hateeb10
JF-Expert Member
- Dec 8, 2022
- 2,920
- 1,223
Sema wewe ndiyo huelewi,..mimi ningekuwa sielewi basi nisingeweka hapa.😎😎😎😎😎😎???????
Sijaona ulipojibu kwann meli zinaanza kuonekana Kwa juu tu na sio chini zinapokuwa zina approach land, 🤣🤣🤣🤣. Umekopi tu hata ww huelewi ulichojibu