Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Hakuna uoga,..mjadala upo fair kabisa.

Ishu ya gravity,.tumemaliza.

Ishu ya kwamba video na picha za uthibitisho ulioweka wa Dunia tufe inayozunguka ni katuni,..pia tumeimaliza.
Sio hoja hizo!! Na hujazimaliza😃😃, ngoja nikukumbushe hoja zangu
 
PERSPECTIVE
Katika matumizi ya kawaida Perspective Refers to a point of VIEW or a way of looking things.

Basic Rules of Perspective
•Perspective is how three-dimensional scenes are represented on a two-dimension surface and seen by the human eye.

•Closer objects appear larger than more distant objects.

•Parallel lines appear to converge into the distance


View attachment 3191453


Mfano picha hapo juu👆, concept ya perspective ni kwamba vitu vinavyozodi kuwa mbali na tulipo vinazidi kupungua size until vinameet na Horizon.

Ukiangalia mfano hapo juu msitari wenye rangi nyekundu umeenda kumeet na horizon, lakini kamwe hautashuka chini ya ya horizon hiyo, kitakachotokea hiyo object itaendelea kudiminish untill itavanish.

View attachment 3191458
(Angalia hiyo mistari ya rangi nyekundu kwenye hizo Kona za ukuta, zote zinalingana lakini due to respective utaona line ya mbali fupi)
VIPI KUHUSU JUA?
Katika mazingira ya kawaida huwa tuna observe wakati Jua 'linazama'wakati wa jioni au 'kuchomoza' wakati wa asubuhi.
Je huwa tunaona Jua likiwa na size ndogo?
View attachment 3191461

Jibu ni hapana!!!! Tunaona Jua likichomoza likiwa na size Kubwa(Ile ile) kitu ambacho hakiendani na dhana nzima ya perspective kama FLAT EARTHERS wengi wanavyodai.

Tazama "Time Lapse" photo ikionesha sun setting. Flat Earth model inadai kwamba hii ni ILLUSION.
View attachment 3191467

Tazama picha ya pili hii👇, ikionesha taa za barabarani; unaonesha jinsi ILLUSION inasababishwa na PERSPECTIVE in the same way na unaona jinsi taa zinavyokaribia Horizon kadri zinavyoenda mbali zaidi.
View attachment 3191471
Hapa tunaona Kuna tatizo!!!!!😎🤔
Taa za barabarani tunaona zinapungua size kadri zinavyokuwa mbali na tulipo kama tu jinsi PERSPECTIVE inafanya kazi.

Kwa upande mwingne tunaona Jua halipungui size yake, linabaki vile vile popote liwapo kwenye anga.

So, If the sunset was caused by perspective the Sun would gradually appear smaller until it became too small to see at or near the horizon. Instead you can see that its size remains constant until it moves below the horizon bottom first.

HOPE YOU ALL UNDERSTAND!!!!!!!!!!!!!!

hateeb10 Chosen Rich Poor Brain
hateeb10 hoja nazoongelea ni hizi
 
SHIP VISIBILITY
HiI observation mara nyingi tunaweza kuiona tunapoenda ufukweni mwa bahari.
Utaobserve Meli iki disappear from the bottom baadae inapotea yote.

FLAT EARTHERS CLAIMS!!
Kwa mujibu wa flat Earthers ni kwamba tunaona vile Kwa sababu ya ukomo wa tunavyoweza kuona. Kwa maana kwamba Kuna distance inafikia hatuwezi kuona tena.

Okay!!😎
Just observe this👇
, View attachment 3191482
Hapo unaweza kuona Meli iliyokaribu unaonekana vizuri ukilinnganisha na meli iliyombali.

Kimsingi meli iliyombali inainekana only at the top side, na sio bottom side. Ukirejea maelezo ya Flat earth kuwa ni ukomo wa macho kuona, Sasa kwanini meli yote isipotee kutokana na ukomo wa macho badala yake inaonekana juu tu?????????

hateeb10 Chosen Rich Poor Brain
hateeb10 hiziii
 
GREAT CIRCLE ROUTES
Is the shortest course between two points on the surface of a sphere.
Yaani hii ni route fupi zaidi kwenye uso wa tufe.
View attachment 3191494

Kwa mfano angalia picha chini👇, route kutoka Madrid mpaka New York.
View attachment 3191497
Utaona Kwa kawaida kwenye map route fupi itakuwa ni ya msitari mnyoofu, lkn kiuhalisia hiyo line nyingine iliyocurve ndio route fupi zaidi. Why? Kwenye sphere hiyo ndio route fupi zaidi lkn kwenye flat surface,(map) huonekana kama ndefu.

