Siri nzito iliyofichika kwa Prof. Assad (CAG aliyepita)

Siri nzito iliyofichika kwa Prof. Assad (CAG aliyepita)

Umeandika upuuzi,CAG ndiye aliyeonesha kuwa 1.5 T zilitumika kinyume na bajeti iliyopangwa na bunge!Ikumbukwe CAG hukagua matumizi ya fedha yaliyoidhinishwa na bunge!
Sasa unaposema Zitto ndiye aliyemwambia CAG juu ya 1.5T,unakuwa na maana gani kama sio uzuzu?Kwani Mkaguzi ni Zitto au CAG!
Mkuu usipoteze ATP zako kwa hao mapopoma
 
Nilishangaa sana CAG alivyoenda Marekani na kuanza kuzungumzia home affairs. Lengo lake haswa lilikuwa nini? Kwa nini hakuyasema hayo akiwa ndani?

Huko ni kuwa mbumbumbu katika kichwa chako; kwani kuna tofauti gani akisemea ndani ya nchi na nje ya nchi? Akisemea ndani ya nchi taarifa haziwafikii walio nje ya nchi? Hayo mnayosema alikashifu nchi akiwa UNO ni mambo ya msingi ambayo Jiwe angezingatia yangemsaidia kujenga nchi yenye kuwa na maendeleo ya muda mrefu!!!

Huwezi kuleta sustainable development kama huna taasisi zenye nguvu na imara. JIWE ajue kuwa bila kuwa na taasisi imara hiyo miradi yake mikubwa itatekelezeka iwapo tu yeye atakuwepo otherwise bila uwepo wake na kutokuwa na strong institutions hii miradi itawekwa kando kama yeye alivyoiweka kando miradi ya mtangulizi wake [ Bagamoyo Port]!!! To leave a legacy you have to build strong INSTITUTIONS!!!!!
 
Izo 1.5 T zimebaki propaganda mitandaoni lakini pale Bungeni walishindwa kuthibitisha, Zitto alitaka kujaribu kutumia ripoti ya CAG kumchafua JPM lakini alishindwa vibaya pale Bungeni. JPM yuko vizuri na mzarendo Halisi kutokea katika familia za kawaida kabisa.
Masikini..🥺🥺🥺
 
View attachment 1254412
Prof Assad alitumika kimkakati kuidhoofisha serikali ya Rais Magufuli hakuwa mzalendo kama ambavyo wengi waliaminishwa. Juma Assad (Personal) aliamua kukitumia kitu chake cha kuwa CAG Katika kutekeleza mipango mikakati ya wanasiasa na ndiye mtu pekee aliyebakia kama target muhimu ya kuibua mijadala iliyobeba chini, unafiki na uzandiki dhidi ya Rais Magufuli, nyuma yake watendaji wote waliokuwa Katika Ofisi ya CAG hawamuungi mkono na 90% ya wafanyakazi Katika Ofisi ya CAG walisusia pia kumpa ushirikiano wa kiutendaji kwa sababu alikuwa habebi maazimio ya Ofisi ya CAG bali alikuwa anabena maazimio ya Prof Juma Assad na genge la boss wake aliyemteua.

Nani asiyefaham kuwa Zitto Kabwe ndie aliyempelekea ile hoja (ya kipumbavu) juu ya 1.5T? Nani asiye fahamu kuwa wakati Bunge wameingia kwenye mgogoro na Prof Assad yeye pia alikuwa na genge lake likiingozwa na Maalim Seif, Zitto Kabwe, Jusa wakitaka kuwaaminisha watanzania kuwa kuna pesa zimeibiwa? Nani asiyefahamu kuwa wakati wa mgogoro ule ambao spika Ndugai alisema wazi hatoshirikiana na Prof Assad ila atashirikiana na Ofisi ya CAG, Ofisi ya CAG nilitoa ushirikiano 100% kwa bunge hadi kupelekea Prof Assad kuitisha kikao cha siri akoshusha shutuma dhidi ya watendaji walioko chini yake Katika Ofisi ya CAG??

