Bado Serikali ya Mama IPO, hiyo ndiyo ingeweza kunisababisha na mimi nikaufyata. MTU wa aina hii anatakiwa atoe tu ruhusa kuwa , HELA HII HAPA HALAFU ATAKAYEICHUKUA ATAONA. HELA hiyo naiichukua halafu pamoja na kumpa KOFI LA NYONGEZA Ili kumhamasisha asije akaenda akasahau kufanya kazi yake. WATU WANGU WANAANGAMIZWA KWA KUKOSA MAARIFA!Mwee mwee acha mambo yako kwahiyo usingeogopa maana watu waliufyata nakubaki kucheka tena around milion au inakaribia anarudi kula bata.
Alizitoa mfukoni akaziweka juu huku na bia yake mkononi nashuka Darajani tabata anaejiona mwanaume aje kunipora. kumbe huwa wanajihami wasiibiwe ila kimbembe umuibie alafu afanye kweli haya mambo hayataki masihara tulimzika mgogo pale pugu hivihivi alidhulumu ng'ombe zawatu akadedishwa fasta.Bado Serikali ya Mama IPO, hiyo ndiyo ingeweza kunisababisha na mimi nikaufyata. MTU wa aina hii anatakiwa atoe tu ruhusa kuwa , HELA HII HAPA HALAFU ATAKAYEICHUKUA ATAONA. HELA hiyo naiichukua halafu pamoja na kumpa KOFI LA NYONGEZA Ili kumhamasisha asije akaenda akasahau kufanya kazi yake. WATU WANGU WANAANGAMIZWA KWA KUKOSA MAARIFA!
wanatembelea nyota ya wakinga, mbena hakuna kitu hapo kwenye ramani ya biashara kwa hii tz, mbena na mhehe wale wale tu.Na kabila la Wabena linakuja juu. Nao ni ndugu na Wakinga na wanatoka mkoa mmoja isipokuwa wilaya tofauti.
Nenda Njombe utakuta biashara imetawaliwa na Wabena na Wakinga, Nenda Makambako utakuta Wabena na Wakinga, Nenda Tunduma, Masasi. Fuatilia mkuuwanatembelea nyota ya wakinga, mbena hakuna kitu hapo kwenye ramani ya biashara kwa hii tz, mbena na mhehe wale wale tu.
kukaa karibu na benki sio kigezo cha kuwa na pesa
Kwa wabena ha kusifiwa labda ni kuwa na mabinti wenye sifa za kuolewa (wife material ) kama ilivyo kwa wahehe ndugu zenu.Nenda Njombe utakuta biashara imetawaliwa na Wabena na Wakinga, Nenda Makambako utakuta Wabena na Wakinga, Nenda Tunduma, Masasi. Fuatilia mkuu
Yesu alifufua watu; na aliye ndani ya Yesu anao uwezo huo. Mwenye uwezo wa kufufua watu hawezi kubabaishwa na mlevi mmoja tu hata siku mojaAlizitoa mfukoni akaziweka juu huku na bia yake mkononi nashuka Darajani tabata anaejiona mwanaume aje kunipora. kumbe huwa wanajihami wasiibiwe ila kimbembe umuibie alafu afanye kweli haya mambo hayataki masihara tulimzika mgogo pale pugu hivihivi alidhulumu ng'ombe zawatu akadedishwa fasta.
"Mgaya shida" maana yake ni nini?Huwezi kumlinganisha mbena na mhehe wabena wanamiliki biashara za Kati mhehe ni mgaya shida achana na wabena waliobakia huko njombe
biashara ya wachaga imebaki ya bar na kitimoto. kwengine huko wamezidiwa kabisa. labda na viduka hivi vya mtaani.WACHAGA WENGI WAMEACHA BIASHARA ZA UCHUUZI,NI STAGE AMBAYO WAMESHAPITA,JAPO WAPO WANAOENDELEA NAYO..!AT A LOW SPEED..!
wakinga huwa hawakaribishi sana mteja kana wachaga, kwasababu kutokana na madawa yao ya kishirikina wana uhakika wa kuuza. pamoja na kwamba mchaga ukiingia tu anakuamnbia "karibu boss", mkinga pembeni unaingia anakuangalia tu ila utanunua kwa mkinga, na anaenda china yeye mwenyewe na la saba lake. ila huwa hawana maisha marefu, uchawi wao huwa unawapa pesa kwa miaka kadhaa halafu wanavunwa na shetani na wanaenda motoni moja kwa moja.Eti wanajali wateja bila shaka huwajui Wakinga vizuri,nenda pale Njombe kwenye duka la mkinga unaingia dukani anakuangalia kama mavi.