View attachment 3191499
👆👆 Hii juu ni route fupi zaidi inayotumiwa na ndege kuliko hii👇👇
View attachment 3191500



View attachment 3191501
Hii piaa👆👆 na sio hii👇👇
View attachment 3191502
hateeb10 hiziii
 
PERSPECTIVE
Katika matumizi ya kawaida Perspective Refers to a point of VIEW or a way of looking things.

Basic Rules of Perspective
•Perspective is how three-dimensional scenes are represented on a two-dimension surface and seen by the human eye.

•Closer objects appear larger than more distant objects.

•Parallel lines appear to converge into the distance


View attachment 3191453


Mfano picha hapo juu👆, concept ya perspective ni kwamba vitu vinavyozodi kuwa mbali na tulipo vinazidi kupungua size until vinameet na Horizon.

Ukiangalia mfano hapo juu msitari wenye rangi nyekundu umeenda kumeet na horizon, lakini kamwe hautashuka chini ya ya horizon hiyo, kitakachotokea hiyo object itaendelea kudiminish untill itavanish.

View attachment 3191458
(Angalia hiyo mistari ya rangi nyekundu kwenye hizo Kona za ukuta, zote zinalingana lakini due to respective utaona line ya mbali fupi)
VIPI KUHUSU JUA?
Katika mazingira ya kawaida huwa tuna observe wakati Jua 'linazama'wakati wa jioni au 'kuchomoza' wakati wa asubuhi.
Je huwa tunaona Jua likiwa na size ndogo?
View attachment 3191461

Jibu ni hapana!!!! Tunaona Jua likichomoza likiwa na size Kubwa(Ile ile) kitu ambacho hakiendani na dhana nzima ya perspective kama FLAT EARTHERS wengi wanavyodai.

Tazama "Time Lapse" photo ikionesha sun setting. Flat Earth model inadai kwamba hii ni ILLUSION.
View attachment 3191467

Tazama picha ya pili hii👇, ikionesha taa za barabarani; unaonesha jinsi ILLUSION inasababishwa na PERSPECTIVE in the same way na unaona jinsi taa zinavyokaribia Horizon kadri zinavyoenda mbali zaidi.
View attachment 3191471
Hapa tunaona Kuna tatizo!!!!!😎🤔
Taa za barabarani tunaona zinapungua size kadri zinavyokuwa mbali na tulipo kama tu jinsi PERSPECTIVE inafanya kazi.

Kwa upande mwingne tunaona Jua halipungui size yake, linabaki vile vile popote liwapo kwenye anga.

So, If the sunset was caused by perspective the Sun would gradually appear smaller until it became too small to see at or near the horizon. Instead you can see that its size remains constant until it moves below the horizon bottom first.

HOPE YOU ALL UNDERSTAND!!!!!!!!!!!!!!

hateeb10 Chosen Rich Poor Brain
Ngoja nimalizie na hoja hii,.... kwanza kabisa kwenye maelezo yako kuna sehemu umeamua kutuongopea, tazama maelezo yako hapa 👉 "Kwa upande mwingne tunaona Jua halipungui size yake, linabaki vile vile popote liwapo kwenye anga."........
Hapo tayari hoja yako imepoteza credibility na unatupa kazi ya kukufundisha kwamba even though actually size ya Jua haibadiliki,..lakini sisi tunavyoliangalia kuna muda tunaliona kubwa/dogo kutokana na optical illusions........ pitia kidogo hapa
Horizon Illusion (Appears Larger): When the Sun is near the horizon during sunrise or sunset, it often appears larger than when it is high in the sky. This is a psychological effect known as the "Moon Illusion," which applies to the Sun as well. The Sun looks larger because our brain compares it to objects on the horizon, such as trees or buildings.
Zenith Illusion (Appears Smaller): When the Sun is directly overhead (at the zenith), it appears smaller. This is because there's no reference point in the sky to compare its size against.
2. Atmospheric Refraction:
Near the Horizon (Appears Larger): This occurs due to bends of light from the Sun near the horizon,


Kwahiyo unaposema Size ya Jua hatuoni ikipungua/kuongezeka sio kweli,....

Sasa baada ya kujifunza, jiulize Kama tunaona Jua likiwa kwenye size tofauti, Je ni kweli actual size ya Jua huwa inabadilika au its just a perspective illusion? ukipata majibu rudi hapa.
 
GREAT CIRCLE ROUTES
Is the shortest course between two points on the surface of a sphere.
Yaani hii ni route fupi zaidi kwenye uso wa tufe.
View attachment 3191494

Kwenye ishu ya Great circle route, flat earth map ndiyo inatumika,...sasa unapoweka picha ya Dunia tufe unapoteza maana,.


Lete ramani inayotumiwa na pilots ili tujue jinsi great circle route inavyokuwa applied kwenye uhalisia.
 
