Siri nne za mafanikio 2024: Vitu ambavyo matajiri hawawezi kukwambia

Siri nne za mafanikio 2024: Vitu ambavyo matajiri hawawezi kukwambia

Na mimi nimeuliza hivi; Kuanzisha na kukuza kampuni kisha kujipatia utajiri kunafundishwa kwenye kitabu gani?

Maanake billionaires wapo kwenye 3000 tu, au hicho kitabu kimefichwa?

Matajiri wengi wamezaliwa kwenye familia nzuri/waliweza kujichanganya na watu wenye ushawishi kwa namna flani mfano kusoma vyuo vikubwa nk.

Vitabu ni biashara, havitolewi bure

Unadhani benjamin fernandes wa nala angeweza kupata $40m kwa kusoma sana vitabu badala ya kwenda stanford na harvard?

Kaa chini tu ufuatilie. Utajiri ni aidha uwe na connections, ama uwe mjuzi sana kwenye fani flani(ambapo lazima uende shule)

Kwenda ivy league school tu mfano stanford kunabadilisha maisha ya mtu KABISA. Unakutana na watu wazito mule unafahamiana nao. Unakubalika na makampuni makubwa kikazi. Unakuwa an international citizen.

Pia kuna ile bahati ya kuwa sehemu sahihi wakati sahihi ukifanya kitu sahihi sema haitabiriki mfano netflix alivyoleta movie streaming...

Unavyosema ukanda wa scandinavia wana maisha mazuri kisa wanasoma vitabu, kweli mkuu tunaweza kujadili maendeleo ya nchi kwa hoja ya kusoma vitabu peke yake? kweli? serikali, uchumi havina mchango?

Nimemaliza kufoka sasa.
Narudia hakuna jamii zilizoendelea na kustaarabika bila kusoma, hata huyo Nala amesoma vitabu ili kuelewa jinsi ya kuendesha biashara zake. Matajiri wengi wanaajiri experts ambao ni wasomi ili waweze kuwashauri kitaalamu. Ukimuangalia hata Elon Musk vitu vyake vingi vinahitaji akili na kusoma sanaa maana vingi ni science based. Sasa tukirudi kwenye maisha yetu ya kila siku kuanzia kula, kuvaa, kufanya kazi, kilimo, mifugo etc vyote vinefanyiwa tafiti na viko kwenye vitabu. Huna haja ya kusumbua watu kama akina prof Janabi na wengine kupoteza muda kuwaambia daily madhara ya kula hovyo, kunywa pombe hovyo, njia bora za kilimo, kufuga nk vyote hivi viko kwenye vitabu na tafiti mbalimbali. Juzi Mhe Rais akiwa mikoa ya Katavi na Rukwa amekuta tatizo kubwa la utapiamlo wakati mikoa hiyo inaongoza kuzalisha chakula, pia amekuta mahospitalini wanaojifungua ni vitoto miaka 17 , yaani mtoto ana mtoto. Hii yote ni tatizo la elimu, watu hawana maarifa na hawataki kusoma na kujifunza. Ndiyo nikasema huko Scandinavian huwezi kukuta haya mambo kwa sababu jamii imeelimika na inapenda kusoma na kujielimisha zaidi. Hata huko Kenya hawa Gen Z wanaomnyima usingizi Ruto ni wasomi wazuri sana na wanajua their rights.
 
Uzi mzuri sana💥, ila na hitaji kujua umejuaje Siri za matajiri?? Pia, unesema mwenyew kuwa ni vitu ambavyo matajiri hawawez kukwambia so, wewe alie kwambia ni nani??
Au wewe ni Nani??
Tokea nisikie Kuna mtu aliandika kitabu chenye mbinu zote za how to get money then akashindwa kukitoa kitabu hicho kwa kukosa hela ya kuchapisha nachoshwa kabisa nikiwasikia ma motivational speakers Otherwise hio thread angeituma MO au Bakhrhesa
Nakaribisha makasiriko 🤝😎
Utajiri unaendana na kufanya mambo yasiyo halali ndiyo maana ni siri. Sasa sijui yeye kajuaje
 
Tuambie matajiri wa Tanzania wanasoma vitabu gani?

