Siri nzito iliyofichika kwa Prof. Assad (CAG aliyepita)

Siri nzito iliyofichika kwa Prof. Assad (CAG aliyepita)

Agenda ya ufisadi Tz haipo tena? Huyu ex sieji kafichua mambo mengi tu,aaah hii Tz ni ileile tu ila kila awamu inawanufaika wake

kazi ya upinzani ni nini? Tambua kazi ya upinzani ni kuikosoa Serikali kuanzia vitu vidogo kiki matukio makubwa madogo, mapungufu yote hawatakiwi kuacha kitu, usiwapangie cha kukosoa ajenda za ufisadi zipo ndiyo maana wanahoji ununuzi wa Ndege kwa cash kifisadi, Tilion 1.5, ujenzi wa chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge, 10% kwenye madini na miradi yote mikubwa.
 
Kwamba CAG akakagua mahesabu lakini hakugundua upotevu wa 1.5T TZS mpaka Zitto alipompelekea!!! Huu ujinga wenu muongee na wale mnaofananao mavazi na akili

CCM wamemwajiri kilaza mbumbumbu mmoja anaitwa Joseph yona ni jina Bandia huyo jamaa ni mjinga haijapata kutokea Duniani ndiye yupo busy kutengeneza hizi propaganda za kishamba shamba toka kolomije.
 
Watetezi wa CCM mjipange vizuri huu wakati siyo wa kuleta propaganda za kijinga jinga watanzania wameamka hawataki ujinga ujinga wenu
 
Acha ubwege kazi ya upinzani ni nini? Tambua kazi ya upinzani ni kuikosoa Serikali kuanzia vitu vidogo kiki matukio makubwa madogo, mapungufu yote hawatakiwi kuacha kitu, lusiwapangie cha kukosoa ajenda za ufisadi zipo ndiyo maana wanahoji ununuzi wa Ndege kwa cash kifisadi, Tilion 1.5, ujenzi wa chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge, 10% kwenye madini na miradi yote mikubwa.
Asante kwa kejeri yako ila uelewa wako ni mdogo sana maana unashindwa kuielewa vitu vidogo sana
 
Tusihangaike sana. Mbona sisi tupo na tunaendesha maisha bila kuwa ma CAG. Akija mitaani, atafanya kazi zingine kama sisi lisiwasumbue mpaka munashindwa kula. Take it simple however much tutaongea ameshachaguliwa mtu mwingine.Tugange yajayo.
 
Asante kwa kejeri yako ila uelewa wako ni mdogo sana maana unashindwa kuielewa vitu vidogo sana
Yaani wewe kuvuta Bangi hapo ghetto ndiyo unajiona una uelewa mkubwa? Ebu tuoneshe mfano mmoja tu wa upeo wako mkubwa tuone
 
N
Yaani wewe kuvuta Bangi hapo ghetto ndiyo unajiona una uelewa mkubwa? Ebu tuoneshe mfano mmoja tu wa upeo wako mkubwa tuone
Apoteza muda bure kubishana na mjinga,haya sieji kachere tutaona kama atakuwa na jipya la kumzidi Assaad,muda mwingine tuwe na akili timamu watz
 
Hivi mtu aliyehoji kua trilion one point five hazijulikani zimetumika vip na Ni pesa za walipa Kodi siyo mzalendo Kweli ?? Inanipa shida na uelewa wetu

Kwahiyo mzalendo Ni yule aliyeshindwa kutoa ufafanuzi wa hizo pesa zimetumikaje ?
 
mapoyoyo yanaweza kukuamini, ila mtu mwenye akili za kwaida kamwe hawezi kuamini huu 'urongo' Cha kusikitisha hukukaa chini kuwaza namna ya kuwasilisha hoja vzr zaidi ya kukurupuka!
 
Mpuuzi sana Wewe mleta maada.
Huyo jiwe ni ukoo uleule wa ngedere

Una akili fupi sana Wewe.
 
Huwa unasoma report za ukaguzi au unafikiria kila mtu ni mjinga tu. Unafahamu ukaguzi unafanyikaje kwanza hadi CAG awe na hoja zake ambazo pia ziko kwenye taarifa ya wakaguliwa zitaingiaje bungeni, danganaya wajinga wenzio.
 
Kwaio zito ni mkaguzi na Prof ni Msemaji? acheni kumchafua mzee wa watu kama chafu ni chafu tu
 
Back
Top Bottom