Siri nne za mafanikio 2024: Vitu ambavyo matajiri hawawezi kukwambia

Siri nne za mafanikio 2024: Vitu ambavyo matajiri hawawezi kukwambia

Nilivyomuelewa huyo jamaa ni Kwamba kitabu ni njia inayotumiwa na watu wengi kupata taarifa ya vitu fulani fulani Ila pia kuna njia nyingi zakupata taarifa ukiachana na Vitabu, huyo Dan Lok anauza kozi za copywritting kwasababu alikua na taarifa Kwamba hiki nikikifanya lazima watu waje wanipe pesa, rejea kwenye huo uzi kwamba matajiri huwa wanatega pesa Kwa kuuza taarifa yaani wanachukua pesa mfukoni mwa watu wanaingiza mfukoni mwao ndicho anachofanya huyo Dan Lok.

Hata huyo jamaa wa Facebook nae tunabaki hapo hapo kwenye taarifa, Mark hakuwa na lengo lakuifanya Facebook iwe ni product ya worldwide ila lengo lilikua ni pale pale havard kwamba watu wawe wanapost profile zao kuchat na kadhalika, na hii hakuifanya tu bali lazima alikaa chini akajiuliza kitu ambacho pale chuoni hakipo na endapo akikifanya kitapendwa na wanafunzi wenzie, kwahiyo kitendo tu chakujiuliza it means unatafuta taarifa iwe kwakusoma vitabu vya projects mbalimbali ambazo tayari zilishawahi kufanyika hapo shuleni au kuuliza maswali na kadhalika.

Na pia unatakiwa ufahamu kwamba taarifa za kwenye vitabu huwa haziji direct kwamfano wewe unataka ufanye uvumbuzi wa jambo fulani ambalo litaleta effect duniani kote basi lazima utachukua vitabu vya vumbuzi mbalimbali zilizowahi kufanyika duniani na kuanza kusoma ili ujue kipi kimeshafanyika then baada ya kujua yaliyowahi kufanyika nawewe unakaa chini unaanza kufigure out like jambo gani ambalo halijawahi kufanyika ila unauhakika ukilifanya lazima watu watalikubali duniani kote... TAARIFA NDIO MSINGI.
Dan Lok ni tapeli. Anatengeneza umaarufu feki ili auzie watu kozi, aliwahi kukamatwa akidai nyumba aliyokodisha ni yake.

Mimi najua vitabu mnavyoongelea hapa ni vitabu vya motivation sijawahi kuona mtu anasoma kitabu cha physics eti anaongeza maarifa😂

Sikatazi watu kusoma vitabu, inaweza kuwa hobby ukapata mitazamo mbalimbali itakayokusaidia kwenye maisha lakini wewe jiulize hao walioandika hivyo vitabu wametoa wapi hayo maarifa kama sio kwenye maisha halisi

Kama unasomaga vitabu vya physics, biology basi sikupingi
 
Narudia hakuna jamii zilizoendelea na kustaarabika bila kusoma, hata huyo Nala amesoma vitabu ili kuelewa jinsi ya kuendesha biashara zake. Matajiri wengi wanaajiri experts ambao ni wasomi ili waweze kuwashauri kitaalamu. Ukimuangalia hata Elon Musk vitu vyake vingi vinahitaji akili na kusoma sanaa maana vingi ni science based. Sasa tukirudi kwenye maisha yetu ya kila siku kuanzia kula, kuvaa, kufanya kazi, kilimo, mifugo etc vyote vinefanyiwa tafiti na viko kwenye vitabu. Huna haja ya kusumbua watu kama akina prof Janabi na wengine kupoteza muda kuwaambia daily madhara ya kula hovyo, kunywa pombe hovyo, njia bora za kilimo, kufuga nk vyote hivi viko kwenye vitabu na tafiti mbalimbali. Juzi Mhe Rais akiwa mikoa ya Katavi na Rukwa amekuta tatizo kubwa la utapiamlo wakati mikoa hiyo inaongoza kuzalisha chakula, pia amekuta mahospitalini wanaojifungua ni vitoto miaka 17 , yaani mtoto ana mtoto. Hii yote ni tatizo la elimu, watu hawana maarifa na hawataki kusoma na kujifunza. Ndiyo nikasema huko Scandinavian huwezi kukuta haya mambo kwa sababu jamii imeelimika na inapenda kusoma na kujielimisha zaidi. Hata huko Kenya hawa Gen Z wanaomnyima usingizi Ruto ni wasomi wazuri sana na wanajua their rights.
Mkuu wewe unaongelea elimu au kusoma vitabu??

Naona hapa umechanganya mambo kibao. Unaweza kua na elimu ila usiwe mpenzi wa kusoma vitabu.
Hapo naona unaongelea elimu zaidi na sio kusoma vitabu.

Na kusoma vitabu huwa ni kipaji tu, mwingine akishika tu kitabu usingizi huoo.
Na njia za maarifa zimerahisishwa sana siku hizi, sio kila kitu utapata kwenye vitabu.
 