Yaani unaanza

1)Mo Dewji,

Vitabu alivyosoma vikampa utajiri


2) Bakhresa
Vitabu vyake alivyosoma vikampa utajiri

3) GSM
.........



Halafu ni kipi kinaanza Kati ya utajiri na kusoma vitabu?


Yaani hao matajiri walianza kuvisoma ndio wakapata utajiri au walipata utajiri ndio wakavisoma?
 
Asante kwa ushauri..

Ila hasa Kariakoo, hatujuwi Wakinga, Wachaga, Machinga wa kila kabila, Watanzania wenzetu wa asili ya Asia na Uarabuni wangapi wesoma vitabu vingapi, kusafiri mpaka wamefanikiwa vile?!
Ila tunakubali, mazingira unayoishi nayoishi, elimu utakapoipata na taarifa yawezekana kuwa sababu ya utajiri wako!
All and all tunakushukuru kwa uzi wako ulivyo debatable! Na ndio maana ya wadau kuja JamiiForums 👏👏👏👏👏
 
Ndugu Msomaji,

Leo Nataka Nikuibie Siri ya MATAJIRI Wengi Ambayo Hawataki Uijue Kuhusu Mafanikio.

Binafsi Siri Hii Nilijifunza 2020 Kutoka Kwa Mentor Wangu Dan Lok.

Kitu Ambacho Kilibadilisha Kabisa Mwelekeo wa Maisha Yangu Mpaka Leo.

Dan Lok Alifanya Utafiti wa Kisiri na Akagundua Kwamba:

"MATAJIRI Wote Unaowajua Wanawekeza Muda Wao na Pesa Zao Nyingi Kwenye Vitu Hivi VINNE:

  1. TAARIFA
  2. EXPOSURE (Kusafiri)
  3. MAZINGIRA
  4. WATU
Kwa Wale Ambao Hawamjui Dan Lok Huyu ni Mjasiriamali na Copywriter Mkubwa Anayeishi Vancouver-Canada.

Forbes Wanamkadiria Kuwa na Utajiri wa $80M.

Ngoja Nielezee Point Moja baada ya Nyingine Hapa Chini:

1. TAARIFA!​

Matajiri Wote Wanajua Kwamba:

Pesa Hazitafutwi Bali ZINATEGWA na Kukusanywa Kutoka Kwenye Mifuko ya Watu Wengine.

Na Kitu Peke Chenye Uwezo wa Kunasa Pesa kama Sumaku Kutoka Kwenye Mifuko ya Watu Wengine ni TAARIFA na Ujuzi.

Ndio Maana Huwezi Kumkuta Tajiri Yupo Busy na Kutafuta Hela kama Masikini.

Matajiri Wote Huwa Wapo Busy Kutafuta TAARIFA Kutoka Kwenye Vyanzo Mbali Mbali Ikiwemo:

  • Vitabu
  • Courses
  • Coaching
  • Mentorship Nk
Hakuna Tajiri Anayewaza Mara Mbili Kuwekeza Kwenye TAARIFA.

...na Ukifanya Utafiti Utakuta Kila Tajiri Ana Shelfu ya Vitabu Nyumbani Kwake...(Bookshelf).

Na Masikini Yeye Ana TV Kubwa na Yupo Busy Kutafuta Hela.

2. EXPOSURE (Kusafiri)​

Hakuna Kitu Chenye Uwezo wa Kubadilisha MINDSET Yako kama Kukiona Kitu Kwa Macho.

Matajiri Wengi Huwa ni Watu wa Kusafiri Mara Kwa Mara Ili Kununua Experience Inayoitwa "EXPOSURE".

Kusafiri ni Mojawapo ya Njia ya Uhakika ya Kujifunza Vitu Kwa Vitendo.

