Siri nzito iliyofichika kwa Prof. Assad (CAG aliyepita)

Siri nzito iliyofichika kwa Prof. Assad (CAG aliyepita)

Huyohuyo Prof. Assad alikanusha wizi wa 1.5T wewe umepata wapi hiyo figure kama siyo Zitto aliisema kwa waandishi wa habari? Huyo Prof. Assad wakati wake umeshapita na akileta ujinga wa kisiasa atajuta!
sure atapotezwa kisaniii
 
Papaa Muu
]Nilijua tu mtakuja siasa ni ushenzi tu. Ni Bora mtanzania ajali maisha yake tu na sio nyie wanasiasa
 
Mmh ufahamu na akili mtu huzaliwa nao bali wapumbavu hujiona wana akili kuliko wengine.
Huyo CAG unae msingizia hayo yote mbn hajawahi kukujibu ujinga. Umemsikia kauli yake ya mwisho. Hayo unayoyasema ni sehemu ya kazi yake na alibainisha kuwa ni fedha amabazo hazijulikani matumizi yake.

Ngoja nikulaani sasa ili siku nyingine ukaandike mambo ya akili na haki. Ulaaniwe uingiapo na utokapo MUNGU akulaani wewe na kizazi chako, ukafe kifo cha taabu na kulipia kila ovu ulilolisababisha katika kuhalalisha wizi wa mali na raslimali za Nchi yetu.

Maneno yako ya uongo na uchongezi MUNGU akayarudishe kwako na yakafanyike fimbo ya laana kwako kuanzia leo na kizazi chako hadi kizazi chako cha 4.

CCM ni chama kilichoshindwa tayari ushahidi umeonekana ktk urudishaji wa form, mnafanya siasa pekee yenu bado mnadhulumu haki ya wenzenu laana juu yenu wana wa uovu.
Usipende kusema uongo ni kujilaani mwenyewe.
 
Umeandika upuuzi,CAG ndiye aliyeonesha kuwa 1.5 T zilitumika kinyume na bajeti iliyopangwa na bunge!Ikumbukwe CAG hukagua matumizi ya fedha yaliyoidhinishwa na bunge!
Sasa unaposema Zitto ndiye aliyemwambia CAG juu ya 1.5T,unakuwa na maana gani kama sio uzuzu?Kwani Mkaguzi ni Zitto au CAG!
prof. Assad na Zitto wote lao ni moja na Prof. atumuika na Zitto Kabwe kutokana na ududgu alokuwa nao Prof. Assad na Maalim Seif hivyo kama hujui keep it kama hujui ndio hivyo. kwahio acha kupovuka mi nakuambia vitu vya kuaminika
 
Papaa Muu

Taratibu kigogo 2014 (zitto na genge lake) wanazidi kupoteza vyanzo vyao vya umbea; T

Kigogo 2014 (zitto na genge lake) wanapoteza vyanzo vya umbea, TISS, Ramadhan Dau, Assad, n.k
 
Domsel
Hajasingiziwa bali huo ni ukweli wewe kama unakataa ukweli basi endelea na matango pori mliyolishwa na anti government ili mumuone Mhe. rais mbaya lakini ukweli na hadhi ya Mhe. Rais itabaki palepale
 
Taratibu kigogo 2014 (zitto na genge lake) wanazidi kupoteza vyanzo vyao vya umbea; T

Kigogo 2014 (zitto na genge lake) wanapoteza vyanzo vya umbea, TISS, Ramadhan Dau, Assad, n.k
kabisa kaka na ndio maana wamekasirika na mapovu yanawatoka
 
Papaa Muu
NI KWELI HATA MVUA ILIYOBOMOA MIUNDO MBINU WIKI ILOPITA AMESABABISHA Professor Assad akishirikiana na Akina ,zitto na Jusa.

ahaaa😂😂 Ujinga ni mzigo Kama Zigo la MAVI!
 
yani watu ni wapuuzi hasa ww mtoa mada, yani kwa picha rahisi kabisa hii ni vita kati ya elites/well educated/ intelligent people vs mabongo lala ( kina bashite, yule mwenye degree 4 , na mabozo wengne ambao hawana hata upeo mkubwa) ebu chekini hii team ( f. karume, zitto , lissu, cag mstaafu hapo, m. sarungi, etc etc...) yani wanaopinga mambo ya serikali wana akili na wameelimikabwanajatibu kutuamsha watanzania ila kuna wapumbavu wanajitoa ufahamu na kushabikia uozo, hivi unaeza mkompea bashite na Lissu jamani, elimu jamaniii uwiiii
 
Nyie endeleeni kutujaza ujinga na propaganda mkidhani bado tumelala, endeleeni kukimbia ukweli na kuubadilisha, endeleeni kuwaziba watu midomo na kuwapoteza lakini the truth always prevail soon or later
 
ASSAD AMEMALIZA MUDA WAKE, LAITI HAYO ULIOSEMA YANGEKUWEPO YULE BOSS wetu angeyasema jana wakati wa kuapisha...KUWENI WASTAARABU MSIKURUPUKE WAKATI WA KUONGEA
Mkuu wangu,
Sasa ndio ninapoona ugumu wa kazi wazifanyazo kina Mbowe, Lissu, Mdee, Heche, Zitto na wengine wote kwenye bench LA upinzani.
Kama kuna mwananchi wa kawaida (ambaye sio mwizi ndani ya system au mlipwaji wa utetezi mitandaoni) anaweza kuandika post kama thread hii au kusapoti kuna hana kweli ya kupoteza nguvu kuwasaidia kwa gharama ya kusoteshwa polisi, kukanyaga mahakamani kila Siku, kufungwa jela au kupigwa risasi nyingi? Akili zilizo chakachuliwa kiasi cha kumtusi Prof Assad? Unaambiwa unaibiwa lakini unauchukua utetezi wa mwizi nawe unamshambulia mtetezi wako kuwa ni muongo?
Kwa nini kuna watanzania wengi ambao na shule wameenda lakini wamegeuka viazi au misukule(zombies)? Pole sana mzee wetu Assad, ucha Mungu wako unaokutuma usimamie ukweli ni bahati mbaya sana "watoto" wa shetani wamekuona eti unatumwa na mabeberu! Tulia mzee, majibu yatakuja kama ya yule Dada wa NIMRI Mwale ambaye kachukuliwa na kwenye akili kumtumia siye ngoja tumchukue aliyeshindwa TRA na kuwa demoted awe CAG wetu ili akipingana na matumizi yetu akahoji tunamkumbusha ya TRA na lililo mtokea
 
Hv kwann usibaki kua msomaji tu

Kwan sote lazma tuwe tunaandika humi!?

Unapoteza muda kuandka uzwazwa
 
Assad alikuwa mhuni Tu, Hana lolote, alikuwa msaada mkubwa Kwa wahuni wa mjini, ndo mana wanamtetea Sana.... Hata wanaomtetea humu wengi akli zao zina funza kichwan, ningemshangaa Sana Jiwe kama angempa kandarasi nyingine
 
Back
Top Bottom