warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
- Thread starter
- #241
Uzuri zari hua anaweka matukio yake wazi. Hiyo miaka yupo na Ivan na wana mtoto mmoja, Ivan alikua kapauka zari anawaka.
Enzi hizo wote wamechalala. Kama uCEO wa hizo college alikua nao tangu marehemu Ivan yupo hai. Maisha yake ndivyo yako hivyo siku zote. Hata asisingiziwe urithi
Ebu waambie walioanza kumjua zari juzi ***** , wenyewe wanakumbilia kuzaa bila kutumia akili wanaambulia rented house and old Toyota , zari is a mafia , she doesn't go leba for nothing