...na Sio Lazima Uende Nje ya Nchi Hata Ndani ya Nchi, Kuna Mikoa Ukienda Huwezi Kuwa Yule Yule.

Kwahiyo:

Nunua Exposure Kwa Gharama Yoyote Ile.

...Hii Pia Inaongeza CONFIDENCE na Kukufanya Ufikiri Kwa Kina Zaidi Kuhusu Biashara na Maisha Kwa Ujumla.

3. MAZINGIRA​

Ukweli Ambao Watu Wengi Hawaujui ni Kwamba:

Sisi ni Zao la Mazingira Yetu Wenyewe.

Mazingira Unayotumia Muda Mwingi Ndio Yatakayokutengeneza Wewe wa Baadae.

Ukisikia Neno MASAKI Unapata Picha ya Watu Gani Wanaoishi Huko?

Ndio Upo Sahihi... ni MATAJIRI.

Kwahiyo:

Sikwambii Ukaishi Masaki Leo Ila...

Kuwa Makini Sana na Mazingira Unayoishi na Kutumia Muda Wako Mwingi Kwasababu Yanakutengeneza Wewe wa Miaka Kadhaa Ijayo.

4. WATU​

Wote Tunajua Kwamba:

Tupo Kwenye Dunia ya Watu...na Watu Ndio Wenye Pesa Sio Vitu.

Na Hapa Sizungumzii Watu kama Watu... Nazungumzia Watu SAHIHI.

Kwasababu...

Sio Kila Mtu ni Sahihi Kwako.

Ukweli Mchungu Kuhusu Watu ni Kwamba:

"Wewe ni Wastani wa Watu 5 Unaotumia Muda Mwingi Kuwa Nao".

Mfano:

Kama Muda Wako Mwingi Unatumia Kukaa na Matajiri 9...

Basi Wewe Utakuwa Tajiri wa 10 Muda Sio Mrefu.

Hivyo Hivyo Pia kama Unatumia Muda Mwingi Kukaa na Masikini Ambao Muda Mwingi Wao ni Kulalamika na Kulaumu Serikali na Kubishana Kuhusu Simba na Yanga...Basi Tegemea Kuwa Masikini Ajaye Pia.

....Na Hii ni FACT!

Kwanini Nakwambia Yote Haya?​

Kwasababu:

Wengi Huwa Tunakuja Kushtuka Wakati Ambao Tayari ni "TOO LATE".

Tafito Zinasema:

"Watu Wengi Wanakujaga Kushtuka Kuhusu Vitu Hivi Wakiwa na Umri wa Miaka 57-69".

Wanaishia Kupata Pressure na Depression na Wengine Hata Kupoteza Maisha.

Wanakuwa Hawana Chochote Cha Kubadilisha Kutokana na Nguvu na MUDA Kuatupa Mkono.

Kwahiyo:

Epuka Kunaswa Kwenye Huo Mtego!

Hakuna Kitu Kinachoumiza Uzeeni kama MAJUTO (Regrets).

Chukua Hatua Sasahivi!

Nina Imani Makala Hii Itaenda Kumgusa Mtu Mahali.

Uwe na Mwanzo Mwema wa Wiki.

Ciao!

Your Cousin,​

Amosi Nyanda
Hongera coz your copywritting skills inaonekana but I want to ask this, Kwa introverts inakuaje kwenye hiko kipengele Cha watu?.

We know Dan that Asian guy.
 
Uzi mzuri sana💥, ila na hitaji kujua umejuaje Siri za matajiri?? Pia, unesema mwenyew kuwa ni vitu ambavyo matajiri hawawez kukwambia so, wewe alie kwambia ni nani??
Au wewe ni Nani??
Tokea nisikie Kuna mtu aliandika kitabu chenye mbinu zote za how to get money then akashindwa kukitoa kitabu hicho kwa kukosa hela ya kuchapisha nachoshwa kabisa nikiwasikia ma motivational speakers Otherwise hio thread angeituma MO au Bakhrhesa
Nakaribisha makasiriko 🤝😎
Rudia kuusoma tena huo uzi, amekwambia mentor wake ambae ni Dan anaekadiriwa Kuwa na Utajiri wa $80M amefanya utafiti then hizo data kaamua kushare na hao clients wake na katika hao client wake huyo bwana aliyeleta uzi nae yumo ndani.
 
