Siri nzito iliyofichika kwa Prof. Assad (CAG aliyepita)

Siri nzito iliyofichika kwa Prof. Assad (CAG aliyepita)

Chakaza,

Inatia sana huruma kumuona mtu anakuja na shutuma dhidi ya kiongozi aliyepita ambae alikuwa akifanya kazi kubwa ya kutazama serikali...yaani ni bora CAG akute ufisadi halmashauri ila kama kuna makosa serikali kuu basi atulie...muda mwingine unashindwa kuelewa huyu anaandika ni mtanzania kweli ,kama n mtanzania anaishi wapi ?

Mtu anajikunja kuandika vitu vya hovyo kisa tu anatetea maslahi ya Rais...madudu CAG aliyoyaibua yalifanya baadhi ya WAKURUGENZ wa Halmashauri kuondolewa na mtu huyo huyo ambae n mkali kwa watumishi wafujaji fedha Ila akiguswa yeye anajiona Mungu mtu kwamba hajawai kukosea.....Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu..
 
Kuna watu wana muda wa kutosha, yaani pumba zooote hizi kazitengea muda wake mzuuuri wa kuziandaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Izo 1.5 T zimebaki propaganda mitandaoni lakini pale Bungeni walishindwa kuthibitisha, Zitto alitaka kujaribu kutumia ripoti ya CAG kumchafua JPM lakini alishindwa vibaya pale Bungeni. JPM yuko vizuri na mzarendo Halisi kutokea katika familia za kawaida kabisa.

Hata kama unalipwa 7000
Basi ficha upuuzi wako.
Sawa 1.5t wapi?
Kijana hilo tumbo litakupoteza
 
Bora nikacheki Thread za Kiduku Lilo kuliko huu upuuzi..
 
Hivi mbona issue nyingi sana anasingiziwa Zitto ndio yupo nyuma? Yaani Zitto ndio awe anaendesha ofisi ya CAG?
Hao book 7 wanafikili wameshaiangusha Chadema sasa iliobaki tishio ni ACT ndo wanamuandama Zitto na akili za kutumika
 
Huyu mzee mumuache apumzike, si ofisi yenu kaikabidhi...mwamtakia nini tena. Hao staff walikua hawamuungi mkono ni akina nani? Maana miezi mitatu iliyopita nami nilikua staff huko ila sikuuona huo ushirikiano tuliomnyima sasa wewe uliuona wapi? Tuache kuchafua watu kwa hoja za kijinga na kipumbavu.
Asante sana Proff Assad, Karibu sana CPA Charless Kichere.
 
Watumishi tupo wengi sana muda ndio utakaoongea..........mimi nina usemi wangu kua hii ni zamu yao.
 
Mungu akuweke hai uje utoe ushuhuda kama huu baada ya JPM "kuwekwa pembeni"
 
Hao book 7 wanafikili wameshaiangusha Chadema sasa iliobaki tishio ni ACT ndo wanamuandama Zitto na akili za kutumika
Yaani bora wangefuta vyama vingi kibakie CCM tu wafanye siasa wanavyotaka wao.
 
Papaa Muu, Inawezekana ikawa kweli
IMG-20191105-WA0027.jpeg
 
Back
Top Bottom