Siri kubwa ya wapemba na wachaga kumpisha Mkinga ni mkinga kuuza kwa faida ndogo, umoja, bidii, kuheshimu wateja na nidhamu ya matumizi ya fedha

Siri kubwa ya wapemba na wachaga kumpisha Mkinga ni mkinga kuuza kwa faida ndogo, umoja, bidii, kuheshimu wateja na nidhamu ya matumizi ya fedha

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Hao ndio wakinga bwana, hawaishi kukushangaza kwa jinsi walivyoimeza Kariakoo ambalo ndilo soko kubwa Tanzania nzima.

Zamani ilishazoeleka hio sehemu wamejaa wachaga na wapemba na makabila mengine madogo madogo kama waha (hawa huwa wanalazimisha mno waonekane wanalingana na wenzao wakubwa), wapare, n.k.

Kwa sasa hali imebadilika kabisa kwa mapinduzi anayofanga mkinga kwa sulaha yake kuu ya kuuza kwa bei ndogo, yani kwenye swala la bei kwa mkinga uta enjoy sana, faida anayotaka yeye huwa ni ndogo tu wala si kubwa, hata awe peke yake anaeiuza bidhaa, na hili limefanikiwa zaidi kwa wakinga wengi ndugu zao kujazana mji wa Guangzhou huko China na kwa sasa wana meli zao kabisa za kusafirisha mizigo na wana umoja wa kusaidiana.

siri nyingine wanajali sana wateja wao, kila mteja wanamjali.

Kwenye matumizi ya fedha hapa nadhani hawama mpinzani, mkinga anaishi simple sana
 
Hao wakinga 90% waliiteka Tunduma saivi wamehamia kariakoo

Kuna mkinga mwenye mahotel ya "WANYAMA HOTEL" alikuwa tajiri balaaa ana maghorofa zaidi ya 5 hapa kariakoo

Lakini jamaa alipofariki wakasafirisha maiti kupeleka huko kwao walikosa hata pakulaza jeneza, jamaa hana hata kinyumba cha chumba kimoja hapo kwao

Iliwabidi maiti walaze kwenye nyumba ya babaake mdogo
 
Hao ndio wakinga bwana, hawaishi kukushangaza kwa jinsi walivyoimeza Kariakoo ambalo ndilo soko kubwa Tanzania nzima.

Zamani ilishazoeleka hio sehemu wamejaa wachaga na wapemba na makabila mengine madogo madogo kama waha (hawa huwa wanalazimisha mno waonekane wanalingana na wenzao wakubwa), wapare, n.k.

Kwa sasa hali imebadilika kabisa kwa mapinduzi anayofanga mkinga kwa sulaha yake kuu ya kuuza kwa bei ndogo, yani kwenye swala la bei kwa mkinga uta enjoy sana, faida anayotaka yeye huwa ni ndogo tu wala si kubwa, hata awe peke yake anaeiuza bidhaa, na hili limefanikiwa zaidi kwa wakinga wengi ndugu zao kujazana mji wa Guangzhou huko China na kwa sasa wana meli zao kabisa za kusafirisha mizigo na wana umoja wa kusaidiana.

siri nyingine wanajali sana wateja wao, kila mteja wanamjali.

Kwenye matumizi ya fedha hapa nadhani hawama mpinzani, mkinga anaishi simple sana
Uneducated & witches sana, alafu acha kuwa over rate hao wakinga, they are not at all business tycoons..!!
 
WACHAGA WENGI WAMEACHA BIASHARA ZA UCHUUZI,NI STAGE AMBAYO WAMESHAPITA,JAPO WAPO WANAOENDELEA NAYO..!AT A LOW SPEED..!
Mkinga ndio kaiona kkoo sahv
Wachagaa wapo kwenye viwanda sahv vya maji mabati na financial services hapo kkoo kama ni mwanaume amemuachia mke na watt wapokezane kwenda china 😃😃😃
 
Back
Top Bottom