1. Dan Lok ni tapeli mkubwa. Hilo lipo wazi anaishi kwa kuuza kozi za kufundisha jinsi ya kuwa tajiri

2. Huo ujinga wa kwamba matajiri wanasoma sana vitabu mnautoa wapi? Kwamba Mark alisoma kitabu flani kikamuambia aanzishe facebook?

Yaani maisha ni marahisi kiasi hicho, usome kitabu tu uwe tajiri? Pole sana.

Mimi kapuku ila hapa unatupiga kamba
Nilivyomuelewa huyo jamaa ni Kwamba kitabu ni njia inayotumiwa na watu wengi kupata taarifa ya vitu fulani fulani Ila pia kuna njia nyingi zakupata taarifa ukiachana na Vitabu, huyo Dan Lok anauza kozi za copywritting kwasababu alikua na taarifa Kwamba hiki nikikifanya lazima watu waje wanipe pesa, rejea kwenye huo uzi kwamba matajiri huwa wanatega pesa Kwa kuuza taarifa yaani wanachukua pesa mfukoni mwa watu wanaingiza mfukoni mwao ndicho anachofanya huyo Dan Lok.

Hata huyo jamaa wa Facebook nae tunabaki hapo hapo kwenye taarifa, Mark hakuwa na lengo lakuifanya Facebook iwe ni product ya worldwide ila lengo lilikua ni pale pale havard kwamba watu wawe wanapost profile zao kuchat na kadhalika, na hii hakuifanya tu bali lazima alikaa chini akajiuliza kitu ambacho pale chuoni hakipo na endapo akikifanya kitapendwa na wanafunzi wenzie, kwahiyo kitendo tu chakujiuliza it means unatafuta taarifa iwe kwakusoma vitabu vya projects mbalimbali ambazo tayari zilishawahi kufanyika hapo shuleni au kuuliza maswali na kadhalika.

Na pia unatakiwa ufahamu kwamba taarifa za kwenye vitabu huwa haziji direct kwamfano wewe unataka ufanye uvumbuzi wa jambo fulani ambalo litaleta effect duniani kote basi lazima utachukua vitabu vya vumbuzi mbalimbali zilizowahi kufanyika duniani na kuanza kusoma ili ujue kipi kimeshafanyika then baada ya kujua yaliyowahi kufanyika nawewe unakaa chini unaanza kufigure out like jambo gani ambalo halijawahi kufanyika ila unauhakika ukilifanya lazima watu watalikubali duniani kote... TAARIFA NDIO MSINGI.
 
Ndugu Msomaji,

Leo Nataka Nikuibie Siri ya MATAJIRI Wengi Ambayo Hawataki Uijue Kuhusu Mafanikio.

Binafsi Siri Hii Nilijifunza 2020 Kutoka Kwa Mentor Wangu Dan Lok.

Kitu Ambacho Kilibadilisha Kabisa Mwelekeo wa Maisha Yangu Mpaka Leo.

Dan Lok Alifanya Utafiti wa Kisiri na Akagundua Kwamba:

"MATAJIRI Wote Unaowajua Wanawekeza Muda Wao na Pesa Zao Nyingi Kwenye Vitu Hivi VINNE:

  1. TAARIFA
  2. EXPOSURE (Kusafiri)
  3. MAZINGIRA
  4. WATU
Kwa Wale Ambao Hawamjui Dan Lok Huyu ni Mjasiriamali na Copywriter Mkubwa Anayeishi Vancouver-Canada.

Forbes Wanamkadiria Kuwa na Utajiri wa $80M.

Ngoja Nielezee Point Moja baada ya Nyingine Hapa Chini:

1. TAARIFA!​

Matajiri Wote Wanajua Kwamba:

Pesa Hazitafutwi Bali ZINATEGWA na Kukusanywa Kutoka Kwenye Mifuko ya Watu Wengine.

