Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
SHIP VISIBILITY
HiI observation mara nyingi tunaweza kuiona tunapoenda ufukweni mwa bahari.
Utaobserve Meli iki disappear from the bottom baadae inapotea yote.

FLAT EARTHERS CLAIMS!!
Kwa mujibu wa flat Earthers ni kwamba tunaona vile Kwa sababu ya ukomo wa tunavyoweza kuona. Kwa maana kwamba Kuna distance inafikia hatuwezi kuona tena.

Okay!!😎
Just observe this👇
, View attachment 3191482
Hapo unaweza kuona Meli iliyokaribu unaonekana vizuri ukilinnganisha na meli iliyombali.

Kimsingi meli iliyombali inainekana only at the top side, na sio bottom side. Ukirejea maelezo ya Flat earth kuwa ni ukomo wa macho kuona, Sasa kwanini meli yote isipotee kutokana na ukomo wa macho badala yake inaonekana juu tu?????????

hateeb10 Chosen Rich Poor Brain
hateeb10 still nipo naww mpk utoe majibu
 
So, If the sunset was caused by perspective the Sun would gradually appear smaller until it became too small to see at or near the horizon. Instead you can see that its size remains constant until it moves below the horizon bottom first.
hateeb10
Swali ambalo unashindwa kulijibu, unabaki unarukaruka tu.
 
MZUNGUKO WA JUA(ACCORDING TO FLAT EARTH): DEBUNK.....

View attachment 3191642

Tazama picha hapo juu👆👆, ukiangalia point iliyopo north pole(katikati kabisa) na ukiangalia orbit ya Jua (ambayo ni circular) utagundua umbali kutoka kwenye hiyo point(north pole) mpk kwenye point yoyote kwenye hiyo orbit ya Jua ni the same (RADIUS).

Sasa hoja yangu ni kwamba;

1. Kama Jua linafika kwenye hiyo point inamaanisha hakuna muda itafika kutakuwa Giza Kwa sababu Jua popote litakapokuwa kwenye orbit yake Bado umbali(RADIUS) itabaki kuwa Ile ile na angle of strike itakuwa Ile ile. So siku zote kutakuwa mchana kwenye point/eneo Hilo kitu ambacho katika uhalisia hakipo hivyo.

2. Kama Jua halifiki kwenye hiyo point inamaanisha hakuna muda kutakuwa na mwanga kwenye hiyo point, yaani siku zote kutakuwa na Giza tu, kitu ambacho katika uhalisia hakipo hivyo.

LAKINI PIA TAZAMA VIDEO HII👇👇

View attachment 3191653

Ukiangalia model juu hapo, utaona Jua na mwezi vinamove in opposite side muda wote yaan jus likiwa upande huu basi Mwezi utakuwa exactly the opposite side.

Kwa maana hiyo there is no possibility Jua na mwezi kuwa observable at the same time.

Sasa ndugu zangu, naamini wote tunakubaliana hili haliendani na uhalisia, bonafsi nimeshuhudia mara kadhaa Jua na mwezi Kwa pamoja wakati wa mchana.

View attachment 3191669

View attachment 3191673

hateeb10
hateeb10 hapa ulikimbia🤣🤣🤣
 
Wewe una uhakika gani kwamba kwenye flattened earth Jua linazunguka kama hiyo model uliyoweka hapo?.........Akitokea flat earther yoyote akisema Jua linazunguka kwa mtindo 1,2,3....utamuamini? na utasema huu ndiyo msimamo wa watu wote wanaosema Dunia ni flat?

Kimsingi hiyo model ni nadharia tu just an imagination na haimaanishi kwamba 100% Jua linazunguka hivyo,.
Nilikuuliza according to wewe, Jua linazungukaje? Mbioooo🎶 by Alikiba🤣🤣
 
Umeamua kupuuza role ya density?

weight na density kwa pamoja vina determine scenarios husika.,...gravity is nowhere to be seen.
Nilikuuliza simply tu, kati ya shilling na maji kipi kinauzito mkubwa?? Ndukiii!!!🤣

NB: ww unadai chenye uzito mkubwa kitashuka chini na chenye uzito mdogo kitakuwa juu.

Kwa maana hiyo shilling ilipaswa ielee.
 
