myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
abubakar MT
Mkuu,.. mleta mada anatafuta sifa mahali. Moyoni anajua anaandika uongo
Mkuu,.. mleta mada anatafuta sifa mahali. Moyoni anajua anaandika uongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elimu Elimu ElimuAssad alikuwa mhuni Tu, Hana lolote, alikuwa msaada mkubwa Kwa wahuni wa mjini, ndo mana wanamtetea Sana.... Hata wanaomtetea humu wengi akli zao zina funza kichwan, ningemshangaa Sana Jiwe kama angempa kandarasi nyingine
Assad alikuwa mhuni Tu, Hana lolote, alikuwa msaada mkubwa Kwa wahuni wa mjini, ndo mana wanamtetea Sana.... Hata wanaomtetea humu wengi akli zao zina funza kichwan, ningemshangaa Sana Jiwe kama angempa kandarasi nyingine
Kweli..Assad ni Kipanga wewe ni Kilaza
Kwa hiyo unamaanish zimepgwa kwel na mpk bunge likazima ili asitokee wa kuziibua alafu unamalizia kwa kusema maguful n mzalendo wa kwel,kama aliweza wazma mdomo ili msijadili hizo hela huo uzalendo unatoka wap?au cku iz neno uzalendo lina maana tofaut na tunavyolijua.....kwl vjana wa ccm akili zenu za kushikizwa hamuweza hata kujiongezaIzo 1.5 T zimebaki propaganda mitandaoni lakini pale Bungeni walishindwa kuthibitisha, Zitto alitaka kujaribu kutumia ripoti ya CAG kumchafua JPM lakini alishindwa vibaya pale Bungeni. JPM yuko vizuri na mzarendo Halisi kutokea katika familia za kawaida kabisa.
Watanzania siyo wajinga wanajua mabaya yote ya CCM hata magufuli mwenyewe kakubali hilo
yaani kuhoji ziliko 1.5 T basi ndiyo unakosa uzalendo?
Hata wewe umekosea kuelezea uzalendo wa awamu hii! Uzalendo wa awamu hii ni kuwa upande mmoja, akijamba mkubwa hakuna cha kusema amejamba baba au mimi(kama wazee walivyotuaminisha) ni kukaa kimya au hasa hasa useme tu mzee tarumbeta yako ina sauti nzuri sanaUtawala huu wa awamu ya tano neno uzalendo wanalitumia vibaya uzalendo kwa sasa ni kuiba pesa za umma ukihojiwa unamkomoa anayehoji