Na Kitu Peke Chenye Uwezo wa Kunasa Pesa kama Sumaku Kutoka Kwenye Mifuko ya Watu Wengine ni TAARIFA na Ujuzi.

Ndio Maana Huwezi Kumkuta Tajiri Yupo Busy na Kutafuta Hela kama Masikini.

Matajiri Wote Huwa Wapo Busy Kutafuta TAARIFA Kutoka Kwenye Vyanzo Mbali Mbali Ikiwemo:

  • Vitabu
  • Courses
  • Coaching
  • Mentorship Nk
Hakuna Tajiri Anayewaza Mara Mbili Kuwekeza Kwenye TAARIFA.

...na Ukifanya Utafiti Utakuta Kila Tajiri Ana Shelfu ya Vitabu Nyumbani Kwake...(Bookshelf).

Na Masikini Yeye Ana TV Kubwa na Yupo Busy Kutafuta Hela.

2. EXPOSURE (Kusafiri)​

Hakuna Kitu Chenye Uwezo wa Kubadilisha MINDSET Yako kama Kukiona Kitu Kwa Macho.

Matajiri Wengi Huwa ni Watu wa Kusafiri Mara Kwa Mara Ili Kununua Experience Inayoitwa "EXPOSURE".

Kusafiri ni Mojawapo ya Njia ya Uhakika ya Kujifunza Vitu Kwa Vitendo.

...na Sio Lazima Uende Nje ya Nchi Hata Ndani ya Nchi, Kuna Mikoa Ukienda Huwezi Kuwa Yule Yule.

Kwahiyo:

Nunua Exposure Kwa Gharama Yoyote Ile.

...Hii Pia Inaongeza CONFIDENCE na Kukufanya Ufikiri Kwa Kina Zaidi Kuhusu Biashara na Maisha Kwa Ujumla.

3. MAZINGIRA​

Ukweli Ambao Watu Wengi Hawaujui ni Kwamba:

Sisi ni Zao la Mazingira Yetu Wenyewe.

Mazingira Unayotumia Muda Mwingi Ndio Yatakayokutengeneza Wewe wa Baadae.

Ukisikia Neno MASAKI Unapata Picha ya Watu Gani Wanaoishi Huko?

Ndio Upo Sahihi... ni MATAJIRI.

Kwahiyo:

Sikwambii Ukaishi Masaki Leo Ila...

Kuwa Makini Sana na Mazingira Unayoishi na Kutumia Muda Wako Mwingi Kwasababu Yanakutengeneza Wewe wa Miaka Kadhaa Ijayo.

4. WATU​

Wote Tunajua Kwamba:

Tupo Kwenye Dunia ya Watu...na Watu Ndio Wenye Pesa Sio Vitu.

Na Hapa Sizungumzii Watu kama Watu... Nazungumzia Watu SAHIHI.

Kwasababu...

Sio Kila Mtu ni Sahihi Kwako.

Ukweli Mchungu Kuhusu Watu ni Kwamba:

"Wewe ni Wastani wa Watu 5 Unaotumia Muda Mwingi Kuwa Nao".

Mfano:

Kama Muda Wako Mwingi Unatumia Kukaa na Matajiri 9...

Basi Wewe Utakuwa Tajiri wa 10 Muda Sio Mrefu.

Hivyo Hivyo Pia kama Unatumia Muda Mwingi Kukaa na Masikini Ambao Muda Mwingi Wao ni Kulalamika na Kulaumu Serikali na Kubishana Kuhusu Simba na Yanga...Basi Tegemea Kuwa Masikini Ajaye Pia.

....Na Hii ni FACT!

Kwanini Nakwambia Yote Haya?​

Kwasababu:

Wengi Huwa Tunakuja Kushtuka Wakati Ambao Tayari ni "TOO LATE".