Lakini kwa ufupi kabisa,.unatakiwa uelewe kwamba kwenye Dunia ambayo haina obstacle yoyote ya wewe kwenda either East/west kuelekea destination fulani basi unaweza kuchagua kutumia route yoyote itakayofanya ufike destination husika kwa haraka na nafuu zaidi,.
Ona sasa unavyoelezea great circle 🤣🤣 Bora ungekaa kimya
 
Kwann taarifa za mtoto husika zimebebwa na huyo baba na sio baba Mwingine?? Kwann yeye? Ni factor Gani imeamua hivyo?



😃😃 Umeanza kuona kuwa ni maswali ya kijinga Sasa eeh??

Kwann yeye ajue na sio ww??
Sifahamu,.
 
Hujajibu swali, je Jua huwa linapungua size kama perspective laws zinavyotaka??
Perspective laws? hakuna hizo laws
Kwani kitu kikienda mbali hakipungui size?? Au unajitoa akili??

Unaongelea vitu vingine bila kujua, nimekuuliza kama Jua huwa linapotea Kwa sabab linaenda mbali kwann halionekani likipungua size?? Au ww huwa unaona linapungua size
Usijiwekee limit ya size tu,..Kwani kitu kikienda mbali mwanga haupungui? kitu kikiwa karibu mwanga hauongezeki?.........Jua likiwa karib Mwanga wake sehemu husika unakuwa mkubwa na kadri linavyoenda mbali mwanga wake unapungua na lenyewe linapotea na giza (usiku) unaanzia hapo!
 
Ona ujinga wako Sasa🤣🤣🤣 kwahy Dunia ikiwa sphere, na raman yake itakuwa sphere???
Wewe ndiyo unaonyesha ujinga wako,.... unasema great circle route kisha unaonyesha kwamba ina apply tu kwenye Dunia tufe,...wakati kiuhalisia ramani inayotumika kujua routes zote ni flat....that means sio kwamba great circle route haiwezekaniki kwenye dunia tambarare.

Ndege unaziona zina move horizontally kwenda sehemu mbalimbali za Dunia lakini hujiongezi kabisa,....
 
😃😃 Wewe unaamini kwenye kipi?
Mimi naamini Creation, kwamba chochote unachokiona kipo hivyo from the scratch na sio kwamba kilitokana na kiumbe kingine cha tofauti ,... Mimi nikisema Binadamu wame evolve toka kwenye viumbe jamii ya Chura,..si unaona kabisa haiingii akilini?


waswahili wanasema..." Ukiona vyaelea vimeundwa.."
 
Perspective laws? hakuna hizo laws
Kwahy unakataa uhalisia?? Kwamba kitu kikienda mbali halionekani kidg??
Usijiwekee limit ya size tu,..Kwani kitu kikienda mbali mwanga haupungui?
Mimi nimetumia size kwenye swali langu na hakuna shida, kwahy jibu swali
kitu kikiwa karibu mwanga hauongezeki?.....
Jibu swali langu naongelea size, size ikipungua automatically hata mwanga utakuwa mdogo
....Jua likiwa karib Mwanga wake sehemu husika unakuwa mkubwa na kadri linavyoenda mbali mwanga wake unapungua na lenyewe linapotea na giza (usiku) unaanzia hapo!
Jibu kuhusu size🤣🤣🤣🤣
 
Wewe ndiyo unaonyesha ujinga wako,....
😎😎😎😎
unasema great circle route kisha unaonyesha kwamba ina apply tu kwenye Dunia tufe,.
Exactly, ukiongelea great circle tu hapo tayari unaongelea sphere😃. Ndo maana nikasema hujui Geometry na hujawah kusoma au kujifunza chochote kuhusu Great circle
..wakati kiuhalisia ramani inayotumika kujua routes zote ni flat....that means sio kwamba great circle route haiwezekaniki kwenye dunia tambarare.
Nilikuuliza swali hukujibu, nakuuliza tena
Angalia picha chini👇, hiyo line yenye rangi nyekundu ndio great circle na yellow ni direct route(Rhumb line).

Sasa ukiangalia hapo ipi ni route fupi na ipi ni ndefu?
download (5).jpeg

Ndege unaziona zina move horizontally kwenda sehemu mbalimbali za Dunia lakini hujiongezi kabisa,....
Unakichwa kigumu sana, kwahy ww uli expect uone ndege zina move aje ndo ujue Dunia ni duara??
 
Back
Top Bottom