Anasema yupo nje kikazi? Hayupo nje kikazi baada ya hii taarifa ya Leo ambayo #Kigogo hakuipata imepelekea kutoka tension na wapo Katika kikao Kizito hapa hapa Dar es salaam Kabla ya kuelekea Pemba/Mombasa ambapo huko Zitto Kabwe, Fatuma Karume, Jusa na magenge yao wanamuandalia hoja za kisiasa kuja kijitetea Katika hili tunamngoja aje hamtoamini atailaani siku aliyozaliwa na mwanamke its matter of time!
Zwazwa hovyo
 
View attachment 1254412
Prof Assad alitumika kimkakati kuidhoofisha serikali ya Rais Magufuli hakuwa mzalendo kama ambavyo wengi waliaminishwa. Juma Assad (Personal) aliamua kukitumia kitu chake cha kuwa CAG Katika kutekeleza mipango mikakati ya wanasiasa na ndiye mtu pekee aliyebakia kama target muhimu ya kuibua mijadala iliyobeba chini, unafiki na uzandiki dhidi ya Rais Magufuli, nyuma yake watendaji wote waliokuwa Katika Ofisi ya CAG hawamuungi mkono na 90% ya wafanyakazi Katika Ofisi ya CAG walisusia pia kumpa ushirikiano wa kiutendaji kwa sababu alikuwa habebi maazimio ya Ofisi ya CAG bali alikuwa anabena maazimio ya Prof Juma Assad na genge la boss wake aliyemteua.

Nani asiyefaham kuwa Zitto Kabwe ndie aliyempelekea ile hoja (ya kipumbavu) juu ya 1.5T? Nani asiye fahamu kuwa wakati Bunge wameingia kwenye mgogoro na Prof Assad yeye pia alikuwa na genge lake likiingozwa na Maalim Seif, Zitto Kabwe, Jusa wakitaka kuwaaminisha watanzania kuwa kuna pesa zimeibiwa? Nani asiyefahamu kuwa wakati wa mgogoro ule ambao spika Ndugai alisema wazi hatoshirikiana na Prof Assad ila atashirikiana na Ofisi ya CAG, Ofisi ya CAG nilitoa ushirikiano 100% kwa bunge hadi kupelekea Prof Assad kuitisha kikao cha siri akoshusha shutuma dhidi ya watendaji walioko chini yake Katika Ofisi ya CAG??

Anasema yupo nje kikazi? Hayupo nje kikazi baada ya hii taarifa ya Leo ambayo #Kigogo hakuipata imepelekea kutoka tension na wapo Katika kikao Kizito hapa hapa Dar es salaam Kabla ya kuelekea Pemba/Mombasa ambapo huko Zitto Kabwe, Fatuma Karume, Jusa na magenge yao wanamuandalia hoja za kisiasa kuja kijitetea Katika hili tunamngoja aje hamtoamini atailaani siku aliyozaliwa na mwanamke its matter of time!
Hizo porojo tu
 
View attachment 1254412
Prof Assad alitumika kimkakati kuidhoofisha serikali ya Rais Magufuli hakuwa mzalendo kama ambavyo wengi waliaminishwa. Juma Assad (Personal) aliamua kukitumia kitu chake cha kuwa CAG Katika kutekeleza mipango mikakati ya wanasiasa na ndiye mtu pekee aliyebakia kama target muhimu ya kuibua mijadala iliyobeba chini, unafiki na uzandiki dhidi ya Rais Magufuli, nyuma yake watendaji wote waliokuwa Katika Ofisi ya CAG hawamuungi mkono na 90% ya wafanyakazi Katika Ofisi ya CAG walisusia pia kumpa ushirikiano wa kiutendaji kwa sababu alikuwa habebi maazimio ya Ofisi ya CAG bali alikuwa anabena maazimio ya Prof Juma Assad na genge la boss wake aliyemteua.

Nani asiyefaham kuwa Zitto Kabwe ndie aliyempelekea ile hoja (ya kipumbavu) juu ya 1.5T? Nani asiye fahamu kuwa wakati Bunge wameingia kwenye mgogoro na Prof Assad yeye pia alikuwa na genge lake likiingozwa na Maalim Seif, Zitto Kabwe, Jusa wakitaka kuwaaminisha watanzania kuwa kuna pesa zimeibiwa? Nani asiyefahamu kuwa wakati wa mgogoro ule ambao spika Ndugai alisema wazi hatoshirikiana na Prof Assad ila atashirikiana na Ofisi ya CAG, Ofisi ya CAG nilitoa ushirikiano 100% kwa bunge hadi kupelekea Prof Assad kuitisha kikao cha siri akoshusha shutuma dhidi ya watendaji walioko chini yake Katika Ofisi ya CAG??

