Siri na fumbo la kifo (Dini & Sayansi) tukishakufa tunakwenda wapi?

Siri na fumbo la kifo (Dini & Sayansi) tukishakufa tunakwenda wapi?

Waislam someni huu uzi kimbelembele chenu cha kuzika mapema mnazika watu walio hai wengi sana. Na sio ajabu wanafufuka tena wakiwa kaburini halafu hufa kwa hofu na kukosa oxjeni siajabu hupiga kelele sana mpaka wanakata roho.
hapana aisee ule mshikemshike anaopitia maiti ya kiislam kabla ya kuzikwa ,kama angekua hajafa angeamka tu
 
Idadi ya roho haiongezeki wala kupungua.

Ila idadi ya watu ikipungua huku, inaongezeka kule.

Roho za watu waliokufa huwa zina hama na kwenda mbali kutafuta mwili mwingine.

Ila baadhi huwa zinabaki sehemu moja na kutafuta mwili mwingine hapao hapo.

Mda huu kuna roho za watu waliofia TZ zipo njiani kuelekea USA, UK CHINA, FRANCE, at the same time kuna roho za watu waliofia UK, USA, CANADA, zipo njiani kuelekea DRC, SUDAN, HAITI, MALAWI.

Idadi ya watu itapungua huku na kuongezeka kule.

Ila kuna roho huwa zina baki kizimu, hazina mpango wa kurudi kuwa binadamu kwa muda huo.

Hiyo itapelekea kuongezeka na kupungua kwa idadi ya watu duniani.

Idadi ya watu duniani itapaa kwa kasi endapo roho zitaamua kurudi dunia kwa kasi.

Mimi nikifa, nitaenda kizaliwa RUSSIA.
umepata wapi hizi taarifa mkuu
 
Hospitali: Muhimbili
Wagonjwa: Waislamu na Wakristo

Afe muislam au mkristo, wote huifadhiwa chumba kimoja cha maiti.

Je....? ni Wakristo wangapi waliofufuka baada ya kuthibitishwa kuwa walifariki.

Nafahamu kuwa, maiti hutolewa chumba cha wagonjwa na kupelekwa chumba cha maiti.

Issue ya kuzika mapema sio tatizo, kwa sababu hata ukimuacha wiki 2 kwenye chumba cha maiti, marehemu hawezi pata uhai tena.

Laiti ingelikuwa Wakristo wana zinduka baada ya kutangazwa kufariki, amini na kwambia... Waislamu wangeacha tabia ya kuzika mapema.
[emoji108]
 
Maswali kama haya ndio hudhihirisha Imani za watu, wa subhanallah watu wanaimani za ajabu!!

Alhamdulillah Imani yangu ni thabiti katika haya mambo, wala hakuna mashaka ndani yake.

Ni kama kufuata njia iliyonyooka.

"Je! Anaye kwenda akisinukia juu ya uso wake ni mwongofu zaidi, au yule anaye kwenda sawasawa katika Njia Iliyo Nyooka?"( Al-mulk:22)Quran.
 
Waislam someni huu uzi kimbelembele chenu cha kuzika mapema mnazika watu walio hai wengi sana. Na sio ajabu wanafufuka tena wakiwa kaburini halafu hufa kwa hofu na kukosa oxjeni siajabu hupiga kelele sana mpaka wanakata roho.
Mkuu binadamu akishafikia kweny stage ya kufa hakuna njia nyingne yakumrudisha Dunia labda mtoe baadhi ya organ kweny mwili wake Kwa ajili ya matumizi Kwa wengine mfano figo, wew unazan kwanin wazungu wanakuja na project ya kuaamisha intelligence na sio kufufua watu
 
Sasa hyo sayansi inayogunduliwa inatoka wapi Kama sio kwa Mungu?
Mungu ni mwanasayansi ndio.
Maana sayansi yote yeye ndo chanzo haujui?
mungu ni zaidi ya mwana sayansi ,so usimshushe hadhi kumuita mwana sayansi ,hapo ni sawa kusema mungu ni dereva kisa madereva wanamuomba mungu.halafu ni mwanasayansi gani kasema katoa sayansi yake kwa mungu?
 
Kama yeye ndo chanzo Cha sayansi kwanini tusimuite ni mwanasayansi?
mungu ni zaidi ya mwana sayansi ,so usimshushe hadhi kumuita mwana sayansi ,hapo ni sawa kusema mungu ni dereva kisa madereva wanamuomba mungu.halafu ni mwanasayansi gani kasema katoa sayansi yake kwa mungu?
 
Back
Top Bottom