Tafito Zinasema:

"Watu Wengi Wanakujaga Kushtuka Kuhusu Vitu Hivi Wakiwa na Umri wa Miaka 57-69".

Wanaishia Kupata Pressure na Depression na Wengine Hata Kupoteza Maisha.

Wanakuwa Hawana Chochote Cha Kubadilisha Kutokana na Nguvu na MUDA Kuatupa Mkono.

Kwahiyo:

Epuka Kunaswa Kwenye Huo Mtego!

Hakuna Kitu Kinachoumiza Uzeeni kama MAJUTO (Regrets).

Chukua Hatua Sasahivi!

Nina Imani Makala Hii Itaenda Kumgusa Mtu Mahali.

Uwe na Mwanzo Mwema wa Wiki.

Ciao!

Your Cousin,​

Amosi Nyanda
Shukran Nyanda
 
Ukweli mchungu ni kwamba sisi ni mijitu mivivu sana katika suala zima la kuongeza maarifa kwa njia ya kujisomea vitabu! Ukitaka ugomvi na mtanzania, mwambie asome vitabu! Usome kitabu kinachohusu maisha ya tajiri wa Canada kisha uwe tajiri Tanzania😁😁😁😁😁
Uchumi wa Canada upo juu kuliko Tanzania kwahiyo kuwa tajiri Canada ni rahisi kuliko Tanzania kwasababu kuna mazingira rafiki ya mtu kupata pesa
Canada unaweza kuandika kitabu ukakiweka kwenye mtandao, watu wakanunua hicho kitabu kutoka mataifa mbalimbali kwa paypal na muandishi akapokea pesa kutoka paypal na akaitoa na kuitumia. Tanzania inawezekana kupokea pesa kutoka paypal?
Maisha siyo kusoma vitabu vya kiingereza vya nje kisha uwe tajiri Afrika
 
Inawezekana hizi nondo zote unazijua lakini hata ist huna sasa sijui unakwama wapi john kisomo.............ndio waafrika tumelogwa??........maana haya yote unayajua umeishia kumiliki I phone macho 3 basi sasa shida hiko wapi?
 
Ndugu Msomaji,

Leo Nataka Nikuibie Siri ya MATAJIRI Wengi Ambayo Hawataki Uijue Kuhusu Mafanikio.

Binafsi Siri Hii Nilijifunza 2020 Kutoka Kwa Mentor Wangu Dan Lok.

Kitu Ambacho Kilibadilisha Kabisa Mwelekeo wa Maisha Yangu Mpaka Leo.

Dan Lok Alifanya Utafiti wa Kisiri na Akagundua Kwamba:

"MATAJIRI Wote Unaowajua Wanawekeza Muda Wao na Pesa Zao Nyingi Kwenye Vitu Hivi VINNE:

  1. TAARIFA
  2. EXPOSURE (Kusafiri)
  3. MAZINGIRA
  4. WATU
Kwa Wale Ambao Hawamjui Dan Lok Huyu ni Mjasiriamali na Copywriter Mkubwa Anayeishi Vancouver-Canada.

Forbes Wanamkadiria Kuwa na Utajiri wa $80M.

Ngoja Nielezee Point Moja baada ya Nyingine Hapa Chini:

1. TAARIFA!​

Matajiri Wote Wanajua Kwamba:

Pesa Hazitafutwi Bali ZINATEGWA na Kukusanywa Kutoka Kwenye Mifuko ya Watu Wengine.

Na Kitu Peke Chenye Uwezo wa Kunasa Pesa kama Sumaku Kutoka Kwenye Mifuko ya Watu Wengine ni TAARIFA na Ujuzi.

Ndio Maana Huwezi Kumkuta Tajiri Yupo Busy na Kutafuta Hela kama Masikini.

Matajiri Wote Huwa Wapo Busy Kutafuta TAARIFA Kutoka Kwenye Vyanzo Mbali Mbali Ikiwemo:

  • Vitabu
  • Courses
  • Coaching
  • Mentorship Nk
Hakuna Tajiri Anayewaza Mara Mbili Kuwekeza Kwenye TAARIFA.