Anasema yupo nje kikazi? Hayupo nje kikazi baada ya hii taarifa ya Leo ambayo #Kigogo hakuipata imepelekea kutoka tension na wapo Katika kikao Kizito hapa hapa Dar es salaam Kabla ya kuelekea Pemba/Mombasa ambapo huko Zitto Kabwe, Fatuma Karume, Jusa na magenge yao wanamuandalia hoja za kisiasa kuja kijitetea Katika hili tunamngoja aje hamtoamini atailaani siku aliyozaliwa na mwanamke its matter of time!
Mkuu, chema chajiuza na kibaya hujitembeza. Prof. Assad amehudumu ktk nafasi pasipokuwa na chembe ya mashaka juu ya uadilifu na weledi wake. Natambua chuki yote dhidi yake ni pale alipokataa kuuficha udhaifu na ubadhirifu uliokuwepo ktk hesabu za serikali.

Ni kwa mara ya kwanza ktk historia ya uongozi wa nchi yetu, tumeshuhudia vitu kwa makusudi kabisa vikihamishiwa ktk "Vote 20" ktk kutafuta kuuficha uchi wa kuku uliokuwa unakabiliwa na hofu ya kuanikwa hadharani na upepo mkali.

Tuache kujificha ktk sababu zenye kubabaisha, chuki dhidi yake ilikuwa ni kwa sababu ya ucha Mungu wake, imani ya dini yake ya Kislamu, umahiri wake, ukweli wake na kujitenga na makundi yenye kufanya hila na ubadhirifu wa rasilimali za taifa.
 
View attachment 1254412
Prof Assad alitumika kimkakati kuidhoofisha serikali ya Rais Magufuli hakuwa mzalendo kama ambavyo wengi waliaminishwa. Juma Assad (Personal) aliamua kukitumia kitu chake cha kuwa CAG Katika kutekeleza mipango mikakati ya wanasiasa na ndiye mtu pekee aliyebakia kama target muhimu ya kuibua mijadala iliyobeba chini, unafiki na uzandiki dhidi ya Rais Magufuli, nyuma yake watendaji wote waliokuwa Katika Ofisi ya CAG hawamuungi mkono na 90% ya wafanyakazi Katika Ofisi ya CAG walisusia pia kumpa ushirikiano wa kiutendaji kwa sababu alikuwa habebi maazimio ya Ofisi ya CAG bali alikuwa anabena maazimio ya Prof Juma Assad na genge la boss wake aliyemteua.

Nani asiyefaham kuwa Zitto Kabwe ndie aliyempelekea ile hoja (ya kipumbavu) juu ya 1.5T? Nani asiye fahamu kuwa wakati Bunge wameingia kwenye mgogoro na Prof Assad yeye pia alikuwa na genge lake likiingozwa na Maalim Seif, Zitto Kabwe, Jusa wakitaka kuwaaminisha watanzania kuwa kuna pesa zimeibiwa? Nani asiyefahamu kuwa wakati wa mgogoro ule ambao spika Ndugai alisema wazi hatoshirikiana na Prof Assad ila atashirikiana na Ofisi ya CAG, Ofisi ya CAG nilitoa ushirikiano 100% kwa bunge hadi kupelekea Prof Assad kuitisha kikao cha siri akoshusha shutuma dhidi ya watendaji walioko chini yake Katika Ofisi ya CAG??

Anasema yupo nje kikazi? Hayupo nje kikazi baada ya hii taarifa ya Leo ambayo #Kigogo hakuipata imepelekea kutoka tension na wapo Katika kikao Kizito hapa hapa Dar es salaam Kabla ya kuelekea Pemba/Mombasa ambapo huko Zitto Kabwe, Fatuma Karume, Jusa na magenge yao wanamuandalia hoja za kisiasa kuja kijitetea Katika hili tunamngoja aje hamtoamini atailaani siku aliyozaliwa na mwanamke its matter of time!
Naona tayari yuko Kenya na mzee mwenzake wa Woolworth, huyu mzee bana, si atulie tu aendelee na shughuli zake.
 
