Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata zama za Naibu Rais Daud Bashite na mtukufu ipo siku zitafika ingawa juzi Moshi wa Ruangwa uliwapa fundisho mpaka kuita madaktari toka North korea kuja kumpima afya yakeMuache atumike nadhani yeye atakuwa siyo msemaji Tena lakini zama zake zimeisha leo
Izo 1.5 T zimebaki propaganda mitandaoni lakini pale Bungeni walishindwa kuthibitisha, Zitto alitaka kujaribu kutumia ripoti ya CAG kumchafua JPM lakini alishindwa vibaya pale Bungeni. JPM yuko vizuri na mzarendo Halisi kutokea katika familia za kawaida kabisa.
hii ndiyo sababu ya msingi ya kumtoa CAG ofisini
Nilishangaa sana CAG alivyoenda Marekani na kuanza kuzungumzia home affairs. Lengo lake haswa lilikuwa nini? Kwa nini hakuyasema hayo akiwa ndani?
Naunga mkono hoja yako kwa 100% CCM ni le ile ukoo wa panyaAmeshayasema sana hapa ndani, ni hatua gani zimechukuliwa? Jiwe na genge lake ni wapiganaji hivyo hawawezi kushirikiana na mtu muadilifu.
We Ungekuwa karibu ungechezea vitasa tusawa mimi ni fala lakini wewe ni fala zaidi yangu
Alaaaa
Kama ni MZARENDO, basi sawa.Izo 1.5 T zimebaki propaganda mitandaoni lakini pale Bungeni walishindwa kuthibitisha, Zitto alitaka kujaribu kutumia ripoti ya CAG kumchafua JPM lakini alishindwa vibaya pale Bungeni. JPM yuko vizuri na mzarendo Halisi kutokea katika familia za kawaida kabisa.
hii ndiyo sababu ya msingi ya kumtoa CAG ofisini
Nyinyi wenye akili mbona mna panick hovyo?Ujinga tu ndiyo unawaongoza otherwise mlitakiwa kusoma katiba na kuielewa.