu,.Kwann baba mwingine sio baba yako?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwasababu Baba mwingine sio Baba yangu,.Kwann baba mwingine sio baba yako?
Wewe kushindwa kujua kuhusu kitu ndiyo ujinga,
Ila utakuwa umeuliza swali la kijinga, utaona jinsi Gani ni ujinga endelea kujibu hayo maswali😎..ila kujiuliza swali kuhusu kitu husika haiwezi kuwa ujinga.
Ni ujinga kuuliza swali lisilo na mantiki, Wala muafaka. The questions goes to infinity, so itatatua nini?? Swali lisipikuwa na hatima maana yake hata majibu yote uliyojibu awali yatakuwa hayana maana yoyote!!Pia wewe kushindwa kujua muafaka wa kitu/jambo fulani haimaanishi kwamba muafaka wa hicho kitu haupo,..bali ni kwamba wewe hujui tu kuhusu muafaka wa kitu/jambo husika...
sio kwamba swali halina hatima bali hujui hatma yake,... usiseme swali halina hatima,.Ila utakuwa umeuliza swali la kijinga, utaona jinsi Gani ni ujinga endelea kujibu hayo maswali😎
Ni ujinga kuuliza swali lisilo na mantiki, Wala muafaka. The questions goes to infinity, so itatatua nini?? Swali lisipikuwa na hatima maana yake hata majibu yote uliyojibu awali yatakuwa hayana maana yoyote!!
Subiri kwanza😃😃😃, ulisema sijakujibu na wakat nilikujibu na ukaona kabisa majibu😃😃. Nadhani umegundua ww ni mtu wa namna Gani mpk Sasa!!!Sasa ulichokijibu unaona kinaingia akilini?
😎Kwa mfano hii statement yako "Kitu kilichofungwa kwenye kamba na kuzungushwa. Jiwe linavutwa kuelekea katikati.........."
Kwani mfano wangu hujaelewa nn??Hoja husika ni kwamba ukivutwa lazima utahisi kuvutwa,...sasa ili statement yako iwe valid Hiyo sehemu ya "JIWE" assume ndiyo upo wewe je hautohisi kama unavutwa kuelekea katikati???????????
Siwez kujiingiza kwenye mitego, nipo hatua mbili mbele yakoUnapenda kweli kujiingiza kwenye mitego migumu.
Sasa kama hakuna infinity, endelea kujibu Hilo swali la baba ako na mbegu 😃😃😃sio kwamba swali halina hatima bali hujui hatma yake,... usiseme swali halina hatima,.
au sema sijui jibu sahihi la swali husika..sio kusema tu infinity? hakuna infinity it's just Hujui,. Basi!
Kwann baba mwingine sio baba ako?? Mbona hujibu???😃😃Kwasababu Baba mwingine sio Baba yangu,.
Lkn ntakujibu!! Hautohisi ukivutwa!!!Hoja husika ni kwamba ukivutwa lazima utahisi kuvutwa,...sasa ili statement yako iwe valid Hiyo sehemu ya "JIWE" assume ndiyo upo wewe je hautohisi kama unavutwa kuelekea katikati???????????
Tengua kauli!!!Hahh acha uongo hakuna mfano wa vitu ulivyoweka hapa...labda niwe sijaona vitu hivyo.
Fanya hivyo sasahvi tuondoe utata.
Yes nilisema hujajibu nilichokuuliza,...Subiri kwanza😃😃😃, ulisema sijakujibu na wakat nilikujibu na ukaona kabisa majibu😃😃. Nadhani umegundua ww ni mtu wa namna Gani mpk Sasa!!!
Kuliko kuchambua mifano yote si bora nichukue sample kwenye mifano yako nionyeshe jinsi ulivyoenda wrong turn,...? hata hiyo mifano mingine sio valid nimeamua tu kufanya mambo yasiwe mengi.Kwani mfano wangu hujaelewa nn??
Nimekupa mifano mitano naomba uichambue yote, kutafta mfano mmoja na kuukosoa unamaanisha mifano mingine ipo Right, si ndio? Kama ndivyo, basi hakuna haja ya kuendelea Kwa maana ntakuwa nimekupa jibu ulilotaka
Siwez kujiingiza kwenye mitego, nipo hatua mbili mbele yako
Ukiulizwa kuhusu A,.ukijibu BTengua kauli!!!
Kwanini hautohisi?Lkn ntakujibu!! Hautohisi ukivutwa!!!
Kwahy umeona jinsi akili yako ilivyo??Yes nilisema hujajibu nilichokuuliza,...
Mambo yasiwe mengi?? Kwenye hoja ya msingi??? Kitendo Cha kuchambua hoja Moja, inamaana hoja nyingne zina maana chanya, kwahy hakuna haja tena.Kuliko kuchambua mifano yote si bora nichukue sample kwenye mifano yako nionyeshe jinsi ulivyoenda wrong turn,...? hata hiyo mifano mingine sio valid nimeamua tu kufanya mambo yasiwe mengi.
Sample???? Yaani mifano zaidi ya miwili tofauti, unasema sample?? Unajua sample ww?Yes nilisema hujajibu nilichokuuliza,...
Kuliko kuchambua mifano yote si bora nichukue sample
kwenye mifano yako nionyeshe jinsi ulivyoenda wrong turn,...? hata hiyo mifano mingine sio valid nimeamua tu kufanya mambo yasiwe mengi.
Sijui unaongelea nn?? Wewe umesema hujajibiwa!! Tena ukaniita MUONGO😃😃, kwahy mfano uliuliza A ukajibiwa(kama ulivyosema) utakuwa hujajibiwa?? Na utasema huyo mtu ni muongo??Ukiulizwa kuhusu A,.ukijibu B
Utasema umejibu ulichoulizwa?
Unarudi kule kule kwenye maswali ya kijinga😃😃, Kwa sababu hakuna hisia hizoKwanini hautohisi?
Kwahiyo nikichambua na hiyo mifano mingine utakubali kwamba ulichojibu na ulichoulizwa ni vitu viwili tofauti?Sample???? Yaani mifano zaidi ya miwili tofauti, unasema sample?? Unajua sample ww?
Hapana!! Sitakubali Wala kukataa Moja Kwa moja. Bali Nitajibu!! Kama nilivyojibu kwenye huo mfano mmoja uliochambuaKwahiyo nikichambua na hiyo mifano mingine utakubali kwamba ulichojibu na ulichoulizwa ni vitu viwili tofauti?
Kabla sijaanza kuchambua yote,..
Hahh sio swali la kijinga,..umeona umejiweka kwenye mtego umeamua ujitoe na akili kabisa.Unarudi kule kule kwenye maswali ya kijinga😃😃, Kwa sababu hakuna hisia hizo
Nimekuuliza swali, kwann baba mwingine sio baba ako?? Naona hujajibu Kwa sabab ni maswali ya kijingaHahh sio swali la kijinga,..umeona umejiweka kwenye mtego umeamua ujitoe na akili kabisa.
In short ni kwamba,..kama your senses haziwezi kukuambia kwamba hapa unavutwa ama la,..basi una shida kubwa sana!