...na Ukifanya Utafiti Utakuta Kila Tajiri Ana Shelfu ya Vitabu Nyumbani Kwake...(Bookshelf).

Na Masikini Yeye Ana TV Kubwa na Yupo Busy Kutafuta Hela.

2. EXPOSURE (Kusafiri)​

Hakuna Kitu Chenye Uwezo wa Kubadilisha MINDSET Yako kama Kukiona Kitu Kwa Macho.

Matajiri Wengi Huwa ni Watu wa Kusafiri Mara Kwa Mara Ili Kununua Experience Inayoitwa "EXPOSURE".

Kusafiri ni Mojawapo ya Njia ya Uhakika ya Kujifunza Vitu Kwa Vitendo.

...na Sio Lazima Uende Nje ya Nchi Hata Ndani ya Nchi, Kuna Mikoa Ukienda Huwezi Kuwa Yule Yule.

Kwahiyo:

Nunua Exposure Kwa Gharama Yoyote Ile.

...Hii Pia Inaongeza CONFIDENCE na Kukufanya Ufikiri Kwa Kina Zaidi Kuhusu Biashara na Maisha Kwa Ujumla.

3. MAZINGIRA​

Ukweli Ambao Watu Wengi Hawaujui ni Kwamba:

Sisi ni Zao la Mazingira Yetu Wenyewe.

Mazingira Unayotumia Muda Mwingi Ndio Yatakayokutengeneza Wewe wa Baadae.

Ukisikia Neno MASAKI Unapata Picha ya Watu Gani Wanaoishi Huko?

Ndio Upo Sahihi... ni MATAJIRI.

Kwahiyo:

Sikwambii Ukaishi Masaki Leo Ila...

Kuwa Makini Sana na Mazingira Unayoishi na Kutumia Muda Wako Mwingi Kwasababu Yanakutengeneza Wewe wa Miaka Kadhaa Ijayo.

4. WATU​

Wote Tunajua Kwamba:

Tupo Kwenye Dunia ya Watu...na Watu Ndio Wenye Pesa Sio Vitu.

Na Hapa Sizungumzii Watu kama Watu... Nazungumzia Watu SAHIHI.

Kwasababu...

Sio Kila Mtu ni Sahihi Kwako.

Ukweli Mchungu Kuhusu Watu ni Kwamba:

"Wewe ni Wastani wa Watu 5 Unaotumia Muda Mwingi Kuwa Nao".

Mfano:

Kama Muda Wako Mwingi Unatumia Kukaa na Matajiri 9...

Basi Wewe Utakuwa Tajiri wa 10 Muda Sio Mrefu.

Hivyo Hivyo Pia kama Unatumia Muda Mwingi Kukaa na Masikini Ambao Muda Mwingi Wao ni Kulalamika na Kulaumu Serikali na Kubishana Kuhusu Simba na Yanga...Basi Tegemea Kuwa Masikini Ajaye Pia.

....Na Hii ni FACT!

Kwanini Nakwambia Yote Haya?​

Kwasababu:

Wengi Huwa Tunakuja Kushtuka Wakati Ambao Tayari ni "TOO LATE".

Tafito Zinasema:

"Watu Wengi Wanakujaga Kushtuka Kuhusu Vitu Hivi Wakiwa na Umri wa Miaka 57-69".

Wanaishia Kupata Pressure na Depression na Wengine Hata Kupoteza Maisha.

Wanakuwa Hawana Chochote Cha Kubadilisha Kutokana na Nguvu na MUDA Kuatupa Mkono.

Kwahiyo:

Epuka Kunaswa Kwenye Huo Mtego!

Hakuna Kitu Kinachoumiza Uzeeni kama MAJUTO (Regrets).

Chukua Hatua Sasahivi!

Nina Imani Makala Hii Itaenda Kumgusa Mtu Mahali.

Uwe na Mwanzo Mwema wa Wiki.

Ciao!