Ngoja nimalizie na hoja hii,.... kwanza kabisa kwenye maelezo yako kuna sehemu umeamua kutuongopea, tazama maelezo yako hapa 👉 "Kwa upande mwingne tunaona Jua halipungui size yake, linabaki vile vile popote liwapo kwenye anga."........
Hapo tayari hoja yako imepoteza credibility na unatupa kazi ya kukufundisha kwamba even though actually size ya Jua haibadiliki,..lakini sisi tunavyoliangalia kuna muda tunaliona kubwa/dogo kutokana na optical illusions........ pitia kidogo hapa
Horizon Illusion (Appears Larger): When the Sun is near the horizon during sunrise or sunset, it often appears larger than when it is high in the sky. This is a psychological effect known as the "Moon Illusion," which applies to the Sun as well. The Sun looks larger because our brain compares it to objects on the horizon, such as trees or buildings.
Zenith Illusion (Appears Smaller): When the Sun is directly overhead (at the zenith), it appears smaller. This is because there's no reference point in the sky to compare its size against.
2. Atmospheric Refraction:
Near the Horizon (Appears Larger): This occurs due to bends of light from the Sun near the horizon,


Kwahiyo unaposema Size ya Jua hatuoni ikipungua/kuongezeka sio kweli,....

Sasa baada ya kujifunza, jiulize Kama tunaona Jua likiwa kwenye size tofauti, Je ni kweli actual size ya Jua huwa inabadilika au its just a perspective illusion? ukipata majibu rudi hapa.
Asante Kwa kunirekebisha!! Point yangu ilikuwa halipungui kama perspective iilivyo, unaweza kuendelea!!
 
Kwenye ishu ya Great circle route, flat earth map ndiyo inatumika,...sasa unapoweka picha ya Dunia tufe unapoteza maana,.


Lete ramani inayotumiwa na pilots ili tujue jinsi great circle route inavyokuwa applied kwenye uhalisia.
Nahisi hujui maana ya great circle, au nimekosea?? Maana unavyoelezea inainesha wazi kabisa hujui..
 
Umesema zipo nyingi 😃😃 maana yake unazijua, naomba Moja kati ya hizo nyingi
Mimi najua possible reasons tu,.so nitakujibu kwa assumptions.

Ila ukimuuliza muhusika atakujibu sababu 1 au 2 ya uhakika,....kama wewe una akili timamu unadhani ni mtu gani sahihi kumuuliza hapo?
 
Kwenye ishu ya Great circle route, flat earth map ndiyo inatumika,...sasa unapoweka picha ya Dunia tufe unapoteza maana,.
Point yangu Kubwa ni kuwa kwenye ramani(ambayo ni lazima iwe flat) huwa tunaitumia hii route na ni fupi, lkn ukiangalia kwenye hiyo ramani inaonekana ni ndefu kuliko Ile nyingine ambayo ipo direct, na jibu ni kwamba Kwa sabab Dunia ni duara, hiyo ramani ukiirudisha kwenye uduara wake itakupa picha halisi kwann ni route fupi
Lete ramani inayotumiwa na pilots ili tujue jinsi great circle route inavyokuwa applied kwenye uhalisia.
 
Asante Kwa kunirekebisha!! Point yangu ilikuwa halipungui kama perspective iilivyo, unaweza kuendelea!!
Nishamaliza,....mwisho nilisema kwamba "Sasa baada ya kujifunza, jiulize Kama tunaona Jua likiwa kwenye size tofauti, Je ni kweli actual size ya Jua huwa inabadilika au its just a perspective illusion? ukipata majibu rudi hapa........"

Umepata majibu gani? maana nilisema ukishapata majibu ndiyo tuendelee.
 
Mimi najua possible reasons tu,.so nitakujibu kwa assumptions.

Ila ukimuuliza muhusika atakujibu sababu 1 au 2 ya uhakika,....kama wewe una akili timamu unadhani ni mtu gani sahihi kumuuliza hapo?
1. Nipe hizo possible reasons
2. Kwann nimuulize muhusika?
 
Nishamaliza,....mwisho nilisema kwamba "Sasa baada ya kujifunza, jiulize Kama tunaona Jua likiwa kwenye size tofauti, Je ni kweli actual size ya Jua huwa inabadilika au its just a perspective illusion? ukipata majibu rudi hapa........"
Unaniuliza tena mm??😃😃😃
Umepata majibu gani? maana nilisema ukishapata majibu ndiyo tuendelee.
Hilo swali ni lako nimekuuliza wewe, wewe ndio ulisema Jua halizami ila ni perspective na rules za perspective ni pamoja na kupungua Kwa size mpk kitu linapotea, nikakuuliza je Jua huwa linapungua size mpk linabaki size ndogo hadi kupotea??
 
Back
Top Bottom