Uzuri zari hua anaweka matukio yake wazi. Hiyo miaka yupo na Ivan na wana mtoto mmoja, Ivan alikua kapauka zari anawaka.
Enzi hizo wote wamechalala. Kama uCEO wa hizo college alikua nao tangu marehemu Ivan yupo hai. Maisha yake ndivyo yako hivyo siku zote. Hata asisingiziwe urithi
Mtandale hapa asilalame maana kapigwa hela ya chips mayai tu sema endelevu. Eti nimegoma sipeleki hela ya matumizi,asubiri sammans tu na kulipa kwa mkupuo. Mpk wale watoto wako 18 sijui atakua anaimba nini na kisheria Zari anachukua chake kila mwezi,nafwa mama nangai.
Eti mwanasheria wangu,hao malowyar wasomi wa kubip watashindana na ma lawyer wa South,kwanza lugha tu itabidi lifunguliwe darasa pale.
we tulia dogo hapo umeingia choo cha kiume na kike sikilizia sindano tu.
Zari anakwambia "Success isn't Sexually Transmitted". Mtu hafanyi kaz anabaki akisema zari anadanga kimataifa. Danga na wewe kama rahis anza kitaifa halafu uende kimataifa[emoji28][emoji28][emoji28]Ebu waambie walioanza kumjua zari juzi ***** , wenyewe wanakumbilia kuzaa bila kutumia akili wanaambulia rented house and old Toyota , zari is a mafia , she doesn't go leba for nothing
Niliwai kuongea hili zamani km huyu dogo atapigwa pesa ndefu tu na kubwagwa.
That bitch,toka alipochomoka kipindi Ivan yuko hoi kaenda benet i jino kwa jino akacheza makaratee akalamba urithi wote.
Nikaona mtandale hapa akae sawa.
Hivi jf ina slay queens ?
Yaani watanzania ndo tulivyo,mbongo hata akiwa sehemu akutane tu na Mmalawi utasikia,hey,siyo mbongo ni Mmalawi,basi ndo atampandisha utadhani bongo hakuna watuTatizo kile kiingereza anachoongea Zari kinawachanganya wabongo
Desmis ndio nani ?wapo wengi sana akina desmis
Vita mbaya hii ni kuiangalia tu kama huijuiHapa naona mashabiki kindaki ndaki wanachuana[emoji23]
mi huwa inanikera zaidi pale unapokuta lugha zote anazotumia zinampiga ugokoHakuna kitu sikipendi kama mtu anandika anachanganya kingereza na kiswahili
Kama umeamua kiswahili kiswahili kingereza kingereza..
unaweza kuta alimgaia hadi KIFESI bwahahahahkikubwa tulichokijua leo ni kuwa Zari ni mdangaji na sio boss ledi kama tulivyoaminishwa!yani anagawa kama pipi adi kwa trainer [emoji3]!mambo ya nyumba watajuana wenyewe
angekuwa na documents vile anapenda kujionyesha aisee tungekuwa wote tushasambaziwa kopi ila hana 'POP' inafanya kaziMond kasema documents zote anazo,huyo malaya na yeye aonyeshe document zake kama kweli anashare....."BITCH IS DYING FOR SHAME"
No hujanielewa,Ni sawa kabisa Zari kuchukua chake mapema.Kamzalia watoto kwanini asinunuliwe nyumba? Au Ulitaka watoto wa Dee warithi tu mali alizochuma na marehemu!! Yaani angekuwa anafikia kwenye nyumba za Zari na Ivan!! Pia aendelee nae huku analala na wanawake wengine.. hujui kuna magonjwa na mikosi maishani!! Acha wivu.. harusi yake wiki hii.
angekuwa na documents vile anapenda kujionyesha aisee tungekuwa wote tushasambaziwa kopi ila hana 'POP' inafanya kazi
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3]leo mmeumbuliwa minions....mbona kulala na trainer!!!
Hamisa kaingiaje sasaa...[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]unaumwa na Hamisa kuliko maisha yako binamu!!!!muache Hamisa watu bwana hana time na mtu
Zari ana hela,tajiri Sijui nini....aonyeshe nyumba yake sasa....!!!tuone
Pyeerreeeee....minions poleni
Ile nyumba ya Diamond . Zali angepata wapi hela ya kununulia nyumba. Nyumba ni ya diamond Ila kwasababu wanaishi watoto wake atafanya nini . Hana la kufanya .
Zari bosslday? Hebu nitajieni biashara 3 za Zari mnazozijua?
Yule ni mdangaji tu. Ila ni international level. Super classic malaya.
unafungua lini shule? darasa la saba mjiandae na mitihani sasa khaaa!