hapana aisee ule mshikemshike anaopitia maiti ya kiislam kabla ya kuzikwa ,kama angekua hajafa angeamka tuWaislam someni huu uzi kimbelembele chenu cha kuzika mapema mnazika watu walio hai wengi sana. Na sio ajabu wanafufuka tena wakiwa kaburini halafu hufa kwa hofu na kukosa oxjeni siajabu hupiga kelele sana mpaka wanakata roho.
andika utopolo wapi mungu kasema yeye ni mwana sayansi huoni kama umeshusha hadhiMwanasayansi wa kwanza ni MUNGU.
ila mwanasayansi kufika sayansi aliyonayo Mungu ni HABARI NYINGINE
umepata wapi hizi taarifa mkuuIdadi ya roho haiongezeki wala kupungua.
Ila idadi ya watu ikipungua huku, inaongezeka kule.
Roho za watu waliokufa huwa zina hama na kwenda mbali kutafuta mwili mwingine.
Ila baadhi huwa zinabaki sehemu moja na kutafuta mwili mwingine hapao hapo.
Mda huu kuna roho za watu waliofia TZ zipo njiani kuelekea USA, UK CHINA, FRANCE, at the same time kuna roho za watu waliofia UK, USA, CANADA, zipo njiani kuelekea DRC, SUDAN, HAITI, MALAWI.
Idadi ya watu itapungua huku na kuongezeka kule.
Ila kuna roho huwa zina baki kizimu, hazina mpango wa kurudi kuwa binadamu kwa muda huo.
Hiyo itapelekea kuongezeka na kupungua kwa idadi ya watu duniani.
Idadi ya watu duniani itapaa kwa kasi endapo roho zitaamua kurudi dunia kwa kasi.
Mimi nikifa, nitaenda kizaliwa RUSSIA.
Ni mawazo yangu, kama yesu na bible au Mudi na qur_aan.umepata wapi hizi taarifa mkuu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]yani lile depo la utotoni hule,mafundisho ,kutandikwa stiki na mzee ,huku walimu tushamaliza halafu tuje tuanze upya No
kumbe mawazo tu ila sio uhalisiaNi mawazo yangu, kama yesu na bible au Mudi na qur_aan.
[emoji108]Hospitali: Muhimbili
Wagonjwa: Waislamu na Wakristo
Afe muislam au mkristo, wote huifadhiwa chumba kimoja cha maiti.
Je....? ni Wakristo wangapi waliofufuka baada ya kuthibitishwa kuwa walifariki.
Nafahamu kuwa, maiti hutolewa chumba cha wagonjwa na kupelekwa chumba cha maiti.
Issue ya kuzika mapema sio tatizo, kwa sababu hata ukimuacha wiki 2 kwenye chumba cha maiti, marehemu hawezi pata uhai tena.
Laiti ingelikuwa Wakristo wana zinduka baada ya kutangazwa kufariki, amini na kwambia... Waislamu wangeacha tabia ya kuzika mapema.
Mkuu binadamu akishafikia kweny stage ya kufa hakuna njia nyingne yakumrudisha Dunia labda mtoe baadhi ya organ kweny mwili wake Kwa ajili ya matumizi Kwa wengine mfano figo, wew unazan kwanin wazungu wanakuja na project ya kuaamisha intelligence na sio kufufua watuWaislam someni huu uzi kimbelembele chenu cha kuzika mapema mnazika watu walio hai wengi sana. Na sio ajabu wanafufuka tena wakiwa kaburini halafu hufa kwa hofu na kukosa oxjeni siajabu hupiga kelele sana mpaka wanakata roho.
ume
andika utopolo wapi mungu kasema yeye ni mwana sayansi huoni kama umeshusha hadhi
mungu ni zaidi ya mwana sayansi ,so usimshushe hadhi kumuita mwana sayansi ,hapo ni sawa kusema mungu ni dereva kisa madereva wanamuomba mungu.halafu ni mwanasayansi gani kasema katoa sayansi yake kwa mungu?Sasa hyo sayansi inayogunduliwa inatoka wapi Kama sio kwa Mungu?
Mungu ni mwanasayansi ndio.
Maana sayansi yote yeye ndo chanzo haujui?
mungu ni zaidi ya mwana sayansi ,so usimshushe hadhi kumuita mwana sayansi ,hapo ni sawa kusema mungu ni dereva kisa madereva wanamuomba mungu.halafu ni mwanasayansi gani kasema katoa sayansi yake kwa mungu?
ni sawa umuite mpishi kisa yeye ndio chanzo cha vyakula vyote duniani .Kama yeye ndo chanzo Cha sayansi kwanini tusimuite ni mwanasayansi?
ni sawa umuite mpishi kisa yeye ndio chanzo cha vyakula vyote duniani .
utahisi unamsifia kumbe unamdhalilisha,tupunguze mahaba sometimeKama sio TUSI NI SAWA.
maana hyo ni FANI.
utahisi unamsifia kumbe unamdhalilisha,tupunguze mahaba sometime
nani amekataa ?Kwa upande wako.
Ila Mimi sioni tatizo.
Chanzo Cha fani zote ni MUNGU halina ubishi