View attachment 1254412
Prof Assad alitumika kimkakati kuidhoofisha serikali ya Rais Magufuli hakuwa mzalendo kama ambavyo wengi waliaminishwa. Juma Assad (Personal) aliamua kukitumia kitu chake cha kuwa CAG Katika kutekeleza mipango mikakati ya wanasiasa na ndiye mtu pekee aliyebakia kama target muhimu ya kuibua mijadala iliyobeba chini, unafiki na uzandiki dhidi ya Rais Magufuli, nyuma yake watendaji wote waliokuwa Katika Ofisi ya CAG hawamuungi mkono na 90% ya wafanyakazi Katika Ofisi ya CAG walisusia pia kumpa ushirikiano wa kiutendaji kwa sababu alikuwa habebi maazimio ya Ofisi ya CAG bali alikuwa anabena maazimio ya Prof Juma Assad na genge la boss wake aliyemteua.

Nani asiyefaham kuwa Zitto Kabwe ndie aliyempelekea ile hoja (ya kipumbavu) juu ya 1.5T? Nani asiye fahamu kuwa wakati Bunge wameingia kwenye mgogoro na Prof Assad yeye pia alikuwa na genge lake likiingozwa na Maalim Seif, Zitto Kabwe, Jusa wakitaka kuwaaminisha watanzania kuwa kuna pesa zimeibiwa? Nani asiyefahamu kuwa wakati wa mgogoro ule ambao spika Ndugai alisema wazi hatoshirikiana na Prof Assad ila atashirikiana na Ofisi ya CAG, Ofisi ya CAG nilitoa ushirikiano 100% kwa bunge hadi kupelekea Prof Assad kuitisha kikao cha siri akoshusha shutuma dhidi ya watendaji walioko chini yake Katika Ofisi ya CAG??

Anasema yupo nje kikazi? Hayupo nje kikazi baada ya hii taarifa ya Leo ambayo #Kigogo hakuipata imepelekea kutoka tension na wapo Katika kikao Kizito hapa hapa Dar es salaam Kabla ya kuelekea Pemba/Mombasa ambapo huko Zitto Kabwe, Fatuma Karume, Jusa na magenge yao wanamuandalia hoja za kisiasa kuja kijitetea Katika hili tunamngoja aje hamtoamini atailaani siku aliyozaliwa na mwanamke its matter of time!
Wehu au?? Hebu tutokee hapa!!
 
Unatumika kama mpira,subiri wamalizie kazi kama watakujua tena!
 
Akili za kushikiwa hizi,hapo babake aliuza ng'ombe ili apeleke ng'ombe mwingine shuleni
Umeandika upuuzi,CAG ndiye aliyeonesha kuwa 1.5 T zilitumika kinyume na bajeti iliyopangwa na bunge!Ikumbukwe CAG hukagua matumizi ya fedha yaliyoidhinishwa na bunge!
Sasa unaposema Zitto ndiye aliyemwambia CAG juu ya 1.5T,unakuwa na maana gani kama sio uzuzu?Kwani Mkaguzi ni Zitto au CAG!
 
View attachment 1254412
Prof Assad alitumika kimkakati kuidhoofisha serikali ya Rais Magufuli hakuwa mzalendo kama ambavyo wengi waliaminishwa. Juma Assad (Personal) aliamua kukitumia kitu chake cha kuwa CAG Katika kutekeleza mipango mikakati ya wanasiasa na ndiye mtu pekee aliyebakia kama target muhimu ya kuibua mijadala iliyobeba chini, unafiki na uzandiki dhidi ya Rais Magufuli, nyuma yake watendaji wote waliokuwa Katika Ofisi ya CAG hawamuungi mkono na 90% ya wafanyakazi Katika Ofisi ya CAG walisusia pia kumpa ushirikiano wa kiutendaji kwa sababu alikuwa habebi maazimio ya Ofisi ya CAG bali alikuwa anabena maazimio ya Prof Juma Assad na genge la boss wake aliyemteua.

Nani asiyefaham kuwa Zitto Kabwe ndie aliyempelekea ile hoja (ya kipumbavu) juu ya 1.5T? Nani asiye fahamu kuwa wakati Bunge wameingia kwenye mgogoro na Prof Assad yeye pia alikuwa na genge lake likiingozwa na Maalim Seif, Zitto Kabwe, Jusa wakitaka kuwaaminisha watanzania kuwa kuna pesa zimeibiwa? Nani asiyefahamu kuwa wakati wa mgogoro ule ambao spika Ndugai alisema wazi hatoshirikiana na Prof Assad ila atashirikiana na Ofisi ya CAG, Ofisi ya CAG nilitoa ushirikiano 100% kwa bunge hadi kupelekea Prof Assad kuitisha kikao cha siri akoshusha shutuma dhidi ya watendaji walioko chini yake Katika Ofisi ya CAG??

