Babyloni
JF-Expert Member
- Dec 17, 2020
- 264
- 740
Ndugu Msomaji,
Leo Nataka Nikuibie Siri ya MATAJIRI Wengi Ambayo Hawataki Uijue Kuhusu Mafanikio.
Binafsi Siri Hii Nilijifunza 2020 Kutoka Kwa Mentor Wangu Dan Lok.
Kitu Ambacho Kilibadilisha Kabisa Mwelekeo wa Maisha Yangu Mpaka Leo.
Dan Lok Alifanya Utafiti wa Kisiri na Akagundua Kwamba:
"MATAJIRI Wote Unaowajua Wanawekeza Muda Wao na Pesa Zao Nyingi Kwenye Vitu Hivi VINNE:
Forbes Wanamkadiria Kuwa na Utajiri wa $80M.
Ngoja Nielezee Point Moja baada ya Nyingine Hapa Chini:
Pesa Hazitafutwi Bali ZINATEGWA na Kukusanywa Kutoka Kwenye Mifuko ya Watu Wengine.
Na Kitu Peke Chenye Uwezo wa Kunasa Pesa kama Sumaku Kutoka Kwenye Mifuko ya Watu Wengine ni TAARIFA na Ujuzi.
Ndio Maana Huwezi Kumkuta Tajiri Yupo Busy na Kutafuta Hela kama Masikini.
Matajiri Wote Huwa Wapo Busy Kutafuta TAARIFA Kutoka Kwenye Vyanzo Mbali Mbali Ikiwemo:
...na Ukifanya Utafiti Utakuta Kila Tajiri Ana Shelfu ya Vitabu Nyumbani Kwake...(Bookshelf).
Na Masikini Yeye Ana TV Kubwa na Yupo Busy Kutafuta Hela.
Matajiri Wengi Huwa ni Watu wa Kusafiri Mara Kwa Mara Ili Kununua Experience Inayoitwa "EXPOSURE".
Kusafiri ni Mojawapo ya Njia ya Uhakika ya Kujifunza Vitu Kwa Vitendo.
...na Sio Lazima Uende Nje ya Nchi Hata Ndani ya Nchi, Kuna Mikoa Ukienda Huwezi Kuwa Yule Yule.
Kwahiyo:
Nunua Exposure Kwa Gharama Yoyote Ile.
...Hii Pia Inaongeza CONFIDENCE na Kukufanya Ufikiri Kwa Kina Zaidi Kuhusu Biashara na Maisha Kwa Ujumla.
Sisi ni Zao la Mazingira Yetu Wenyewe.
Mazingira Unayotumia Muda Mwingi Ndio Yatakayokutengeneza Wewe wa Baadae.
Ukisikia Neno MASAKI Unapata Picha ya Watu Gani Wanaoishi Huko?
Ndio Upo Sahihi... ni MATAJIRI.
Kwahiyo:
Sikwambii Ukaishi Masaki Leo Ila...
Kuwa Makini Sana na Mazingira Unayoishi na Kutumia Muda Wako Mwingi Kwasababu Yanakutengeneza Wewe wa Miaka Kadhaa Ijayo.
Tupo Kwenye Dunia ya Watu...na Watu Ndio Wenye Pesa Sio Vitu.
Na Hapa Sizungumzii Watu kama Watu... Nazungumzia Watu SAHIHI.
Kwasababu...
Sio Kila Mtu ni Sahihi Kwako.
Ukweli Mchungu Kuhusu Watu ni Kwamba:
"Wewe ni Wastani wa Watu 5 Unaotumia Muda Mwingi Kuwa Nao".
Mfano:
Kama Muda Wako Mwingi Unatumia Kukaa na Matajiri 9...
Basi Wewe Utakuwa Tajiri wa 10 Muda Sio Mrefu.
Hivyo Hivyo Pia kama Unatumia Muda Mwingi Kukaa na Masikini Ambao Muda Mwingi Wao ni Kulalamika na Kulaumu Serikali na Kubishana Kuhusu Simba na Yanga...Basi Tegemea Kuwa Masikini Ajaye Pia.
....Na Hii ni FACT!
Wengi Huwa Tunakuja Kushtuka Wakati Ambao Tayari ni "TOO LATE".
Tafito Zinasema:
"Watu Wengi Wanakujaga Kushtuka Kuhusu Vitu Hivi Wakiwa na Umri wa Miaka 57-69".
Wanaishia Kupata Pressure na Depression na Wengine Hata Kupoteza Maisha.
Wanakuwa Hawana Chochote Cha Kubadilisha Kutokana na Nguvu na MUDA Kuatupa Mkono.
Kwahiyo:
Epuka Kunaswa Kwenye Huo Mtego!
Hakuna Kitu Kinachoumiza Uzeeni kama MAJUTO (Regrets).
Chukua Hatua Sasahivi!
Nina Imani Makala Hii Itaenda Kumgusa Mtu Mahali.
Uwe na Mwanzo Mwema wa Wiki.
Ciao!
Leo Nataka Nikuibie Siri ya MATAJIRI Wengi Ambayo Hawataki Uijue Kuhusu Mafanikio.
Binafsi Siri Hii Nilijifunza 2020 Kutoka Kwa Mentor Wangu Dan Lok.