Narudia hakuna jamii zilizoendelea na kustaarabika bila kusoma, hata huyo Nala amesoma vitabu ili kuelewa jinsi ya kuendesha biashara zake. Matajiri wengi wanaajiri experts ambao ni wasomi ili waweze kuwashauri kitaalamu. Ukimuangalia hata Elon Musk vitu vyake vingi vinahitaji akili na kusoma sanaa maana vingi ni science based. Sasa tukirudi kwenye maisha yetu ya kila siku kuanzia kula, kuvaa, kufanya kazi, kilimo, mifugo etc vyote vinefanyiwa tafiti na viko kwenye vitabu. Huna haja ya kusumbua watu kama akina prof Janabi na wengine kupoteza muda kuwaambia daily madhara ya kula hovyo, kunywa pombe hovyo, njia bora za kilimo, kufuga nk vyote hivi viko kwenye vitabu na tafiti mbalimbali. Juzi Mhe Rais akiwa mikoa ya Katavi na Rukwa amekuta tatizo kubwa la utapiamlo wakati mikoa hiyo inaongoza kuzalisha chakula, pia amekuta mahospitalini wanaojifungua ni vitoto miaka 17 , yaani mtoto ana mtoto. Hii yote ni tatizo la elimu, watu hawana maarifa na hawataki kusoma na kujifunza. Ndiyo nikasema huko Scandinavian huwezi kukuta haya mambo kwa sababu jamii imeelimika na inapenda kusoma na kujielimisha zaidi. Hata huko Kenya hawa Gen Z wanaomnyima usingizi Ruto ni wasomi wazuri sana na wanajua their rights.
Basi mimi sikukuelewa vizuri

Huko mitandaoni ukiona wanakuambia usome vitabu watakupendekezea vitabu vyepesi vile vya ushauri wa maisha kama rich dad poor dad na vingine😂 eti vitabadilisha jinsi unavyofikiri

Kweli kabisa kila mtu anasoma vitabu shida anasoma vitabu gani

Na pia kuwa na akili ya kukosoa mambo(inquisitive mind) itakufanya ukue vingi hata nje ya kusoma vitabu
 
Hapa Tanganyika unaweza kukutwa na B7 ndani na husomi vitabu vyovyote.

Achana na vitabu, ni huko nje hapa kwetu ingia kwenye mfumo. Ajira, siasa au biashara na watu walio kwenye mfumo.
 
Basi mimi sikukuelewa vizuri

Huko mitandaoni ukiona wanakuambia usome vitabu watakupendekezea vitabu vyepesi vile vya ushauri wa maisha kama rich dad poor dad na vingine😂 eti vitabadilisha jinsi unavyofikiri

Kweli kabisa kila mtu anasoma vitabu shida anasoma vitabu gani

Na pia kuwa na akili ya kukosoa mambo(inquisitive mind) itakufanya ukue vingi hata nje ya kusoma vitabu
Kama ni mpenzi wa kusoma vitabu wala hauhitaji mtu wa mtandaoni akuchagulie vitabu mkuu...
 
Ukweli mchungu ni kwamba sisi ni mijitu mivivu sana katika suala zima la kuongeza maarifa kwa njia ya kujisomea vitabu! Ukitaka ugomvi na mtanzania, mwambie asome vitabu!
Swadakta mkuuu...tunapenda short cut mfano utawasikia ukibeti unatoboa lakini tuliosoma statistics hasa kwenye probability tunajua kwamba msingi mkuu ni kwamba mcheze watu 1000 mliwe halafu pesa yenu itumike kulipa watu 10 au 20.....kwenda kwenye maombi kwa manabii feki wa mchango, ambao wanawaambia ili ufanikiwe nunua mafuta/maji/toa ulichonacho etc lakini ili yeye afanikiwe awe na gari eti lazima wote mumchangie ....yaani orodha ni ndefu sanaaa...Mwanaume shababi mwenye siha yake kamilifu na mke na watoto eti anaishi kwa kuwa Chawa mpaka anadhalilika ili arushiwe makombo na anayemfanyia uchawa,na jamii inaona sawa kabisa kwamba ametoboa kweli??? Madhara yake?? Halafu baadae tunawalaumu mabeberu kutuletea ushoga really??
 
Kama ni ivyo utajiri si ungekuwa simple tu! After all tukiwa wote matajiri hainogi
 
1. Dan Lok ni tapeli mkubwa. Hilo lipo wazi anaishi kwa kuuza kozi za kufundisha jinsi ya kuwa tajiri

2. Huo ujinga wa kwamba matajiri wanasoma sana vitabu mnautoa wapi? Kwamba Mark alisoma kitabu flani kikamuambia aanzishe facebook?

Yaani maisha ni marahisi kiasi hicho, usome kitabu tu uwe tajiri? Pole sana.

Mimi kapuku ila hapa unatupiga kamba
Mark aliwaibia watu wawili software ambayo ndio msingi wa facebook
 
Utajiri ni asili..kama huna kamwe hutakuwa hata ufanyaje? ...dan lok ni mwehu tuu...thread nyepesi inapewa hongera haswa..hii ni dalili ya umasikini
 
1. Dan Lok ni tapeli mkubwa. Hilo lipo wazi anaishi kwa kuuza kozi za kufundisha jinsi ya kuwa tajiri

2. Huo ujinga wa kwamba matajiri wanasoma sana vitabu mnautoa wapi? Kwamba Mark alisoma kitabu flani kikamuambia aanzishe facebook?

Yaani maisha ni marahisi kiasi hicho, usome kitabu tu uwe tajiri? Pole sana.

Mimi kapuku ila hapa unatupiga kamba
Matajiri wengi wansoma vitabu baada ya huo utajiri kuupata kwanza
 
Rudia kuusoma tena huo uzi, amekwambia mentor wake ambae ni Dan anaekadiriwa Kuwa na Utajiri wa $80M amefanya utafiti then hizo data kaamua kushare na hao clients wake na katika hao client wake huyo bwana aliyeleta uzi nae yumo ndani.
Noma sana!
 
Back
Top Bottom