Your Cousin,​

Amosi Nyanda
Utajiri haupatikani kwa kusoma vitabu vya kiingereza vilivyoandikwa nje kisha uwe tajiri Africa😁😁😁😁
Uchumi wa Canada ni mkubwa kuliko Tanzania hata mazingira ya kiuchumi Canada ni rafiki ya kuwa tajiri.
Mfano. Mtu anaishi Canada ni programmer, anaweza kutengeneza program au application akaiuza duniani na akapokea pesa kutoka paypal. Hapa Tanzania unaweza kupokea pesa kutoka paypal?
Utajiri haufundishwi kwasababu hata wewe pamoja na kusoma vitabu ukaishia kuwa masikini
 
Narudia hakuna jamii zilizoendelea na kustaarabika bila kusoma, hata huyo Nala amesoma vitabu ili kuelewa jinsi ya kuendesha biashara zake. Matajiri wengi wanaajiri experts ambao ni wasomi ili waweze kuwashauri kitaalamu. Ukimuangalia hata Elon Musk vitu vyake vingi vinahitaji akili na kusoma sanaa maana vingi ni science based. Sasa tukirudi kwenye maisha yetu ya kila siku kuanzia kula, kuvaa, kufanya kazi, kilimo, mifugo etc vyote vinefanyiwa tafiti na viko kwenye vitabu. Huna haja ya kusumbua watu kama akina prof Janabi na wengine kupoteza muda kuwaambia daily madhara ya kula hovyo, kunywa pombe hovyo, njia bora za kilimo, kufuga nk vyote hivi viko kwenye vitabu na tafiti mbalimbali. Juzi Mhe Rais akiwa mikoa ya Katavi na Rukwa amekuta tatizo kubwa la utapiamlo wakati mikoa hiyo inaongoza kuzalisha chakula, pia amekuta mahospitalini wanaojifungua ni vitoto miaka 17 , yaani mtoto ana mtoto. Hii yote ni tatizo la elimu, watu hawana maarifa na hawataki kusoma na kujifunza. Ndiyo nikasema huko Scandinavian huwezi kukuta haya mambo kwa sababu jamii imeelimika na inapenda kusoma na kujielimisha zaidi. Hata huko Kenya hawa Gen Z wanaomnyima usingizi Ruto ni wasomi wazuri sana na wanajua their rights.
Upo sahihi ila relevance ndio inakosekana, kiufupi njia za kuwa tajiri Tanzania ziko clear kabisa na miongoni mwa hizo njia kusoma vitabu sio mojawapo. Ntakutajia chache tu.

1.Kuwa na kipaji kikubwa cha sanaa ama michezo hasa mpira na muziki. Kupitia sanaa hizo na mikataba ya matangazo wengi hutajirika.

2.Kujihusisha na shughuli za kisiasa mfano uwe mbunge, waziri n.k kutumia wadhifa huo kujitajirisha.

3.Kujihusisha na biashara mbalimbali ila uwe mzuri kwenye utakatishaji fedha, utapeli, ukwepaji kodi na kutoa rushwa kwa mamlaka mbalimbali.

4.Kufungua makanisa ya kiroho na kutumia nguvu za ziada kuvuta watu kwa miujiza na shuhuda na kuwakamua pesa zao. Kutumiwa na matajiri kutakatisha fedha.

5.Kuanzisha miradi mikubwa na kuvuta investors kwenye mradi kisha kuwatapeli. Mf mr kuku, kilimo cha vanilla, mradi wa nguruwe.

Zipo nyingi ila hizo ni top five models
 
Maskini hujifanya kuwajua sana matajiri kumbe h

Rudia kuusoma tena huo uzi, amekwambia mentor wake ambae ni Dan anaekadiriwa Kuwa na Utajiri wa $80M amefanya utafiti then hizo data kaamua kushare na hao clients wake na katika hao client wake huyo bwana aliyeleta uzi nae yumo ndani.
Ninachojua ni kwamba matajiri hawana muda wa kupiga huo umbea😎🚮
 
Back
Top Bottom