Kitu Ambacho Kilibadilisha Kabisa Mwelekeo wa Maisha Yangu Mpaka Leo.
Dan Lok Alifanya Utafiti wa Kisiri na Akagundua Kwamba:
"MATAJIRI Wote Unaowajua Wanawekeza Muda Wao na Pesa Zao Nyingi Kwenye Vitu Hivi VINNE:
- TAARIFA
- EXPOSURE (Kusafiri)
- MAZINGIRA
- WATU
Forbes Wanamkadiria Kuwa na Utajiri wa $80M.
Ngoja Nielezee Point Moja baada ya Nyingine Hapa Chini:
1. TAARIFA!
Matajiri Wote Wanajua Kwamba:Pesa Hazitafutwi Bali ZINATEGWA na Kukusanywa Kutoka Kwenye Mifuko ya Watu Wengine.
Na Kitu Peke Chenye Uwezo wa Kunasa Pesa kama Sumaku Kutoka Kwenye Mifuko ya Watu Wengine ni TAARIFA na Ujuzi.
Ndio Maana Huwezi Kumkuta Tajiri Yupo Busy na Kutafuta Hela kama Masikini.
Matajiri Wote Huwa Wapo Busy Kutafuta TAARIFA Kutoka Kwenye Vyanzo Mbali Mbali Ikiwemo:
- Vitabu
- Courses
- Coaching
- Mentorship Nk
...na Ukifanya Utafiti Utakuta Kila Tajiri Ana Shelfu ya Vitabu Nyumbani Kwake...(Bookshelf).
Na Masikini Yeye Ana TV Kubwa na Yupo Busy Kutafuta Hela.
2. EXPOSURE (Kusafiri)
Hakuna Kitu Chenye Uwezo wa Kubadilisha MINDSET Yako kama Kukiona Kitu Kwa Macho.Matajiri Wengi Huwa ni Watu wa Kusafiri Mara Kwa Mara Ili Kununua Experience Inayoitwa "EXPOSURE".
Kusafiri ni Mojawapo ya Njia ya Uhakika ya Kujifunza Vitu Kwa Vitendo.
...na Sio Lazima Uende Nje ya Nchi Hata Ndani ya Nchi, Kuna Mikoa Ukienda Huwezi Kuwa Yule Yule.
Kwahiyo:
Nunua Exposure Kwa Gharama Yoyote Ile.
...Hii Pia Inaongeza CONFIDENCE na Kukufanya Ufikiri Kwa Kina Zaidi Kuhusu Biashara na Maisha Kwa Ujumla.
3. MAZINGIRA
Ukweli Ambao Watu Wengi Hawaujui ni Kwamba:Sisi ni Zao la Mazingira Yetu Wenyewe.
Mazingira Unayotumia Muda Mwingi Ndio Yatakayokutengeneza Wewe wa Baadae.
Ukisikia Neno MASAKI Unapata Picha ya Watu Gani Wanaoishi Huko?
Ndio Upo Sahihi... ni MATAJIRI.
Kwahiyo:
Sikwambii Ukaishi Masaki Leo Ila...
Kuwa Makini Sana na Mazingira Unayoishi na Kutumia Muda Wako Mwingi Kwasababu Yanakutengeneza Wewe wa Miaka Kadhaa Ijayo.
4. WATU
Wote Tunajua Kwamba:Tupo Kwenye Dunia ya Watu...na Watu Ndio Wenye Pesa Sio Vitu.
Na Hapa Sizungumzii Watu kama Watu... Nazungumzia Watu SAHIHI.
Kwasababu...
Sio Kila Mtu ni Sahihi Kwako.
Ukweli Mchungu Kuhusu Watu ni Kwamba:
"Wewe ni Wastani wa Watu 5 Unaotumia Muda Mwingi Kuwa Nao".
Mfano:
Kama Muda Wako Mwingi Unatumia Kukaa na Matajiri 9...
Basi Wewe Utakuwa Tajiri wa 10 Muda Sio Mrefu.
Hivyo Hivyo Pia kama Unatumia Muda Mwingi Kukaa na Masikini Ambao Muda Mwingi Wao ni Kulalamika na Kulaumu Serikali na Kubishana Kuhusu Simba na Yanga...Basi Tegemea Kuwa Masikini Ajaye Pia.
....Na Hii ni FACT!
Kwanini Nakwambia Yote Haya?
Kwasababu:Wengi Huwa Tunakuja Kushtuka Wakati Ambao Tayari ni "TOO LATE".
Tafito Zinasema:
"Watu Wengi Wanakujaga Kushtuka Kuhusu Vitu Hivi Wakiwa na Umri wa Miaka 57-69".
Wanaishia Kupata Pressure na Depression na Wengine Hata Kupoteza Maisha.
Wanakuwa Hawana Chochote Cha Kubadilisha Kutokana na Nguvu na MUDA Kuatupa Mkono.
Kwahiyo:
Epuka Kunaswa Kwenye Huo Mtego!
Hakuna Kitu Kinachoumiza Uzeeni kama MAJUTO (Regrets).
Chukua Hatua Sasahivi!
Nina Imani Makala Hii Itaenda Kumgusa Mtu Mahali.
Uwe na Mwanzo Mwema wa Wiki.
Ciao!