Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
😎😎😎😎😎😎???????

Sijaona ulipojibu kwann meli zinaanza kuonekana Kwa juu tu na sio chini zinapokuwa zina approach land, 🤣🤣🤣🤣. Umekopi tu hata ww huelewi ulichojibu
Sema wewe ndiyo huelewi,..mimi ningekuwa sielewi basi nisingeweka hapa.
 
Sasa nimfundishe nn🤣🤣 wakat yeye Alipo sio flat??? Mimi nipo ndani hapa Kuna vigae kabisa pamefanyiwa levelling na binadamu Ili pawe flat🤣🤣
Hahh kwahiyo kabla ya kuwekwa vigae palikuwa na curvature hapo?
 
Ulitoa sababu ya kwanini hatuhisi gravity? sikumbuki
Si kichwa chako kina Nta ndo maana🤣
Itaje hiyo sababu hapa.
Simply Adaptation, ukikataa nakupa test Moja tu, chukua kiatu unachovaaga weka mchanga ndani ya kiatu hicho halafu vaa tembea Kila siku na ivo viatu Kwa mwaka mzima uone kama baada ya huo muda utaona bughudha za mchanga huo, au utaona normal tu tofaut na mwanzo
 
Nilikuuliza simply tu, kati ya shilling na maji kipi kinauzito mkubwa?? Ndukiii!!!🤣

NB: ww unadai chenye uzito mkubwa kitashuka chini na chenye uzito mdogo kitakuwa juu.

Kwa maana hiyo shilling ilipaswa ielee.
hateeb10 kujibu huwezi, ndo maana nasema mjadara umekushinda😁
 
Si kichwa chako kina Nta ndo maana🤣

Simply Adaptation, ukikataa nakupa test Moja tu, chukua kiatu unachovaaga weka mchanga ndani ya kiatu hicho halafu vaa tembea Kila siku na ivo viatu Kwa mwaka mzima uone kama baada ya huo muda utaona bughudha za mchanga huo, au utaona normal tu tofaut na mwanzo
Hahh duh kweli akili imehama kaka,........ huo ni uongo hata ukivaa hicho kiatu chenye mchanga ndani ya miaka 10 hutoacha kuhisi kwamba kuna mchanga labda mchanga usagike na kuisha kabisa kwenye kiatu.

Tatizo unalazimisha vitu ambavyo havipo vionekane vipo,. hakuna adpatation yoyote ni hadithi tu.
 
Hahh duh kweli akili imehama kaka,........ huo ni uongo hata ukivaa hicho kiatu chenye mchanga ndani ya miaka 10 hutoacha kuhisi kwamba kuna mchanga labda mchanga usagike na kuisha kabisa kwenye kiatu.

Tatizo unalazimisha vitu ambavyo havipo vionekane vipo,. hakuna adpatation yoyote ni hadithi tu.
Si akili yako ndio imeishia hapo,
 
Back
Top Bottom