Anasema yupo nje kikazi? Hayupo nje kikazi baada ya hii taarifa ya Leo ambayo #Kigogo hakuipata imepelekea kutoka tension na wapo Katika kikao Kizito hapa hapa Dar es salaam Kabla ya kuelekea Pemba/Mombasa ambapo huko Zitto Kabwe, Fatuma Karume, Jusa na magenge yao wanamuandalia hoja za kisiasa kuja kijitetea Katika hili tunamngoja aje hamtoamini atailaani siku aliyozaliwa na mwanamke its matter of time!
Tiririka mkuu
 
mimi sikusoma ujinga wako kama uko karibu niambie umeandika nini?
 
View attachment 1254412
Prof Assad alitumika kimkakati kuidhoofisha serikali ya Rais Magufuli hakuwa mzalendo kama ambavyo wengi waliaminishwa. Juma Assad (Personal) aliamua kukitumia kitu chake cha kuwa CAG Katika kutekeleza mipango mikakati ya wanasiasa na ndiye mtu pekee aliyebakia kama target muhimu ya kuibua mijadala iliyobeba chini, unafiki na uzandiki dhidi ya Rais Magufuli, nyuma yake watendaji wote waliokuwa Katika Ofisi ya CAG hawamuungi mkono na 90% ya wafanyakazi Katika Ofisi ya CAG walisusia pia kumpa ushirikiano wa kiutendaji kwa sababu alikuwa habebi maazimio ya Ofisi ya CAG bali alikuwa anabena maazimio ya Prof Juma Assad na genge la boss wake aliyemteua.

Nani asiyefaham kuwa Zitto Kabwe ndie aliyempelekea ile hoja (ya kipumbavu) juu ya 1.5T? Nani asiye fahamu kuwa wakati Bunge wameingia kwenye mgogoro na Prof Assad yeye pia alikuwa na genge lake likiingozwa na Maalim Seif, Zitto Kabwe, Jusa wakitaka kuwaaminisha watanzania kuwa kuna pesa zimeibiwa? Nani asiyefahamu kuwa wakati wa mgogoro ule ambao spika Ndugai alisema wazi hatoshirikiana na Prof Assad ila atashirikiana na Ofisi ya CAG, Ofisi ya CAG nilitoa ushirikiano 100% kwa bunge hadi kupelekea Prof Assad kuitisha kikao cha siri akoshusha shutuma dhidi ya watendaji walioko chini yake Katika Ofisi ya CAG??

Anasema yupo nje kikazi? Hayupo nje kikazi baada ya hii taarifa ya Leo ambayo #Kigogo hakuipata imepelekea kutoka tension na wapo Katika kikao Kizito hapa hapa Dar es salaam Kabla ya kuelekea Pemba/Mombasa ambapo huko Zitto Kabwe, Fatuma Karume, Jusa na magenge yao wanamuandalia hoja za kisiasa kuja kijitetea Katika hili tunamngoja aje hamtoamini atailaani siku aliyozaliwa na mwanamke its matter of time!
makuu.....CAG ndo kaweka wazii kuhusu 1.5tr
 
Mtoa mada, sio lazima kila mtu ajue wewe ni mpumbavu kiasi gani.
 
Shida kubwa waliyonayo ccm ni kwamba hawapendi kuambiwa ukweli kuwa wao ni wezi wakubwa waliolifitini taifa hili kwa mihongo kadhaa
To be honest,Kuna wakati nikiwaza tulivyojazwa upepo kuhusu gesi nabaki na aahhhaaa,ukoo wa majizi kamwe haufutiki
 
Unaonekana kama ulilazimishwa kuandika ama uliandika kwasababu utalipwa baada ya kuweka hili bandiko. Kiufupi umeweka kitu famba mnooo
 
Uko sahihi 100%, huyu CAG alikuwa anajimwambafai sana. Alikuwa anaona km yeye ni msomi kuliko watanzania wote, mwadilifu kuliko watanzania wote!!

Amejitakia mwenyewe kutumbuliwa, nini kilimfanya ahoji lisiti ya manunuzi ya ndege na lisiti za 2.5 T.
 
Back
Top Bottom